Kuna kitu labda hukielewi, Waislamu ndio matajili wa Tanzania lakini siyo waislamu nyinyi wa Mwembe Yanga na kwa Mtoro.
Kama ulikuwa hujui sasa nakujuza,
• Agha Khan hospital ni Mali ya Waislamu.
Diamond trust bank ni Mali ya Waislamu.
Diamond schools ni Mali ya waislamu.
Sasa hata leo hii hizo Mali za hao waislamu zirudishwe wewe mwislamu wa Kimanzichana wala hazikuhusu, wapo wenyewe wenye majina yao kama Kalimjee.
Ujinga uliowajaa kichwani sijui ni lini utawatoka labda mjifunze kula nguruwe itawasaidia maana kama kusoma tunasoma wote shule hizi hizi sasa swali ni kwa nini kila siku moja wajinga ni nyinyi tu?