Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CUF bado haijapitisha mgombea wao, Prof. Lipumba anahaki kugombea, na huenda akashindwa katika kura za ndani au akabadili mawazo baadae. Hata hivyo hakuna kitu cha kumshushia haki ya kugombea. Lipumba ni bora x1,000,000 ya Kikwete.
Lipumba na Seif hawana jipya!
Kila anapoulizwa swali kuhusu yeye kugombea kila chaguzi,anatoa mfano wa huyohuyo jamaa yake aliyegombea tangu mwaka 1975,ananiboa!Jamani inakera ndio maana naona huu upinzani wizi mtupu na thaman kwako ukiwa ndani ya hicho chama ..naona lipumba kwenye tv ya tbc anawahadaa watu kuna rais alianza kugombea toka 1975 amepata urais 2000 na sasa anaongoza na kuhaidi kuleta serikal ya mseto........
Hivi hakuna wengine kila siku hawa hawa tu jamani...mi nishachoka na sias za tanzania kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kila anapoulizwa swali kuhusu yeye kugombea kila chaguzi,anatoa mfano wa huyohuyo jamaa yake aliyegombea tangu mwaka 1975,ananiboa!
Hakuna wa kuchagua.....Yaani sijui itakuaje next five yrs...so far bado kuna wakina mama wanajifungua chini ya miti,,,,,,life linazidi kuwa gumu...so...MUNGU ATULINDE
Jamaa ili linaweza ila shida yangu ni kuwa kwenye mikutano ya siasa ya CUF baraghashea na ijabu ni nyingi sana!!!
Tatizo CUF ni wabinafsi wanataka wao ndiyo waungwe mkono siku zote, wao hawako tayari kuunga mkono vyama vingine. Hii inatia shaka kuwa huenda wana agenda ya siri, pia Profesa amegombea mara nyingi na kushindwa, ni vema CUF wangesimamisha mgombea mwaingine. All in all kama hakuna mgombea mwingine toka opposition, nitampa kura yangu kwa vile naichukia CCM na viongozi wao kama ninavyomchukia shetani.
Ulikuwa hujui sasa umejua?Eh! Kwani chadema ni chama cha kikristo...? Nilikuwa sijui hayo.
Kaaazi kweli kweli!Ulikuwa hujui sasa umejua?