covering risks
Senior Member
- Mar 13, 2015
- 125
- 124
Yawezekana ccm ikawa ni genge la wahalifu na wapambe wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu weweSasa mbona cheo kapandishwa? au unafikiri kuwa nje ya nchi na kurudishwa nchini ni kushushwa cheo? Balozi anaweza kuwa mkubwa zaidi ya Naibu katibu mkuu ikulu? hahahaha
mbona unauliza majibu mkuu ?Yawezekana ccm ikawa ni genge la wahalifu na wapambe wao
mkuu bei ya mbaazi shambani ni mbovu sana hata hivyo huyo wa sokoni anauza ili kufidia gharama zake za usafirishaji + ununuziLakini hebu tulifikirie jambo hili la mbaazi kiundani zaidi, mbona katika masoko ya Dar na kwengineko nchini bei ya mbaazi ipo juu ya shilingi 1500?! Kwanini wakulima wa huko kusini wasiuzie katika soko la ndani? Au kuna nini hasa kinachoendelea?
Huyo kufurumushwa ulaya baada ya kujichanganya kwa heshima ya baba kawekwa hapo kusoma magazeti mifupi kamuuzi sana jiwe kwa sasa hali ni mbaya taarifa zishavuja.hahahahaha tangia lini balozi akawa mkubwa kuzidi naibu katibu mkuu ikulu labda kama unaongelea ukubwa wa kukaa nje ya nchi hahahaha....unajua mshahara wa balozi? hahaha bawacha bhana mtu kapandishwa cheo ninyi mnafikiri ameshushwa
Unaangalia kigezo gani Rutta? mshahara,status au eneo la utawala? Binafsi sioni tofauti ya nafasi kati ya naibu katibu mkuu na mawaziri vivuli bungeni.Yaani kutoka kuiwakilisha nchi katika masuala ya kidiplomasia na kuwa msaidizi wa katibu vifanane kweli? Huu ni utani wa kiwango cha SGR.Sasa mbona cheo kapandishwa? au unafikiri kuwa nje ya nchi na kurudishwa nchini ni kushushwa cheo? Balozi anaweza kuwa mkubwa zaidi ya Naibu katibu mkuu ikulu? hahahaha
Sasa wewe unadhani Samia anaweza kuchukuliwa hatua gani na huyo mwenye chuki? au hujui kuwa Samia ni mgombea mwenza na katiba inasemaje kuhusu cheo chake?Kama kweli katolewa Ubalozini nadhani hiyo sio sababu, serikali ingelikuwa na shida hata Makamu wa Rais, Mh. Samia Suluhu Hassani asingelikwenda kumuona Lissu alipokuwa Hospitalini Nairobi na hata kutoa salamu za Rais, nadhani hizi ni hisia negative ambazo wengi wetu tuzijenga kwenye fikra zetu.
Ni mtizamo wangu tu
Usitudanganywe bwana! ingekuwa ni hivyo Balozi Costa Mahalu akiwa Italy asingeweza kumvimbia Waziri wa mambo ya nje Kikwete wakati ule. Balozi anayo hadhi tofauti sana na sio Naibu Katibu mkuu tuu bali hata katibu mkuuSasa mbona cheo kapandishwa? au unafikiri kuwa nje ya nchi na kurudishwa nchini ni kushushwa cheo? Balozi anaweza kuwa mkubwa zaidi ya Naibu katibu mkuu ikulu? hahahaha
1. Kajenga barabaraHizo ni tetesi...weka nyama kwa kuniambia mafanikio na madhaifu ya balozi huyo hapo belgium
Mpumbavu!Balozi wa nchi ya marekani na msemaji wa ikulu unamaanisha hivyo au balozi wa Angola na msemaji wa ikulu sio au?
ikulu ndo inatoa maagizo ndani na nje ya nchi,km aliteuliwa na mamlaka hiyo kwa vigezo vyao je akibadilishiw kazi kuna tabu,inawezekana alilotumwa kamaliza kulifanikisha sasa anatumwa mwingine kufanikisha lingine,kwani anapaswa kuwa balozi nje mpaka astafuu,inawezekana anaekwenda kule ana vigezo na uwezo tofauti na pia anaenda kutekeleza jambo jingineUsitudanganywe bwana! ingekuwa ni hivyo Balozi Costa Mahalu akiwa Italy asingeweza kumvimbia Waziri wa mambo ya nje Kikwete wakati ule. Balozi anayo hadhi tofauti sana na sio Naibu Katibu mkuu tuu bali hata katibu mkuu
That is for the sake of malumbano tuu. Kubadilishwa jambo ni kawaida lakini kupo kwingine ni kwa sababu zilizotokea.ikulu ndo inatoa maagizo ndani na nje ya nchi,km aliteuliwa na mamlaka hiyo kwa vigezo vyao je akibadilishiw kazi kuna tabu,inawezekana alilotumwa kamaliza kulifanikisha sasa anatumwa mwingine kufanikisha lingine,kwani anapaswa kuwa balozi nje mpaka astafuu,inawezekana anaekwenda kule ana vigezo na uwezo tofauti na pia anaenda kutekeleza jambo jingine
katibu mkuu ni mtendaji na mara nyingi anapaswa kuzingatia mwongozo rasmi na ndio msimamizi wa bajeti ya wizara yake,balozi anapswa kutekeleza majukumu kupitia njia rasmi ya wizara yake au majukum yasiyo rasmi kupitia ikulu,na balozi akishindwa kutekeleza majukumu yake km anavyo agizwa inaangaliwa mamlaka yaliyomuagiza anashtakiwa huko au km mamalaka mbili zinakinzana inaangaliwa mamlaka ya juu zaidi ya uteuzi na nidhamuUsitudanganywe bwana! ingekuwa ni hivyo Balozi Costa Mahalu akiwa Italy asingeweza kumvimbia Waziri wa mambo ya nje Kikwete wakati ule. Balozi anayo hadhi tofauti sana na sio Naibu Katibu mkuu tuu bali hata katibu mkuu
Ikulu kuna mgonjwa au mfiwa? Kujuliana hali ni jadi yetu, soma vizuri, elewa mada kisha toa mfano.Hata chadema huko hali tete..Kama unabisha ngoja siku mnyika aende ikulu uone..Au asifie chochote..Sema tu nyie mkifanyiwa ndio mnajifanya kuleta utaifa