joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #61
Kwhyo pia hata wauguzi bongo kufa zii siku hizi kisa hamna corona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwel jiwe ni jembe, manake tangia corona kwake iishe israil amepiga stop
Hahahaha, wacha kutapatapa, hao wahudumu wa Afya Kenya wanalalamika bado unaona ni wapuuzi?, kweli ukabila ni ugonjwa usiokua na dawa, kwahiyo hata watu wanaokufa kufa huko Ethiopia kutokana na vita vinavyoendelea unaweza kutumia "reasoning" hiyohiyo?. Punguza ukabila kidogo ili uweze kufikiria vizuri.Kwhyo pia hata wauguzi bongo kufa zii siku hizi kisa hamna corona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwel jiwe ni jembe, manake tangia corona kwake iishe israil amepiga stop
Wacha kuzungumza maeneo ambayo huna elimu nayo ya kutosha, hamani ya pesa ina uhusiano gani na gharama za maisha ya wananchi wa kawaida? Kati ya Kenya na Japan ambao pesa zao zinalingana, mbona ni mbingu na Ardhi katika standard of living?pesa kidogo unajikuta umekuwa role model kwa nchi nyingine
tuache upumbavu tukomae kuongeza thaman ya pesa yetu na demokrasia
Naomba unijibu swali langu... Ni yapi unadhani nchi yako ya Tanzania inaweza kujifunza toka nchi ya Kenya?Wacha kuzungumza maeneo ambayo huna elimu nayo ya kutosha, hamani ya pesa ina uhusiano gani na gharama za maisha ya wananchi wa kawaida?, Kati ya Kenya na Japan ambao pesa zao zinalingana, mbona ni mbingu na Ardhi katika standard of living?.
Kuhusu demokrasia, kati ya Kenya na Tanzania, nchi ipi ambayo serikali yake inaua raia wake hovyo kila mwaka?, ukiambiwa kati ya kuzuiliwa kutoa maoni, au uruhusiwe kutoa maoni lakini baadae unauliwa kwa kutoa maoni, kipi bora?
Etiopia imeingiaje hapa, kwn kabla vita ethiopia watu ilikua hawafi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha, wacha kutapatapa, hao wahudumu wa Afya Kenya wanalalamika bado unaona ni wapuuzi?, kweli ukabila ni ugonjwa usiokua na dawa, kwahiyo hata watu wanaokufa kufa huko Ethiopia kutokana na vita vinavyoendelea unaweza kutumia "reasoning" hiyohiyo?. Punguza ukabila kidogo ili uweze kufikiria vizuri.
Si hta kw jiwe polisi waliuwa watu au unapingaHahahaha, unachekesha sana, tatizo lenu wakenya wa kawaida hawathamini Kenya, zaidi ya watu 67 walipigwa risasi na kuuliwa katika uchaguzi wenu 2017, bado unasema bila tundu la risasi, hao sio watu kwasababu sio wanasiasa?.
Kenyanapaswa kuiga Tanzania katika kufanya uchaguzi wa amani bila kumwaga damu. Tundu Lissu ameamua kuondoka kwa kuhofia usalama wake, hajafukuzwa kama Miguna Miguna. Mahakama imetaka arudishwe lakini serikali yenu imegoma, hiyo ni demokrasia gani?, hiyo katiba yenu inasaidiaje kupunguza vifo kipindi cha uchaguzi?
Na wewe ukaige kutokuiba kura na mahakama huru na uhuru wa kujielezaRudia tena kusoma mambo niliyoyataja ambayo mnapaswa kuiga Tanzania, sijasema muige kila kitu, ngoja nirudie tena kutaja mambo ya msingi ambayo Kenya mnapaswa kuiga toka Tanzania
1) Ukabila
2) Rushwa
3) Sera ya kumiliki ardhi
4) Kupambana na iyambazi
5) Kumaliza mapigano miongoni mwa wafugaji
6) Kuzuia/ Kupunguza fujo wakati wa uchaguzi
7) Kupambana na Civil -19
8) Kudhibiti matumizi mabaya ya pesa za serikali
9) Kupunguza kukopa kwa miradi isiyokua na tija
Unadhani kwamba ni busara kwa serikali ya Kenya kuendelea kushuhudia wakenya wakipukutika Kw Civil - 19 wakati majirani wa Kenya kwa kiasi kikubwa wamefanikiwa kudhibiti hilo yayiza?
Uhuru wa kujieleza upi tena?Na wewe ukaige kutokuiba kura na mahakama huru na uhuru wa kujieleza
Soma hapo kijana, mkiambiwa ccm babalao, mnabishana.una kichaa wewe..uongozi gani uko tz mpaka wakenya waje kubench mark uko?nani alikuja funzwa uongozi uko?
Embu nambie na huyu mbabe wa Amnesty Renee Ngamau kwa nini alikamatwa?Kwani kuliendaje? Uchaguzi wa 2013, tume mpya na huru ya uchaguzi, IEBC, ilifanya kazi nzuri na uchaguzi uliisha bila malumbano. 2017 wapinzani wakapinga matokeo, wakawasilisha kesi yao mahakamani, uchaguzi wa urais ukabatilishwa. Ukarudiwa tena, upinzani wakapinga matokeo tena, mgombea wa upinzani akajiapisha. Baadaye wakafanya handshake na rais na sasa hivi bado yupo Kenya, bila tundu hata moja la risasi, wakiketi pamoja kupanga na kujadili masuala ya taifa la Kenya. Sasa tuna nini cha kujifunza kutoka kwenu, wakati bunge lenu sasa hivi ni la chama kimoja? Huku aliyekuwa mgombea wenu wa urais kutoka chama cha upinzani akiwa ukimbizini kule Ubelgiji?
Hivi vioo vingine labda ni vya MBAO. Tanzania iwe kioo kwa Kenya kwenye uchaguzi?Kenya ni nchi yenye matatizo mengi ya kijamii, kisiasa na kiuchumi kwa sasa, ukabila, rushwa, ukosefu wa usalama, upungufu wa chakula, migogoro kati ya jamii za wafugaji, miradi ya serikali isitozingatia mahitaji ya wananchi, Covid -19, dhuluma ya umiliki wa athi, vurugu za kisiasa wakati na baada ya uchaguzi ni baadhi tu ya matatizo ya msingi yanayoikabila nchi ya Kenya.
Ukiangalia kwa makini ni kwamba, kwa kiwango kikubwa, Tanzania imefanikiwa sana katika kupunguza kama sio kumaliza kabisa haya matatizo. Kwa akili ya kawaida kabisa, ilipaswa Kenya kujifunza yale mazuri ambayo Tanzania imefanikiwa na ni rahisi kuyamaliza kwa mda mfupi kama kupambana na rushwa, kupambana na ujambazi, kuzalisha chakula, kupambana na Civil -19 na kuzuia ghasia katika vipindi vya uchaguzi, haya ni mambo yanayoweza kudhibitiwa ndani ya muda mfupi bila hata kusubiri BBI na katiba mpya.
Viongozi wa Kenya lazima wakubali kwamba kuna mambo mengi mazuri wanapaswa kuiga toka Tanzania, hakuna faida yoyote ya kujisikia aibu kwa kuiga mazuri yanayofanywa na jirani yako, hata kama ni adui yako, kwa kufanya hivyo Kenya itaendelea kubaki na matatizo bila kujinasua.
"If you can't beat them, join them"
Uchaguzi uliopita ulikuwa na matatizo gani mkuu? Usipende kuchukulia speculations kuwa ukweli.Kioo kwa mambo kama ya uchaguzi uliopita mkuu?
Jina lako linaakisi mengi mkuu. Lets close this chapter, uchaguzi umeshapita na tumeambiwa 'umeshapita' tusonge mbele, sasa sisi ni nani tuendelee kuuongelea?Uchaguzi uliopita ulikuwa na matatizo gani mkuu? Usipende kuchukulia speculations kuwa ukweli.
Evidence pleaseSi hta kw jiwe polisi waliuwa watu au unapinga
Tumia akili vizuri sio lazima kila kitu hadi ufafanuliwe Kama mtoto mdogo, nimebainisha maeneo ambayo Kenya inapaswa kuiga Tanzania, wacha kujitia uchizi.Hivi vioo vingine labda ni vya MBAO. Tanzania iwe kioo kwa Kenya kwenye uchaguzi?View attachment 1627277
Mbona langu unalikwepa Mkuu? Ni yapi Tz inapaswa kuiga toka Kenya? Usione haya wewe bainisha tu.Tumia akili vizuri sio lazima kila kitu hadi ufafanuliwe Kama mtoto mdogo, nimebainisha maeneo ambayo Kenya inapaswa kuiga Tanzania, wacha kujitia uchizi.