paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Hadi muda huu hajaja!!Bagamoyo kwa Kikwete hilo atawajua watu wa bagamoyo
Lisu kaona aanzie bagamoyo na chalinze ngome ya Kikwete nyumbani kwake
Huko Lisu hapati kitu wala watu huko ndiko nyumbani kwa Kikwete alikozaliwa na kukulia na anakoishi
Bagamoyo wanapaogopa sio utaniHadi muda huu hajaja!!
Hii inataka kujirudia, hata Kipindi kile tangazo la ujio wa Lowasa lilisikika, Ila Lowasa hakutokea Bagamoyo
Kwani hao wa mitandaoni hawapo kwenye physical world? Population ya mitandaoni ni watanzania wangapi?Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Wanaouacha ukweli ndani Yao na kujifunua mitandaoni kama roboti watamshinda Magufuli?Kwani hao wa mitandaoni hawapo kwenye physical world? Population ya mitandaoni ni watanzania wangapi?
Huko keshachemka. Tangu sasa bado anapima upepo.Bagamoyo kwa Kikwete hilo atawajua watu wa bagamoyo
Lisu kaona aanzie bagamoyo na chalinze ngome ya Kikwete nyumbani kwake
Huko Lisu hapati kitu wala watu huko ndiko nyumbani kwa Kikwete alikozaliwa na kukulia na anakoishi
Na mwanasiasa mgombea uraisi akikataliwa na bagamoyo Huyo hapati ushindiHuko keshachemka. Tangu sasa bado anapima upepo.
Mbowe keshaziuza na pesa katia kibindoni....2015 Chadema walisema wamenunua chopa tatu zipo wapi?
Chief hili umenena kweli, tunaona mikutano yake inapwaya kwa kukosa watu, mwingine huyu hapa naye anaaminishwa kua kawe ataichukuaWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Bila kusaha mapicha mengine wamebandika mpaka sehemu sizo sijui wanawapa mateja wazibandikeCCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Yaa lazima waombe nyie mmekwapua wapiMtaendelea kuomba michango kwa wananchi?
Ana alergy na angaMagufuli nae ataiga
Propaganda za kiboya Sana..picha ya 2010Chief hili umenena kweli, tunaona mikutano yake inapwaya kwa kukosa watu, mwingine huyu hapa naye anaaminishwa kua kawe ataichukuaView attachment 1565149
Sasa hapa mshana naanza kuziamini hisia zangu kuwa wewe nakujua nilikuwa nahisi kila sikuWaoh karibu nyumbani Rais mtarajiwa.
Kwa sababu Magufuli ndiye atakayeshinda, Sasa wee unanadi garasa la kazi gani?CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Aliyesema chadema hawana hela ni Lissu kwamba ndo maana anaombaomba kila kwenye mikutano, acha kisingizio CCM.Mbona wanaCCM wanasema CHADEMA imeishiwa?
Halafu wanakodi helikopta kwa hela za kutembeza mabakuli mikutanoni, usalama wa hiyo ndege ya hela za mashaka ukoje? Wasije singizia nati zimetolewa kumbe bovu.Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.
RubbishKwani hujui maana ya kampaign kaa kimya, kupanga ni kuchagua fedha yachama chenu mlimpa mwenyekiti katafuna sasa mnalialia nini , wao ccm walipanga fedha yao kutumika kumnadi mgombea. Hamjataka kuomba poo??????????????????????
Yule ni rais hawezi kutembea na chopa Kama Lissu. Chadema kundi lenu moja na akina Rungwe, Membe, shibuda, nk.Ule msafara wa Magu unaweza kuwa gharama kuliko Chopa ya Lissu so mshauri kwanza Babu yenu.
Kati ya CCM na chadema kipi ni kikundi Cha wahuni/saccos?Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni