Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Hiyo ndiyo ajira yake,kuyumbisha upinzani,special agent Lip-Lip
 
Naomba kama kuna uwezekano wasomi watafute jina mbadala la uprofessa,maana hili tunalolijua limeishachafuliwa na hiki kiumbe kinachojiita lipumba
 
It won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Kama maprofesa kama hawa hawafuati sheria, wanawafundisha nini wananchi wa Kawaida??
 
Mwisho wa siku CUF itashinda... nguvu ya haki ni nguvu ya Mungu... anacheza maana mahakama itamtoa tu... "mahakama haipendi ujinga"
 
Kafutwa Uanachama Hana Mvuto Yaani Anajisumbua Huyo Professor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…