Usisahau kumpelekea taulo, na dawa ya meno kesho asubuhi. Maana hayo mate yatakavyokuwa yanamruka ruka kesho ni Mungu saidia.Bonge la professor hilo, hahahahahaha
hahahah mkuu,kumbe le profeseli ni ana hold bachelor piaIt won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Huko pia anaweza kuwa Dr Mihogo.hahhahha,mwanangu anataka kuwa proffessor,bora aje tulime mihogo tuu
Ten yuko Kama kopeAisee, sijawai kuona prof king'ang'anizi kama huyu!
A face the reality, kwamba mwisho wake ndo umefika. Aachane na hizi sarakasi.
Lipumba kesha jidharaulisha kabisa na hii yote ni sababu ya kukosa familyHabari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
Aende kwa wasaliti wenzake ACTAisee, sijawai kuona prof king'ang'anizi kama huyu!
A face the reality, kwamba mwisho wake ndo umefika. Aachane na hizi sarakasi.
Kuchanganyikiwa sio lazima kuokota makopo tuHabari nilizozipokea mida hii ya saa nne na kama dakika 25 kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ambavyo viko karibu kabisa na ofisi za CUF zinasema Lipumba ameingia ofisini huku akiwa na vijana zaidi ya kumi na inasemekana atalala hapo ili kuondoa usumbufu kesho asubuhi na kuanza majukumu yake ya uenyekiti mapema kabisa.
Hiki chama kinaelekea wapi?
khaaaa,wacha nimtupe uvuviHuko pia anaweza kuwa Dr Mihogo.
Mamilioni aliyopewa kukimbilia rwanda yana mtesaIt won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Kumbe msela kambi popoteIt won't materialize,ni saw na kupiga penalt bila kipenga cha referee..linKuwa gori batri...sema ni vizr akajifariji ili asife kwa pressure..ukizingatia kuwa hana mke hata asipolala kwake sio mbaya
Dhambi ya usaliti ndiyo hiyoNajua mnamuenjoy tu mwenzenu. Mnafurahi anavojidhalilisha na kujichora.
Huna ulilo liongea wewe gambaKapanda mlima kafika keleleni,karudi chini sema tu upande wa pili...lkn yupo chini baada ya kutoka huko juu
....Dhambi ya usaliti ndiyo hiyo
Mwishowe uwa kama picha la HANDHAA KANOONHa ha ha,maumivu ya kichwa huanza taratiiiiibu.
Labda mnyamwezi wa kichina! sijawahi kuona MTU anayeabudu njaa kama huyu!Mnyamwezi amechanganyikiwa hakuna namna
Tatizo ni vipi ataweza kurudisha mamailioni aliyo yatumia kukimbilia rwandaUjue unaweza kuta jamaa kapata tatizo kwenye ubongo nyie mnacheka tu