Lissu aanza ziara kuaga "watu wake" ughaibuni, muda si mrefu anarudi

Lissu aanza ziara kuaga "watu wake" ughaibuni, muda si mrefu anarudi

Alichanjwa na mganga wa kigoma chanjo inaitwa vidono, nadhani hili somo Mshana Jr hakuwahi kulitoa hapa, Ile chanjo ukilambwa risasi au panga haikuui.

Wanasiasa wengi wanaijua, pamoja na Polisi na wanajeshi na usalama.

JPM na Lissu walipambana kamati za ufundi, wakatoka droo, baadae naona ndio ikawa vile
Hakukuwa na draw.. Matokeo unayajua yako wazi, ukinichezea rough nikaumia lakini nikaendelea na mchezo mimi ndio mshindi
 
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.

Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Hawana haja ya kumleta lissu maana hata aliyepo wameshaanza kula keki yetu ya taifa
 
Karibu nyumbani shujaa
Shujaa alikuwa na msongo wa mawazo sana huko ubeleji akawa anafakamia sana Brandi.....nadhani kamaliza kanselingi. Si unajua half kick haipo tena, alikuwa anaangalia jinsi gani wazungu watamsaidia kuiwasha kama bajaji
 
Shujaa alikuwa na msongo wa mawazo sana huko ubeleji akawa anafakamia sana Brandi.....nadhani kamaliza kanselingi. Si unajua half kick haipo tena, alikuwa anaangalia jinsi gani wazungu watamsaidia kuiwasha kama bajaji
Dingi ako ndiyo yupo huko
 
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.

Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Kwa hiyo ulitaka asirudi ?
 
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.

Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Uwendawazimu ni kama huu uliouandika. Eti Wajerumani waliacha mali zao nyingi sana. Ebu zitaje chache.

Ninyi ndio wale wajinga wanaobomoa trigonometric reference survey points zilizowekwa kwenye vilele vya milima wakati kulipokuwa kukifanyika regional mapping, mkidai ni alama zinazoonesha chini kumefichwa madini enzi za Wajerumani. Very stupid. Unadhangaa hata walioenda shule wanashabikia huo uwendawazimu.

Kama huna kazi ya kufanya kazibomoe kama wanavyofanya wajinga wenzio, halafu uje utuambie umepata mali kiasi gani.

Uwendawazimu na ujinga ni mzigo, na ukiwa na watu wengi wendawazimu na wajinga katika Taifa, nchi haiwezi kwenda popote. Tumejenga shule na vyuo vingi lakini wajinga na wendawazimu wanazidi kuongezeka, tena wengine ni wale waliovishwa majoho ya graduation.
 
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.

Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Chuki, Uoga na Ujinga vimekutawala. Utateseka sana.
 
Hii ni nchi nayo ya mtu kutumia jasusi?wakati kila kitu mtu akikitaka ni dakika tu, ana kipata?kwa lipi hasa, tatizo lako bado una endekeza zile fixi za mwendazake, eti mabeberu wanaitamani sana Tz, Wakati hadi chumbani wako miaka mingi tu, na nyie ndio mliowakaribisha!!Zama zimebadirika , sio muda wa siasa zile za kishamba kama za awamu ya 5.MUNGU FUNDI
Awamu ya 5 ilikuwa ni ya utawala wa watu wendawazimu, washamba, wajinga wa siasa za uchumi wa kisasa, wasioelewa chochote, zaidi ta kutumia nguvu.

Nyati ana nguvu sana kuliko mwanadamu, ana uzito zaidi ya kilo 500 lakini kwa sababu ya udogo wa ubongo, anaweza kuuawa na mwanadamu mwenye kilo 50.

Ni vema tukaweka mwongozo kama Taifa, iwe ni marufuku kwa wagonjwa wa akili, watu washamba, wanaopenda kutumia zaidi nguvu kuliko akili, kupewa nafasi za uongozi.

Mtawala mwovu hayupo, lakini madhara yake ni kutuzalishia wajinga wa kudumu kama huyu mleta mada. Madhara haya yatachukua muda, hadi kuyaondoa kwa 100%.
 
Magufuli alitaka kumuua Lissu, Mungu akamgomea - alitakiwa atubu mapema akagoma ndiyo maana leo hatuko naye. Mungu anaishi ndani yetu ogopeni saana enyi wanadamu wenye viburi na roho ngumu.

GOD is with us today !! Wewe ni nani ??
 
Huyo mwamba ana roho ya paka, risasi 16 hazikumdondosha, wengine covid 19 tu chali six feet under.
Sidhani kama kitisho kimeisha kwa 100%. Shetani huwa na wafuasi, huwa na shetani wadogo. Japo shetani mkuu hayupo, lakini hawa wadogo bado wapo. Ni vema akirudi achukue tahadhari.
 
Aisee mkuu, binafsi hua naona CDM kama ni genge la wahuni, kila kitu kwao ni kibaya, nyakati za nyuma walicho wahi kushauri Serikali mambo mengi alikuja kuyafanya JPM, ule uthubutu wa kiutawala, kuzuia walafi wa wa fedha za wananchi na kuzuia mianya ya wapigaji ktk sekta nyingi za serikali, watu ambao tuliwahi kuwalalamikia na tulifunguliwa akili hizo na upinzani, lakini tena Kwa yale yote ya JPM wakageuka na kusema ni dikteta, muuaji na mambo kede kede, Kwa hivyo watu wengi ambao ambao wanamponda JPM ni walikua na maslahi yao ktk mambo mengi ambayo hayakua halali kwao, ndiyo maana wakati mwingine hawa wapinzani nawaona ni wahuni tu, sometimes kuwashabikia haina maana, CCM wana shida zao nyingi tu, hawa wapinzani Wana shida zao nyingi tu, wote ni wapigania tumbo
Kuna wakati wowote ambapo Mtanzania yeyote aliwahi kutamka kuwa tunataka kiongozi muuaji, mtekaji na mpotezaji watu wanaomkosoa?

Kuna wakati wowote, kuna mtanzania aliwahi kutamka kuwa anahitaji kiongozi atakayekuwa anapora pesa za watu na kuziweka mfukoni mwake kama alivyofanya marehemu?

Kuna wakati wowote kuna mwananchi aliwahi kusema anatamani kumpata kiongozi atakayetumia rasilimali za Taifa kujenga kijijini kwake?
 
Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.

Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.

Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320l
Lakini si tuliambiwa Lissu na Lema watakuwa kwenye Mkutano ule wa Kihuni?
 
Aisee mkuu, binafsi hua naona CDM kama ni genge la wahuni, kila kitu kwao ni kibaya, nyakati za nyuma walicho wahi kushauri Serikali mambo mengi alikuja kuyafanya JPM, ule uthubutu wa kiutawala, kuzuia walafi wa wa fedha za wananchi na kuzuia mianya ya wapigaji ktk sekta nyingi za serikali, watu ambao tuliwahi kuwalalamikia na tulifunguliwa akili hizo na upinzani, lakini tena Kwa yale yote ya JPM wakageuka na kusema ni dikteta, muuaji na mambo kede kede, Kwa hivyo watu wengi ambao ambao wanamponda JPM ni walikua na maslahi yao ktk mambo mengi ambayo hayakua halali kwao, ndiyo maana wakati mwingine hawa wapinzani nawaona ni wahuni tu, sometimes kuwashabikia haina maana, CCM wana shida zao nyingi tu, hawa wapinzani Wana shida zao nyingi tu, wote ni wapigania tumbo
Chadema haiwezi tena kurudi kwenye reli,
Limebaki kuwa genge la wahuni kama walivyo wahuni wengine...
Tunahitaji chama pinzani imara sio CDM.
 
Back
Top Bottom