Hiyo ndiyo ajira yake,kuyumbisha upinzani,special agent Lip-LipThat id the sad part....jitu somi zima linaburuzwa km toto dogo.... !!
Na hawa sirikali wanazidi kutia aibu, kwenda napolisi kufanya vurugu ktk mkutano na then kumsindikiza ofcn !!
Hv kwa CVyake hawezi kupata kazi hata consultancy akapata za kula kuliko kujivua nguo hivi...
Km ni dingi angu namchapa ngumi chap chap.... Acha ujinga kulazimisha wakati ulikimbia mwenyewe na umeshaona hawakutaki...
Hela za lumumba zinawazuzua sana..
Alipokuwa Rwanda nani alikuwa anapokea.Kati ya hawa lipumba na maalim nani atapokea ile hela ya ruzuku?, mwenye kupokea hela ndio mwenye chama
Hata Zitto alikuwa kisiki cha mpingo.Mlifikiri mtamuonea kama Mzee wangu James Mapalala. Hiki ni kisiki cha mpingo na bado mpaka kieleweke.
Uvccm lazima watalaani kitendo cha lipumba kufutiwa uanachama wake ndani ya cufTusubiri tamko la UVCCM kesho
Aliwasaidia sana wanyarwanda kuinua uchumi waoProfesa!!!!!!!!!!! halaf wa uchumi............
Ukawa ndio meli ya sumu kwa ccmukawa inawatoa jasho
Uvccm leo naona mtaandamana kupinga profesa kufukuzwaHizi ndo Siasa za ipinzan Hanna mpya hapo, ndo mnategemewa mpewe nchi kwa stail hii
KwishaaaaaaaaaaMlifikiri mtamuonea kama Mzee wangu James Mapalala. Hiki ni kisiki cha mpingo na bado mpaka kieleweke.
Chama hakielekei popote ila sijajua profesa anapoelekea
unajitia aibu sasa pale buguruni ni maabara au ofisi ya chama?Ni kawaida kwa maprofesa kulala kazini/maabala
Juzi alisindikizwa na walinzi sasa sijui hizo gharamaLipumba anasubiri huruma ya msajili na waliomtuma
Kama maprofesa kama hawa hawafuati sheria, wanawafundisha nini wananchi wa Kawaida??It won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Hahahaa!!!!!!!Ni kawaida kwa maprofesa kulala kazini/maabala
Hii.hii..hiii.kwii.kwii...ati ammerara na viatu na koti atii...profuuuu umetisha mzee ss tukalime asali tuVijana alioingia nao ofisini ni wa jinsia gani?