Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,639
- 903
Kama kweli katolewa Ubalozini nadhani hiyo sio sababu, serikali ingelikuwa na shida hata Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassani asingelikwenda kumuona Lissu alipokuwa Hospitalini Nairobi na hata kutoa salamu za Rais, nadhani hizi ni hisia negative ambazo wengi wetu tuzijenga kwenye fikra zetu.
Ni mtizamo wangu tu
Ni mtizamo wangu tu