Lipi bora kati ya kununua nyumba iliyojengwa au kujenga yako mwenyewe?

Lipi bora kati ya kununua nyumba iliyojengwa au kujenga yako mwenyewe?

Sikujui in person ila kwa Kuandika Kwako tu hivi haya Maoni yako unaonekana ni Mtu Mwerevu ( Kipanga ) sana. Asante Mkuu na Nimekuelewa mno.
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwa maoni haya niliyosoma, ndiyo maana biashara ya Real Estate ni ngumu Kibongo Bongo kufanikiwa.

Labda iwe unajenga kwaajili ya kupangisha kawaida na kule Airbnb kufanya apartments.

Lakini kama ni Kujenga kwaajili ya kuuza naweza kusema Bwawa Limeingia Luba πŸ™Œ
 
Kuna mtu alinunua nyumba kwa tsh mil100+ kwa nje imepigwa rangi imefanyiwa pimping moja matata kumbe ilijengwa kwa matofali ya udongo ambapo kiuhalisia ile nyumba thamani yake ilikuwa haifiki hata mil30.
Madalali kwa kweli mbingu hawataiona!
Mkuu kwani qualified surveyors hakuna huko wa kuiangalia nyumba ilivyo?
Bora nimpe hela mtaalamu aniangalizie kila kitu hata zile joint
 
Mkuu kwani qualified surveyors hakuna huko wa kuiangalia nyumba ilivyo?
Bora nimpe hela mtaalamu aniangalizie kila kitu hata zile joint

Ni wangapi hununua nyumba kwa kuwatumia hao surveyors...?
Kwa mazoea wengi wakishakuwa na pesa, akihitaji nyumba hata muda au wazo la kumtafuta surveyor anatoa wapi...?
Dalali akishampamba anatoa hela tu!
 
Ni wangapi hununua nyumba kwa kuwatumia hao surveyors...?
Kwa mazoea wengi wakishakuwa na pesa, akihitaji nyumba hata muda au wazo la kumtafuta surveyor anatoa wapi...?
Dalali akishampamba anatoa hela tu!
Watu wengi hawana maarifa ndio maana unakuta mtu anakopa au kapata hela za haraka anaenda moja kwa moja kwa dalali

Kununua nyumba ya bila surveyed labda iwe apartment mpya za uhakika na bei kubwa

Kweli ni wachache sana wanaojua haya ya surveyors
 
Ukijenga mwenyewe utaweza kununua materials imara na nzuri

Nyumba ya kununua hauwezi kujua ubora wa materials na ubora wa ufundi uliotumika kujenga
 
Kama mtu wa mambo ya Imani jenga mwenyewe nyumba ya kuishi Kama ni biashara ukinunua haina shida.
Kiimani wengi ni washirikina huwezi jua aliweka Nini kwenye msingi
 
jenga hizi nyumba za kununua zinajengwa kama uyoga
 
Tulishakwambia muda tu utoke hapo kwa shemeji yako ila ulikaza fuvu, sasa akili zimekumea…. kanyaga mno mafuta ili uokote hizo 40M.
 
Ukinunua nyumba, wainunua na matatizo yake...
 
Mtani GENTAMYCIME
1. Jenga mwenyewe, unaweza kununua nyumba ambayo alishawahi kukaa muislamu na akaiwekea Matarasimwi , kusomewa visomo n.k ndoto mbaya zikawa haziishi.
2. Unaweza kununua nyumba kumbe Ni vodafasta Kama zile za Mbagala Chamazi ambazo msingi Ni futi moja au tofari mbili.
3. Unaweza kununua nyumba ya mpemba. (Sina Nia mbaya lakini kwa uzoefu wangu tu)
4. Halafu ukijenga mwenyewe unachagua pakujengea.
5. Raha ya kuhamia nyumba yako uliyoijenga mwenyewe Ni sawa na kumuoa mwanamke uliyemtoa bikira wewe mwenyewe.
 
Je, ipi ni sahihi ukiwa na hela yako kama Tsh. Milioni 40, ununue nyumba mbalimbali zinazotangazwa mitandaoni na magazetini au kwa hiyo hiyo Tsh. Milioni 40 uliyonayo umtafute fundi na akujengee nyumba yako katika uwanja ambao tayari unao siku nyingi?

Leo GENTAMYCINE nitakuwa ni msomaji zaidi wa comments zenu hapa ili basi siku moja huko mbeleni kama Mwenyezi Mungu atanibariki na kimaajabu nikaipata hii pesa (Tsh. Milioni 40) niweze kuwa na nyumba kutokana na ushauri wenu na maelekezo yenu ya kitaalam ambayo mtayatoa hapa.
Hili swali lako majibu yake sio rahisi au sio majibu ya direct kwamba kujenga ni Bora kuliko kununua au kinyume chake.
Mfano Kuna nyumba zimejengwa na kampuni au taasisi au mtu binafsi na zinauzwa , pengine zipo kwenye maeneo unayoyapenda na zimesimamiwa under professional consults like civili engineers nk(zimejengwa kweny standard). Hapo nitakushauri ununue kwa sababu gharama za ujenzi kwa hiyo standard ni gharama na pia Kama sio mzoefu kweny secta ya ujenzi itakusaidia.

Pia ukitaka kununua nyumba ulizia ramani yake, consultant aliesimamia nyumba, Kama unanunua nyumba kwa mtu binafsi pata mda wa kufanya tafiti kwa majirani, relax husiwe na haraka kufanya maamuzi. Kwa nini ufanye maamuzi ndani ya masaa mawili kwenye nyumba ambayo utaishi zaidi ya miaka 50? So take time , husipelekeshwe na madalari.

Kwa upande mwingne, Kama una fundi mzuri/ una uwezo wa kutumia kampuni , umepata mtalamu wa ramani na una mda wa kutosha kufanya follow up au una mtu unaemuamini wa kusimamia ujenzi basi Jenga.

Kwa kuhitimisha.

kwenyw swala la kiuchumi/economical factor.
_kununua ni Bora kuliko kujenga, here time also has been considered.

Kwenye ufahari wa kumiliki/ ownership factor.
_kujenga ni Bora kuliko kununua, maana utakuwa na authority ya kumodel nyumba utakavyo.
 
Back
Top Bottom