Mbona umeandika ujinga hivi?Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.
Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.
Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Mkataba ni mbovu kweli kweli lakini chuo chetu Tanesco Morogoro ni vyema kikarejeshwa.Naona mada zimekua za kidini tu siku hizi, kwa kifupi mkataba wa bandari ni mbovu na haubebeki, Kuna upande walipozidiwa hoja na wakaja kujificha kwenye dini........
Hicho chuo kilikabidhiwa kupoza vuguvugu la Makataba wa Serikali na Kanisa ambao Kila Mwezi Kanisa lina vuna Bil 36 kutoka serikalini.Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.
Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.
Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.
Huko ndio kuzuri, Ccm imewekeza pakubwa sana kwenye udini, sasa hakuna mbegu unayopanda isiote na kukupa matunda.Tunakoelekea siko
Kiwake tuMnachokitafuta watanzania mtakipata soon!
Wameyataka wenyewe,badala ya kujibu hoja wao wakakimbilia blanket la udini sasa blanket hilo limeingia chawa,kunguni na viroboto.Huko ndio kuzuri, Ccm imewekeza pakubwa sana kwenye udini, sasa hakuna mbegu unayopanda isiote na kukupa matunda.
DJ Walete.
Magufuli alikuwa Mkristo tena Mkatoliki, ni yeye ndio amewapa tender waislamu wa Yepi Merkez Kujenga reli ya SGR na Arab Contractors kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere hakuna Mkristo yeyote aliyeleta udini.Wameyataka wenyewe,badala ya kujibu hoja wao wakakimbilia blanket la udini sasa blanket hilo limeingia chawa,kunguni na viroboto.
Ohooooooo !!!Rais wa awamu ya tatu mkristo Mkatoliki alikabidhi chuo cha umma (TANESCO) kwa WaIslam bila kupata baraka za wananchi.
Ndugu zetu WaIslam hawana utaratibu wa kujenga vyuo kwaajili ya elimu dunia,wamewejeza zaidi elimu ahera.
Kwakuwa chuo bado kipo na utaratibu wa kuwakadhi haukupata baraka za wananchi ni muhimu sasa chuo kikarejeshwa katika miliki ya umma.