Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Lini Wananchi walishirikishwa kukabidhi chuo cha TANESCO kwa Waislam?

Naona umewashika wafuasi wa Putin pabaya🤔
 
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.

Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.

Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.

Dp world wamepata baraka za wananchi??
 
Ujinga uliowajaa kichwani sijui ni lini utawatoka labda mjifunze kula nguruwe itawasaidia maana kama kusoma tunasoma wote shule hizi hizi sasa swali ni kwa nini kila siku moja wajinga ni nyinyi tu?
😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Nimecheka hadi nimepaliwa na mate inamankusweke 🤣
 
Kichaa Ritzaz amekimbia na nguo zenu, mnatoka nduki kumkimbiza nawaangalia tu!!

Ni BUSARA kubaki majini.

Ni hayo tu!!!

Mkataba FAKE na BATILI ufutwe haraka 🙏🙏🙏
 
Mbombo ngafu
Bongo wasomi ndo wana udini kuliko sisi tusiosoma
mnasakana kimya kimya
 
Back
Top Bottom