mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Chato ataongoza ila sio zaidi ya 68Labda pale jamhuri ya watu wa chato....
Hivi jamaa ameanza kula mahindi?
Sijui ila najua mkurugenzi wa mikopo ni polepoleKati ya CCM na chadema kipi ni kikundi Cha wahuni/saccos?
Mmeshapata sababu ya kushindwa, Basi acheni apayukepayuke atakavyo maana hatatangazwa.Lissu kushinda atashinda hilo lipo dhahiri.... ila NEC itamtangaza aliyeiteua!
Piga magoti na muulize Mungu wako, jee baba Muumba hivi Mimi uliniumba kichwani na ubongo au kitu gani? Mbona Niko tofauti na binadamu wengine? Au mie ngedere kwenye umbo la mtu?
Atakujibu maana anajibu maombi
Lissu hawezi kupata hata kura elfu 3, wanaomwani wengi ni wavuta ganjaWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Uliza Bagamoyo leo alivyoaibika Tundu Loss hajaenda hata mtu kwenye mkutano ameingia mitiniMwendo wa jino Kwa jino Hadi tunachukua nchi October
Machadema pumzi imekataChief hili umenena kweli, tunaona mikutano yake inapwaya kwa kukosa watu, mwingine huyu hapa naye anaaminishwa kua kawe ataichukuaView attachment 1565149
Maalim Seif kushinda Hilo Sina Shaka , ila huyu Tundu Lissu hawezi hata kidogo maana idadi ya kura atakazopata hawezi mzidi Membe chaguo lenu la awali.That's very good then....
Na wewe tatizo lako ni nini kwani kama wanaamini hivyo?...
Matusi ya Nini wewe nyumbu?Na mumeo pia anamini hvyo ni wew tu na michepuko yako hapo lumumba
Kibaya zaidi huyo Tobo alimtusi Hayati Mwal Nyerere live, atakwendaje pale?Bagamoyo wanapaogopa sio utani
Uhuru wa Tanzania ulitokea pale mti wa uhuru bagamoyo na udongo ule ambao nyerere na Karume waliuchanganya kuunda muungano wa sasa huu wa serikali mbili ambao ulichukuliwa Zanzibar na Tanganyika udongo uliotumika kufunga huo muungano ulichotwa bagamoyo ukasomewa dua nzito na wazee wa bagamoyo akapewa Nyerere akachanganye na ule wa Zanzibar uliosomewa madua na wazee wa Zanzibar
Mvunja muungano au mwenye nia ya kubomoa muungano huu wa serikali mbili kiboko yake imo bagamoyo ndio maana Lowasa alikimbia anapajua
Kichwa kibadilishwe kisomeke
Lisu aanza safari ya maonyesho ya helikopta leo ataionyesha kibaha,bagamoyo na chalinze
We Mshana unahangaika nini?? watu hawajataka kwenda kusikiliza matusi ya Tobo, sasa kama alikosa kibali si watu wangekua wamejaa uwanjani kumsubiri na angeenda hata kwa gari, acheni fix
Acha yeye apite juu kama kandegeSafi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
wala hujakosea mkuu yaaani wana mihemku utafikiria binti aliyepata mimba ya kuto kuplanWanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Kwa vile CCM nao wanaamini kuwa Lissu ndio mshindi hakuna wa kufa na chembe ya moyo kwa kuwa wauaji nao wako kwenye kundi la ushindi wa Lissu.Daaa mtakufa na chemba moyo bure.
Nyie munaona rahisi wakati yeye anaona haiwezekani.
Kumbe na nyinyi ni wajumbee eee.
Habari bure.Kwa kutumia Nguvu ya Taasisi za Serikali inayotokana na CCM mtashinda ndio manaa maeneo mengine mmesha pita bila ya kupingwa.IGP kaenda kuweka kambi Zanzibar Pemba huko ,na Majeshi ni kama yame hamia huko kwa sasa kuhakikisha lao linatimilizwa.
View attachment 1565005
Anajiita bulldozer...... Jinga kweli jamaaChato ataongoza ila sio zaidi ya 68
Zaidi ya hapo ni uchakachuzi.
Hivi unazani kwa ubinafsi wake hajawakera hata Dada zake?
Sembuse majirani.
Utakuta wengne wamenyang'anywa mashamba