Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni
 
CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Hata nyie mnataman kufanya, Kama mlivyofanya 2015 kwa Lowassa. Sema ndo hivyo, Hamna hela😂😂
 
CCM wapo serious, ukitaka jambo lazima uonyeshe uhitaji kwa akili na nguvu zote. Mtu ambae anaenda nusu nusu, huyo hana nia ya dhati na jambo analolihitaji.
Mngekuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia Watanzania ingewasaidia sana, hivi mlipoingia madarakani sukari ilikua bei gani na sasa hivi ni bei gani?
 
Mngekuwa na nia ya dhati ya kuwasaidia Watanzania ingewasaidia sana, hivi mlipoingia madarakani sukari ilikua bei gani na sasa hivi ni bei gani?
Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?
 
Habari njema kwa raisi mtaraniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…