Nini Kenya wanaweza kujifunza kutoka Tanzania ?, mbona unaongea kama umekatwa kichwa ?, au ndio nyie huwa mnaacha akili zenu kwa polepole na bashiru wawatunzie
Labda kioo Cha WIZI WA KURA
Nani amekwambia marekani wameiba kura?
Where is the damn evidence?
Na huku kwetu ni heri wangeiba kura pekee yake,mnaua raia wenu wenyewe!
Fvck yall
Mbona hilo la kuua raia huliongelei ??.wacha kiendekeza stress,utawehuka.
siku ukikua utaelewa wameibaje.kwa sasa endelea kuishi ndotoni.
Mbona hilo la kuua raia huliongelei ??.
kura zinaibiwa mpaka marekani kwenye asili ya democrasia.sembuse huku kwenye wapinzani wasela mavi.
Ila sio Kama hiviView attachment 1628942
Wewe sio Mmarekani
Plus huishi America
Hujawahi fika America for godsakes....
Haupo kwenye investigation team,haujakwenda mahakamani hukumu ikatolewa ikawa declared on the records kwamba indeed wameiba kura kdhaa wa kadhaa na alieiba ni so and so...
Then upo hapo Mburahati unanyeshewa mvua kwenye vibanda kuinama,kwa bahati mbaya kuna kasalio ka bando in your phone by accident,eti unaielewesha US kuna mtu kaiba kura with 100% uncertainity as if una ushahidi
Kwendraaah huko....
Tupo hapa duniani kujifunza kutoka kwenye mataifa yenye walao ahueni zaidi ya mengine,Marekani ina ahueni,sio perfect ila ina ahueni....sio sawa na mauchafu yenu ya TZ au China au North Korea,Burundi na uchafu wa Uganda huko
Kafie huko FBI wa Mburahati
Mzee hii ilitokea wapi ???Ila sio Kama hiviView attachment 1628942
Mzee hii ilitokea wapi ???
Halafu anasimama mtu pale bungeni anasema ameshinda kwa kishindo na anakula kiapo cha utii huku amshika kitabu kitakatifu !!!, tunailaani nchi bila kujua, mpaka askofu (msanii gwajiboy) nae anashiriki uovu huu halafu kesho anaenda kuwaongozea watu Ibada.Hapa hapa dar
Kwahiyo kujua kuzungumza kiingereza kwako ndio unadhani ni muhimu kuliko kuzalisha chakula?, wakati Kenya mnapoteza muda wenu kujifunza lugha ya mabwana zenu, sisi tunatumia muda huo kuzalisha chakula, kupambana na rushwa, kuimarisha usalama nchini mwetu, kupambana na ukabila, na kujenga umoja wa kitaifa.my friend mie nishaishi tz kwa mwezi mzima na kwa kusema kweli mko nyuma, habari hizi za watu mashuhuri maisha yao kuwa hatarini huwa tunayapata kwenye mitandao ambayo ni ya kujificha ficha tuu, lakini huwezi sikia ikitangazwa na mashirika ya kiserikali au kampuni zilizosajiliwa kikamili...tazama mimi ninavoweza kuandika kiswahili sanifu kadri ya uwezo wangu napia tukiingia kiingereza nimebobea vivyo hivyo, But for a tz you can only communicate in swahili and thats it...yaani nyie wapumbavu saana aisee
Haaa mara hii ushasahau mlivyosepa na kuraUchaguzi uliopita ulikuwa na matatizo gani mkuu? Usipende kuchukulia speculations kuwa ukweli.
Kwahiyo Trump na wafuasi wake wakilalamika kwamba kura zimeibiwa mnaomba watoe evidence, ila Tundu Lissu na wenzake wakisema kura zimeibiwa mnakubaliana nao moja kwa moja hamuhitaji evidence.Nani amekwambia marekani wameiba kura?
Where is the damn evidence?
Na huku kwetu ni heri wangeiba kura pekee yake,mnaua raia wenu wenyewe!
Fvck yall
Huna sababu ya kujitambulisha wewe ni nani, huko ni kutojiamini. Sina sababu ya kuendelea kujibishana na mtu ambaye hajui tofauti kati ya "ukabila vs Kaila" (tribe vs tribalism), nenda kajipange uje kivyengineMimi Mtanzania.....Tanzania hakuna ukabila?
Its crazy tunaua makabila yetu sababu tumesha criminalize tribes...mnataka kila mtu awe Mswahili
Makabila yetu 250 yameshakufa,nchi nzima ni kabila la Waswahili
Tumeua makabila yetu na tamaduni zetu kwasababu kuna mpumbavu mmoja kasema kabila ni dhambi!
Mtu kumpenda mtu anampenda au kumchukia mtu anamchukia,doesnt matter yupo kabila gani
Makabila mmeua,then zitafata sababu zingine,unatoka mkoa gani?wewe dini gani?wewe mbona mfupi?wewe hujui kingereza?wewe mweusi?wewe mweupe?...
Tumeua lugha zetu za asili,mila zetu makabila yetu..wote tumekua Waswahili vichaa....soon enough tutaingia sababu zingine....
Ubaguzi upo pale pale tunabadili chapter na vigezo tu!
Kumbe ushahidi unapelekwa kwenye TV stations sio mahakamani?, kumbe mwenye kuthibitisha kuwa kuna wizi au hakuna ni TV sio mahakama?, kweli akili sio nywele.Evidence za kuiba kura on national TV zipo...za kutosha
Watu kuuawa evidence zipo on live camera....
Stop unafiki wewe kiumbe!
Na kesi ipo mahakamani,kila kitu kitaonyeshwa huko na nyie mtajibu!
Kaa tayari
Kumbe Tanzania mahakama ilishathibitisha kwamba Tanzania so and so wameiba kura?. Ninyi wakenya ndio sababu wanaume wenu wakiolewa na wazungu huwa mnafurahia Wiki nzima, hamna akili kabisa ninyi.Wewe sio Mmarekani
Plus huishi America
Hujawahi fika America for godsakes....
Haupo kwenye investigation team,haujakwenda mahakamani hukumu ikatolewa ikawa declared on the records kwamba indeed wameiba kura kdhaa wa kadhaa na alieiba ni so and so...
Then upo hapo Mburahati unanyeshewa mvua kwenye vibanda kuinama,kwa bahati mbaya kuna kasalio ka bando in your phone by accident,eti unaielewesha US kuna mtu kaiba kura with 100% uncertainity as if una ushahidi
Kwendraaah huko....
Tupo hapa duniani kujifunza kutoka kwenye mataifa yenye walao ahueni zaidi ya mengine,Marekani ina ahueni,sio perfect ila ina ahueni....sio sawa na mauchafu yenu ya TZ au China au North Korea,Burundi na uchafu wa Uganda huko
Kafie huko FBI wa Mburahati
Wacha upimbi wewe zuzu, umesema ushahidi upo wazi katika TV unaonekana, wakati huohuo unasema huko Marekani hakuna mahakama iliyokwisha kutoa maamuzi na kumtaja so and so kwamba ameiba kuraNimekwambia ushahidi tumepeleka kwenye TV?
Unajua kusoma Kingereza kweli mzee?
Nimekwambia wizi wa kura ushahidi upo apart na kuonekana kwenye live national TV..
Sasa sentensi inasema ushahidi ulipelekwa kwenye TV mahususi?
Jeeez
Kwahiyo Tanzania hakuna makabila?, hivi wewe una akili kweli?. Tanzania kuna makabila zaidi ya 121, wachagga, wapare, wanyamwezi, wajaluo, wahehe, wasukuma, wangoni.... Ila hatubaguani wala hatuchaguani kutokana na makabila yetu.Ukishakua na tribes basi una tribalism...acha nonsense
Hii myth eti Tanzania hatuna tribalism ni nonsense....
Tribalism ipo kinachotofautiana na Kenya ni kiwango tu...ila kote tribalism ipo..
Tanzania tumeua makabila tumevamia kabila la watu linaloitwa kabila la Waswahili..
What a loss!
Hahahaha bahati mbaya ndio ina maana kwamba kwa bahati mbaya zaidi ya dollars billion 2 Takribani trillion 4 za kitanzania walizokopa kupambana na Corona zimeyeyuka na bado madaktari wanakufa kwa kukosa vitanda hospital na misharaha so hii ni bahati mbaya?Tanzania hakuna cha kujivunia kuhusu corona.Tanzania iliachwa wa kufa afe, Kenya ilijaribu kutumia mbinu ghali za kulinda raia ila bahati mbaya hazikufanikiwa.