Tetesi: Lissu adaiwa kumponza Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

Tetesi: Lissu adaiwa kumponza Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

Pamoja na kwamba anayejua ukweli wa huo uamuzi wa kumrudisha nchini ni Mh.rais, tungejiuliza kwanza hivi kutoka kuwa balozi mpaka kuwa naibu katibu mkuu ikulu ni Demotion (kushushwa cheo) au promotion (kupandishwa cheo) both interms of opportunity and exposure, labda kuanzia hapo ndo tuanze kuunganisha dot.
Kutoka Balozi hadi Naibu Katibu Mkuu ofisi ya Makam wa Rais
 
Binadamu tunajisahau sana,cheo ni dhamana.Kashalamba miaka mitatu ya utawala bado mi2 tu aachie ngazi na yeye....Washapita wengi hapo kwenye kiti na yeye atapita na atakiacha atarudi mtaani na kuwa raia wa kawaida.
 
Mleta mada, usituletee taarifa ya habari za dizaini ya Mange Kimambi.....kukurupuka kuwahi kutuma ujumbe hata kama wa uwongo ili tu asifike mtandaoni. Si unaona alivyotangaza habari za Nape wiki iliyopita na kuumbuliwa? Kwa haibu yuko anajipiga vidole na kujiweka Instagram ili watu wamuonee huruma.
 
Mleta mada, usituletee taarifa ya habari za dizaini ya Mange Kimambi.....kukurupuka kuwahi kutuma ujumbe hata kama wa uwongo ili tu asifike mtandaoni. Si unaona alivyotangaza habari za Nape wiki iliyopita na kuumbuliwa? Kwa haibu yuko anajipiga vidole na kujiweka Instagram ili watu wamuonee huruma.
Taarifa za mange huwa zipo sahihi shida akivujisha basi huwa zinakuwa muted kwa wale wasakwa.
 
Toka chanzo changu nyeti cha habari kimedadavua habari hii kwa uhakika kabisa kwamba kisa cha kutolewa ubalozi mtoto wa sokoine nchini ubelgiji na kurudishwa nchini ni kile kitendo cha yeye kwenda kumjulia hali mheshimiwa Tundu lissu.

Inasemekana bwana mkubwa hakufarahishwa na kitendo cha balozi wetu kwenda kumuona ndugu lissu na kumuona ni msaliti akaenda mbali zaidi na kusema hali kama hiyo aliipitia ndugu Lazaro Nyalundu alipokwenda kumuona lissu kwani wabunge wa ccm walizuiwa kwenda na ndicho chanzo kikuu cha Nyalandu kuamua kuachia ubunge wake na kujitoa ndani ya chama cha mapinduzi ( ccm) kwa kuwa hakuridhishwa na namna ya hilo jambo lilivyokuwa likiendeshwa na mwenyekiti wao.

Kahitimisha kwa kusema kwamba wanachama wao kwa sasa wanahali ngumu mno katika vipindi vyote ambayo wapo ndani ya chama hicho kikongwe.

My take:

Kwa upande wangu naona hili jambo si zuri hasa kwa sisi Watanzania tulishazoea kuishi kwa upendo kwani siasa sio uadui lakini inashangaza bwana mkubwa anapogeuza siasa ni uadui hasa kwa yale majibu yake ya kuomba aachwe afanye atakavyo aje kuulizwa mbele hii kitu inatia shaka mno,

Inakuwaje mtu anasema siasa nazifungia kwa kuwa natukanwa huku nikiwajengea barabara je hizo pesa ni za hisani toka mfukoni kwake? Nakumbuka wanafunzi wa udom waliitwa vilaza sijui kama anakumbuka hizi kauli za kuudhi.

Ukipenda kusifiwa kubali kunakukosolewa hata shilingi ina pande mbili.
Wasiojulikana Katika Ubora
 
Umekosea sana..huku kwetu siasa ni uadui mkubwa kabisa
 
Ana roho mbaya sana. Sasa mtu kumjulia hali mgonjwa imekua nongwa
 
Mkubwa kiaje, kwa vipimo gani, mshahara au.
Leta source to back up your claim.
Balozi wa marekani hapa nchini kwetu ni sawa na msemaji wa ikulu?
 
Sio tetesi hizo ni habari kamili kwani balozi wa India kafanya nini ikiwa kashindwa kuishawishi india wanunue mbaazi?
Lakini hebu tulifikirie jambo hili la mbaazi kiundani zaidi, mbona katika masoko ya Dar na kwengineko nchini bei ya mbaazi ipo juu ya shilingi 1500?! Kwanini wakulima wa huko kusini wasiuzie katika soko la ndani? Au kuna nini hasa kinachoendelea?
 
Toka chanzo changu nyeti cha habari kimedadavua habari hii kwa uhakika kabisa kwamba kisa cha kutolewa ubalozi mtoto wa sokoine nchini ubelgiji na kurudishwa nchini ni kile kitendo cha yeye kwenda kumjulia hali mheshimiwa Tundu lissu.

Inasemekana bwana mkubwa hakufarahishwa na kitendo cha balozi wetu kwenda kumuona ndugu lissu na kumuona ni msaliti akaenda mbali zaidi na kusema hali kama hiyo aliipitia ndugu Lazaro Nyalundu alipokwenda kumuona lissu kwani wabunge wa ccm walizuiwa kwenda na ndicho chanzo kikuu cha Nyalandu kuamua kuachia ubunge wake na kujitoa ndani ya chama cha mapinduzi ( ccm) kwa kuwa hakuridhishwa na namna ya hilo jambo lilivyokuwa likiendeshwa na mwenyekiti wao.

Kahitimisha kwa kusema kwamba wanachama wao kwa sasa wanahali ngumu mno katika vipindi vyote ambayo wapo ndani ya chama hicho kikongwe.

My take:

Kwa upande wangu naona hili jambo si zuri hasa kwa sisi Watanzania tulishazoea kuishi kwa upendo kwani siasa sio uadui lakini inashangaza bwana mkubwa anapogeuza siasa ni uadui hasa kwa yale majibu yake ya kuomba aachwe afanye atakavyo aje kuulizwa mbele hii kitu inatia shaka mno,

Inakuwaje mtu anasema siasa nazifungia kwa kuwa natukanwa huku nikiwajengea barabara je hizo pesa ni za hisani toka mfukoni kwake? Nakumbuka wanafunzi wa udom waliitwa vilaza sijui kama anakumbuka hizi kauli za kuudhi.

Ukipenda kusifiwa kubali kunakukosolewa hata shilingi ina pande mbili.

Mliambiwa tangu mwanzo mnapashwa kuishi kama mashetani. Au huelewi ushetani ni nini?
 
Pamoja na kwamba anayejua ukweli wa huo uamuzi wa kumrudisha nchini ni Mh.rais, tungejiuliza kwanza hivi kutoka kuwa balozi mpaka kuwa naibu katibu mkuu ikulu ni Demotion (kushushwa cheo) au promotion (kupandishwa cheo) both interms of opportunity and exposure, labda kuanzia hapo ndo tuanze kuunganisha dot.
Demotion
 
Back
Top Bottom