Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

Tetesi: Lipumba kaingia ofisini saa 4 usiku huu,inasemekana atalala hapohapo

That id the sad part....jitu somi zima linaburuzwa km toto dogo.... !!
Na hawa sirikali wanazidi kutia aibu, kwenda napolisi kufanya vurugu ktk mkutano na then kumsindikiza ofcn !!

Hv kwa CVyake hawezi kupata kazi hata consultancy akapata za kula kuliko kujivua nguo hivi...

Km ni dingi angu namchapa ngumi chap chap.... Acha ujinga kulazimisha wakati ulikimbia mwenyewe na umeshaona hawakutaki...

Hela za lumumba zinawazuzua sana..
Hiyo ndiyo ajira yake,kuyumbisha upinzani,special agent Lip-Lip
 
Naomba kama kuna uwezekano wasomi watafute jina mbadala la uprofessa,maana hili tunalolijua limeishachafuliwa na hiki kiumbe kinachojiita lipumba
 
Lipumba anasubiri huruma ya msajili na waliomtuma
Juzi alisindikizwa na walinzi sasa sijui hizo gharama
 
It won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Kama maprofesa kama hawa hawafuati sheria, wanawafundisha nini wananchi wa Kawaida??
 
Mwisho wa siku CUF itashinda... nguvu ya haki ni nguvu ya Mungu... anacheza maana mahakama itamtoa tu... "mahakama haipendi ujinga"
 
Kafutwa Uanachama Hana Mvuto Yaani Anajisumbua Huyo Professor
 
Back
Top Bottom