Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Safi, Stratergy iwe ni kwenye miji midogo midogo, na vitongoji vyake huko ndo kuna kura.
Magufuli anatumia usafiri wa barabara hivyo basi anafanikiwa kuongea na watu wengi njiani
CCM ni jeshi la miguu linafikia kila mpiga kura, inaoneka hamkujipanga kwa uchaguzi kama mpaka leo hamjui mode of transport ya mgombea weniu basi ni hatareeeeeeeeeeee. Magu anawakalisha mapema sana bado mna siku 46, kampeni gani hii ya kwenu mnajazana kwenye mkutano mmoja viongozi wote. Mbowe alitakiwa kuwa kivyake, Salum Mwalimu kivyake n.k. POLENI WAGENI WETU KWENYE SIASA
 
Matumizi Mabaya ya pesa. KUTOKA DAR HADI KIBAHA KWA GARI NI MWENDO WA DAKIKA 40 MTU ANATUMIA HELKOPTA USHAMBA.

V8 za mnae amin alishinda 2015 na atashinda sasa zinatumia mafuta kiasi gani ziko ngapi...wale wanaposho kila siku madereva hotel atakayofikia ..wote wale kwenye msafara wanakula pesa ya serikali
 
Lissu ndo Raisi mtarajiwa wa Tanzania ambaye anabeba maono ya kuivusha Tanzania. Jiwe anaweza kuwa ndo Raisi kwanza kuongoza kwa miaka mitano ajiandae kurudi kijijini kwake Chato huko alipojenga hekalu madikteta wengi wakipata madaraka huwa vitisho vingi sana kama ambavyo Jiwe anavyo tarehe 28-09-2020 tutamrudisha chato hii nchi si mali ya kikundi cha wahuni

Umesahau mwezi wa uchaguzi
 
Iko
Wanaoamini kwamba atashinda urais ni wanachadema wa mitandaoni tu.
Iko wazi kuwa atashinda kwa kishindo maana wenye magumu ya maisha niwengi na yeye ndo mwenye sera za kupunguza magumu najua hata wewe unajisemesha tu ila kura utampigia
 
Nimekusikia lakini kurayangu bado Hewani hatayeye lisu zijamsikia akisema chochote kwenye huu ubabe tuliofanyiwa wavuvi anaturudishaje kimaisha
Endelea kumfatilia vizuri ana mipango kabambr ya kukomboa makundi yote ya kijamii. Wavuvi hawajawekwa mbali.
 
Lissu angekuwa hata waziri angejua uongozi sio lele mama. Uraisi sio mchezo! Hoja zake ni kuponda tu! Ina maana akibahatika kuwa raisi, nchi jirani ikimkosoa ni kuponda tu! Hatutaki shari, kapumzika usubiri kazi kulingana na fani yako
Hivi kama Magufuli kawa Rais unadhani ni yupi mwingine wa kushindwa ?
 
Kukuonesha kuwa huna akili subili 28 October. Magufuli anavyoshindaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Hupendi jinyonge.

Kwa kutumia Nguvu ya Taasisi za Serikali inayotokana na CCM mtashinda ndio manaa maeneo mengine mmesha pita bila ya kupingwa.IGP kaenda kuweka kambi Zanzibar Pemba huko ,na Majeshi ni kama yame hamia huko kwa sasa kuhakikisha lao linatimilizwa.

 
Wengi hawamjui watakuja kushangaa helicopter yeye kule anahutubia watu waniangalia helikopta

Hayo mambo ya kushangaa chopper ni huko Njedengwa Dodoma, Kibirashi na mamboleo huko Kilindi hata huko Ruangwa kwa majaliwa usiwakazie watu wengine mambo ya ajabu.
 
Wengi hawamjui watakuja kushangaa helicopter yeye kule anahutubia watu waniangalia helikopta

Hayo mambo ya kushangaa chopper ni huko Njedengwa Dodoma, Kibirashi na mamboleo huko Kilindi hata huko Ruangwa kwa majaliwa usiwakazie watu wengine mambo ya ajabu.
 
Usafiri pekee usiotumika kwenye kampeni za magu ni ndege.
Baiskel zipo
Bodaboda zipo
Helicopter zipo
Magari mengi tu
Mabasi ya wasanii
Malori ya kubeba wajaza vichwa
Mkuu, mi nipo Shinyanga. Wakati anaingia hapa, aliingia na magari zaidi mia moja, wakati huo huo angani kulikuwa na helkopta inazunguka huku ikikatiza kushoto na kulia.
 
Chopa ni sera ya mda mrefu Sana ya Chadema,

Kila mgombea nafasi ya Urais lazima aitumie.

Nadhani wakichukua dola Usafiri maalum wa viongozi na watendaji wa serikali itakua Chopa.
 
Sasa HIVI watu wana pesa kuliko zamani ulitaka bei zibaki hivyo hivyo?

Kwamba buku 7 zinalipa sana siku hizi kuliko zamani? Bandiko lako nadhani:

Watu = buku 7.

Itakuwa ni kwenye zama hizi za Lissu maana hata bashiri kaitisha mslilale kabisa kwani hali ya hewa ni mbaya mno.
 
CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Kweli kabisa! Kwenye runinga, Kisutu Mahakamani, Ubelgiji hospitalini na mihadhara aliyokuwa akilipwa "handouts"!
 
Back
Top Bottom