Hakukuwa na draw.. Matokeo unayajua yako wazi, ukinichezea rough nikaumia lakini nikaendelea na mchezo mimi ndio mshindiAlichanjwa na mganga wa kigoma chanjo inaitwa vidono, nadhani hili somo Mshana Jr hakuwahi kulitoa hapa, Ile chanjo ukilambwa risasi au panga haikuui.
Wanasiasa wengi wanaijua, pamoja na Polisi na wanajeshi na usalama.
JPM na Lissu walipambana kamati za ufundi, wakatoka droo, baadae naona ndio ikawa vile
Hawana haja ya kumleta lissu maana hata aliyepo wameshaanza kula keki yetu ya taifaLissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Kwanza dikteta hayupo tenaHakukuwa na draw.. Matokeo unayajua yako wazi, ukinichezea rough nikaumia lakini nikaendelea na mchezo mimi ndio mshindi
Shujaa alikuwa na msongo wa mawazo sana huko ubeleji akawa anafakamia sana Brandi.....nadhani kamaliza kanselingi. Si unajua half kick haipo tena, alikuwa anaangalia jinsi gani wazungu watamsaidia kuiwasha kama bajajiKaribu nyumbani shujaa
Dingi ako ndiyo yupo hukoShujaa alikuwa na msongo wa mawazo sana huko ubeleji akawa anafakamia sana Brandi.....nadhani kamaliza kanselingi. Si unajua half kick haipo tena, alikuwa anaangalia jinsi gani wazungu watamsaidia kuiwasha kama bajaji
Kwa hiyo ulitaka asirudi ?Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
IHuyo mwamba ana roho ya paka, risasi 16 hazikumdondosha, wengine covid 19 tu chali six feet under.
😂😂Huyo mwamba ana roho ya paka, risasi 16 hazikumdondosha, wengine covid 19 tu chali six feet under.
Uwendawazimu ni kama huu uliouandika. Eti Wajerumani waliacha mali zao nyingi sana. Ebu zitaje chache.Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Chuki, Uoga na Ujinga vimekutawala. Utateseka sana.Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320
Awamu ya 5 ilikuwa ni ya utawala wa watu wendawazimu, washamba, wajinga wa siasa za uchumi wa kisasa, wasioelewa chochote, zaidi ta kutumia nguvu.Hii ni nchi nayo ya mtu kutumia jasusi?wakati kila kitu mtu akikitaka ni dakika tu, ana kipata?kwa lipi hasa, tatizo lako bado una endekeza zile fixi za mwendazake, eti mabeberu wanaitamani sana Tz, Wakati hadi chumbani wako miaka mingi tu, na nyie ndio mliowakaribisha!!Zama zimebadirika , sio muda wa siasa zile za kishamba kama za awamu ya 5.MUNGU FUNDI
Sidhani kama kitisho kimeisha kwa 100%. Shetani huwa na wafuasi, huwa na shetani wadogo. Japo shetani mkuu hayupo, lakini hawa wadogo bado wapo. Ni vema akirudi achukue tahadhari.Huyo mwamba ana roho ya paka, risasi 16 hazikumdondosha, wengine covid 19 tu chali six feet under.
Kuna wakati wowote ambapo Mtanzania yeyote aliwahi kutamka kuwa tunataka kiongozi muuaji, mtekaji na mpotezaji watu wanaomkosoa?Aisee mkuu, binafsi hua naona CDM kama ni genge la wahuni, kila kitu kwao ni kibaya, nyakati za nyuma walicho wahi kushauri Serikali mambo mengi alikuja kuyafanya JPM, ule uthubutu wa kiutawala, kuzuia walafi wa wa fedha za wananchi na kuzuia mianya ya wapigaji ktk sekta nyingi za serikali, watu ambao tuliwahi kuwalalamikia na tulifunguliwa akili hizo na upinzani, lakini tena Kwa yale yote ya JPM wakageuka na kusema ni dikteta, muuaji na mambo kede kede, Kwa hivyo watu wengi ambao ambao wanamponda JPM ni walikua na maslahi yao ktk mambo mengi ambayo hayakua halali kwao, ndiyo maana wakati mwingine hawa wapinzani nawaona ni wahuni tu, sometimes kuwashabikia haina maana, CCM wana shida zao nyingi tu, hawa wapinzani Wana shida zao nyingi tu, wote ni wapigania tumbo
Lakini si tuliambiwa Lissu na Lema watakuwa kwenye Mkutano ule wa Kihuni?Lissu ameanza kuaga watu wake nadhani anajiandaa kurudi Tanzania, akipita bunge la ujerumani katika ziara hiyo, Ujerumani ndio walimuhifadhi na kumtafutia njia ya "kumkimbia mwendazake" kutoka ubalozini mpaka uwanja wa ndege. HAKIKA ANA FADHILA ya kulipa, hatujui fadhila gani.
Pia Lissu anayekuja ni Lissu aliyeishi ulaya, sio Lissu wa wakati ule, ni kawaida ya mataifa ya ulaya kupenyeza ajenda zao za kijasusi kwa wanasiasa wa afrika. Mbaya zaidi aliishi ubeleji, ambako ni kijiwe Cha majasusi dunia nzima. Lazima watakuwa wamemtengeneza kimaslahi yao, Hivyo basi, mienendo yake ya kisiasa iangaliwe iwapo haina maslahi kwa Taifa.
Tanganyika ilikuwa koloni la ujerumani, na ujerumani hawakuondoka kwa hiyari Tanganyika, na inasemwa waliacha Mali zao nyingi tu ila tu hawana namna, na wanatafuta namna makampuni yao yazifikie.
View attachment 2222320l
chinembe mbona kama unateseka sana na CDM? Halafu wewe na johnthebaptist ni pacha au ni multiple ID?
Upigaji wa awamu ya 5 ulikuwa mbaya kuliko wote, kwa sababu ulilindwa na Rais.Upigaji hauna Awamu ndugu.
Chadema haiwezi tena kurudi kwenye reli,Aisee mkuu, binafsi hua naona CDM kama ni genge la wahuni, kila kitu kwao ni kibaya, nyakati za nyuma walicho wahi kushauri Serikali mambo mengi alikuja kuyafanya JPM, ule uthubutu wa kiutawala, kuzuia walafi wa wa fedha za wananchi na kuzuia mianya ya wapigaji ktk sekta nyingi za serikali, watu ambao tuliwahi kuwalalamikia na tulifunguliwa akili hizo na upinzani, lakini tena Kwa yale yote ya JPM wakageuka na kusema ni dikteta, muuaji na mambo kede kede, Kwa hivyo watu wengi ambao ambao wanamponda JPM ni walikua na maslahi yao ktk mambo mengi ambayo hayakua halali kwao, ndiyo maana wakati mwingine hawa wapinzani nawaona ni wahuni tu, sometimes kuwashabikia haina maana, CCM wana shida zao nyingi tu, hawa wapinzani Wana shida zao nyingi tu, wote ni wapigania tumbo