Lishe kwa mtoto - Unampikia nini mtoto wako (miezi 6-12)


leo nitakesha kwenye hii sred.
 
H
Reduced
 
Ngoja na mie nichangie kidogo maana mie dume, kuna mtoto wa dada yangu ametimiza mwaka mmoja sasa lakini kwa upande wa kumnywesha mtoto mfano uji anakuwa mgumu sana mtoto kunywa uji (anakataa).
Tumekuwa tukijiuliza hili tatizo linasabishwa na nini mpaka anakataa kunywa uji, ila kama ni maziwa ya mama yake anatumia kama kawaida.
Tujuzane jamani ili nimsaidie.
 
Unachanganya karanga na nini au zenyewe?
 
Kwenye huo uji anaiona sura ya WASSIRA ndiyo sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…