Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.
Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.
Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Anachungulia nini huyo?Huko ndio kuzuri, Ccm imewekeza pakubwa sana kwenye udini, sasa hakuna mbegu unayopanda isiote na kukupa matunda.
DJ Walete.
😂😂😂🤣🤣🤣🤣 Nimecheka hadi nimepaliwa na mate inamankusweke 🤣Ujinga uliowajaa kichwani sijui ni lini utawatoka labda mjifunze kula nguruwe itawasaidia maana kama kusoma tunasoma wote shule hizi hizi sasa swali ni kwa nini kila siku moja wajinga ni nyinyi tu?
Yote haya Kwa vile Kuna wachache wanang'ang'aniza mkatabaMnachokitafuta watanzania mtakipata soon!
Kwani kinaendeshwa na Bakwata au watu binafsi?Mkataba ni mbovu kweli kweli lakini chuo chetu Tanesco Morogoro ni vyema kikarejeshwa.
Sisi tunachangia nyuzi zote mkuu , hatuna ubaguzi , kule tumechangia na huku tumechangiaAcheni hizo