Tetesi: Lissu adaiwa kumponza Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

Tetesi: Lissu adaiwa kumponza Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji

Kama kweli katolewa Ubalozini nadhani hiyo sio sababu, serikali ingelikuwa na shida hata Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassani asingelikwenda kumuona Lissu alipokuwa Hospitalini Nairobi na hata kutoa salamu za Rais, nadhani hizi ni hisia negative ambazo wengi wetu tuzijenga kwenye fikra zetu.

Ni mtizamo wangu tu
 
Hilo la sijui Marekani na Angola limetoka wapi Mkuu, lakini mada uliyoleta inamzungumzia mtoto wa Sokoine ambaye alikuwa balozi wa Tanzania umoja wa Ulaya ila kupitia mabadiliko madogo yaliyofanyika juzi akahamishiwa ikulu kuwa naibu katibu mkuu, swali langu ni kutaka kujua huko ni kupandishwa cheo ama kushushwa cheo? Naomba unijibu kama ikikupendeza
Ni kushushwa cheo
 
Kama kweli katolewa Ubalozini nadhani hiyo sio sababu, serikali ingelikuwa na shida hata Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassani asingelikwenda kumuona Lissu alipokuwa Hospitalini Nairobi na hata kutoa salamu za Rais, nadhani hizi ni hisia negative ambazo wengi wetu tuzijenga kwenye fikra zetu.

Ni mtizamo wangu tu
Jiwe halina mamlaka ya kumtiua Makamu wa Rais. Ila ukitaka kujua adhabu atakayopata yule mama... omba uzima na usubirie uone nani atakuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi 2020.
 
Kama kweli katolewa Ubalozini nadhani hiyo sio sababu, serikali ingelikuwa na shida hata Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassani asingelikwenda kumuona Lissu alipokuwa Hospitalini Nairobi na hata kutoa salamu za Rais, nadhani hizi ni hisia negative ambazo wengi wetu tuzijenga kwenye fikra zetu.

Ni mtizamo wangu tu
Hivi spika wa bunge ambae ni kiongozi wa lissu amewahi kukanyaga hospatali kumjulia hali mtu wake?

Tia akilini.
 
Jiwe halina mamlaka ya kumtiua Makamu wa Rais. Ila ukitaka kujua adhabu atakayopata yule mama... omba uzima na usubirie uone nani atakuwa mgombea mwenza kwenye uchaguzi 2020.

Naomba Mungu anijalie uzima wa afya ya mwili na roho, niwepo hiyo 2020 na pia tuweze kukumbuka hili ulilolisema.

Kuwa na hisia negative katika kitu/jambo ama mtu sio mbaya, lakini sio mara zote huwa ni sahihi.
 
Naomba Mungu anijalie uzima wa afya ya mwili na roho, niwepo hiyo 2020 na pia tuweze kukumbuka hili ulilolisema.

Kuwa na hisia negative katika kitu/jambo ama mtu sio mbaya, lakini sio mara zote huwa ni sahihi.
Kumbe huna subira? We kazi yako ni kusubiria 2020... lakini naona tayari ushaweka conclusion kuwa ni "hisia". Nakusihi uwe na subira ushuhudie kitakachotokea. Usisahau mtoto wa jiwe atapigiwa chapuo awe mbunge wa Kawe. Na hapo ndipo Kassim ataungana na wa kusini wenzio kupigania wakulima wa korosho.

Mark my words...
 
Nimeandika tu nikaishia njiani . Kama kweli Lisu alikuwa anatussaliti kwa kutumiwa na mabeberu atoswe tu. Mtu mmoja hawezi tufanya mazezeta.
 
Pole yake Mtoto wa Sokoine
Mimi huwa nashangazwa huwa nasikia elimu itolewe kwetu sisi itufunze kujiajiri lakini wao watoto wa hao viongozi wanatafutiwa ajira serekalini wakati watoto wao ingekuwa rahisi sana kujiajiri .na tunaambiwa ajira sasa hivi hakuna inamaana watoto wao wanasoma elimu yakuajiriwa nasisi ndio tupangiwe elimu ya kujiajiri nikweli chama hicho nichawachini kama sisi wa hali yachini
 
Magungo bana, hapa anajidhihirisha kwazi kuwa yeye ndie wale wasiojulikana wa Tundu Lissu
 
Moderator hii habari si tetesi , ni habari ya kweli , kikubwa kilichomponza mtoto wa Sokoine ni kushindwa kutii maagizo ya kuwachomeka hospitalini watu wabaya waliotumwa kwenda ubelgiji kummalizia Lissu
 
hahahahaha tangia lini balozi akawa mkubwa kuzidi naibu katibu mkuu ikulu labda kama unaongelea ukubwa wa kukaa nje ya nchi hahahaha....unajua mshahara wa balozi? hahaha bawacha bhana mtu kapandishwa cheo ninyi mnafikiri ameshushwa
 
Moderator hii habari si tetesi , ni habari ya kweli , kikubwa kilichomponza mtoto wa Sokoine ni kushindwa kutii maagizo ya kuwachomeka hospitalini watu wabaya waliotumwa kwenda ubelgiji kummalizia Lissu
Sasa mbona cheo kapandishwa? au unafikiri kuwa nje ya nchi na kurudishwa nchini ni kushushwa cheo? Balozi anaweza kuwa mkubwa zaidi ya Naibu katibu mkuu ikulu? hahahaha
 
hahahahaha tangia lini balozi akawa mkubwa kuzidi naibu katibu mkuu ikulu labda kama unaongelea ukubwa wa kukaa nje ya nchi hahahaha....unajua mshahara wa balozi? hahaha bawacha bhana mtu kapandishwa cheo ninyi mnafikiri ameshushwa
Na naibu mkurugenzi na katibu tawala hapo vipi lumumba fc,nambie
 
Moderator hii habari si tetesi , ni habari ya kweli , kikubwa kilichomponza mtoto wa Sokoine ni kushindwa kutii maagizo ya kuwachomeka hospitalini watu wabaya waliotumwa kwenda ubelgiji kummalizia Lissu
Kabisa mkuu hii habari ni ya kweli kabisa haina chembe ya tetesi.
 
Pamoja na kwamba anayejua ukweli wa huo uamuzi wa kumrudisha nchini ni Mh.rais, tungejiuliza kwanza hivi kutoka kuwa balozi mpaka kuwa naibu katibu mkuu ikulu ni Demotion (kushushwa cheo) au promotion (kupandishwa cheo) both interms of opportunity and exposure, labda kuanzia hapo ndo tuanze kuunganisha dot.
Cheo cha unaibu katibu mkuu sidhani hata katika katiba yetu kama kipo,kwa kipindi hiki ni demotion tosha refer issue ya Thomas Kashilila toka katibu wa bunge na kuwa naibu katibu mkuu wizara ya Kilimo.
 
Back
Top Bottom