Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Mbona umeandika ujinga hivi?
 
Elimu ni ukiristo best 50 Universities duniani ni US Na Ulaya! Haya visima mafuta Waarabu ni technoligia na miliki ya Wazungu! Waisllamu hujegewa mistiki tu na kupewa tende za bure wakati wa Idd na huu ndo ukweli! KWA NIni wakimbizi Siria Afghanistan Yemen hawakimbilii Saudia wanakimbilia Ulaya na US?
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Hicho chuo kilikabidhiwa kupoza vuguvugu la Makataba wa Serikali na Kanisa ambao Kila Mwezi Kanisa lina vuna Bil 36 kutoka serikalini.

Mkapa akaonja joto la Waislaam,akaamua kuwapa chuo kama seheku ya kuonesha wote wananufaika.
Lakini haitoshi,nami nashauri Serikali ichukue chuo chake ili waislaam wajichange wajenge chakwao.

Kadhalika Serikali ivunje mkataba na Makanisa ili Hizo Bil 36 kwa mwezi zitumike kubitesha huduma za jamii za serikali.

Hapo hakutakuwa na Malalamiko
 
Nilipoona wapenda nogwa wanakomalia MOU ya TEC, no kajua tu mjuaji Mmoja lazima akumbushie hii kitu.

Ila hii ishu ya MOU kama haiko standardized wajitahidi iwe standard Kwa wote.
 

Attachments

  • FB_IMG_1692087231147.jpg
    FB_IMG_1692087231147.jpg
    29.4 KB · Views: 1
Ukabila tumeuweza kwa kiasi kikubwa.

Ila sasa naona wajanja wanataka kutufarakanisha kwa udini sasa, na huenda watafanikiwa kupitia huku.

Akili zetu hazina akili, watafanikiwa tu.
 
Wameyataka wenyewe,badala ya kujibu hoja wao wakakimbilia blanket la udini sasa blanket hilo limeingia chawa,kunguni na viroboto.
Magufuli alikuwa Mkristo tena Mkatoliki, ni yeye ndio amewapa tender waislamu wa Yepi Merkez Kujenga reli ya SGR na Arab Contractors kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere hakuna Mkristo yeyote aliyeleta udini.

Leo watu wenye akili wanapinga mkataba wa kihuni zinatokea Ng'ombe za Waarabu zinaleta udini.

Stupid (In Samia voice)
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Ohooooooo !!!
 
Back
Top Bottom