Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Uchaguzi 2020 Lissu aanza kutumia Chopa. Kutikisa Bagamoyo, Kibaha na Chalinze leo

Chopa ni sera ya mda mrefu Sana ya Chadema,

Kila mgombea nafasi ya Urais lazima aitumie.

Nadhani wakichukua dola Usafiri maalum wa viongozi na watendaji wa serikali itakua Chopa.

Heri wakawa wanasafiri kwa Chopa. Mabarabani magari 100, watu kama 500 na helikopta juu kwenye misafara ya mzee baba ni matumizi mabaya sana ya pesa na usumbufu mkubwa kwa watumia barabara wengine.
 
Tundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.

Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo

Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la Uchaguzi.

#Niyeye2020
Ndege zinazobeba raia 100 na zaidi siyo za muhimu lakini chopper inayobeba VIPs ni ya muhimu. Sidhani kama kweli ile michango ya kupitisha karai kwenye mikutano ndiyo imeleta chopper hiyo.
 
si bora Lisu ange paa na chopa yake, Mbowe na yake na Maalim na ya kwake, wangerahisisha kazi kuliko kulundikana wote eneo moja...wakati Tanzania ji nchi kubwa
 
Tundu Antipas Lissu, Mgombea Urais kupitia CHADEMA anayeaminiwa na wengi kushinda Urais mwaka huu leo anaanza rasmi kuruka angani kwa kutumia Chopa maalum.

Baada ya mapumziko ya siku 2 mgombea huyo leo anatarajiwa kuingia mkoani Pwani kwa kishindo ambapo atafanya mikutano mikubwa ya kampeni katika miji ya Kibaha, Chalinze na Bagamoyo

Mara baada ya awamu ya kwanza kuzindua kampeni kwenye kanda zote 10 kwa sasa lengo kubwa ni kufanya mikutano mingi ya kukutana na wananchi kwa kila mkoa na kila Jimbo la Uchaguzi.

#Niyeye2020
Msisahau kutuletea picha za mafuliko.
 
Chopa ni sera ya mda mrefu Sana ya Chadema,

Kila mgombea nafasi ya Urais lazima aitumie.

Nadhani wakichukua dola Usafiri maalum wa viongozi na watendaji wa serikali itakua Chopa.
Mkuu stroke mie nadhani ni bora chopa kuliko kusimamisaha shughuli za uzalishaji Mali kwa maelfu ya watu kwa manufaa ya wa chache
Regards msafara wa hon president
 
jee fedha za kulipia chopa zimeshakuja? 2015 Chadema walisema wamenunua chopa tatu zipo wapi?
 
CCM mbona mnanadi mgombea wenu kwa gharama kubwa sana? Kila nguzo ya umeme mijini ina bango lake wakati miaka yote mitano alikuwa akifanyia kazi zake kwenye runinga.
Wamefikia mpaka kubandika picha za mgombea wao kwenye majumba ya watu bila hata kuomba. Unaamka asubuhi unakuta nyumba yote imejaa picha za mgombea wao.
 
Kuna sehemu washaur au viongoz wa chadema wanafer upo ktk kampen alaf unatumia chopa ,ingekua vzur wangetumia barabara ni rais kukutana na watu weng kuanzia njian ad eneo la tukio
 
Haya mambo ya Chopa jamani! Usalama wake mbona ni mdogo jamani?
 
CHADEMA walimpa sumu mangula......hawafai hawa. Ulisikika msukule kutoka mtaa wa lumumba
 
kweli sasa naamini marehemu Ndesa alijitolea kukipigania chama kwa hali na mali zake, leo hii wengine wamekuwa bahili wanaogopa kufilisika!! huku wanataka chama kiwanufaishe!! hiii si sawa.
 
Ni yeye wakala wa beberu
kweli kabisa maana ameuza raslimali zote kwa wzungu na mikataba yote ya kinyonyaji yenye maslahi binafsi ya mwenyekiti yeye LISSU ndio kasaini....

Huyu jamaa hafai kabisa
 
Back
Top Bottom