ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Kufanya kazi naPombe inahitaji moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi ukiwa mshabiki wa Chadema akili unaziweka kando, mtu kupandishiwa cheo, alafu unasema kaponzwa na Lisu, kama sio ujinga wa mashabiki wa ChademaPamoja na kwamba anayejua ukweli wa huo uamuzi wa kumrudisha nchini ni Mh.rais, tungejiuliza kwanza hivi kutoka kuwa balozi mpaka kuwa naibu katibu mkuu ikulu ni Demotion (kushushwa cheo) au promotion (kupandishwa cheo) both interms of opportunity and exposure, labda kuanzia hapo ndo tuanze kuunganisha dot.
Kumbe balozi wa marekani anaweza kuamrishwa jambo na naibu katibu mkuu wa ikulu na kufukuzwa?Siku hizi ukiwa mshabiki wa Chadema akili unaziweka kando, mtu kupandishiwa cheo, alafu unasema kaponzwa na Lisu, kama sio ujinga wa mashabiki wa Chadema
Mkuu kutokana na baadhi ya vyeo kukosekana kwenye katiba yetu ya JMT imekua ni ngumu kudhibitisha moja kwa moja hiyo ni demotion au promotion, labda kama una vitu ambavyo vinaweza kudhibitisha kuwa hiyo ni promotion tusaidie ili tuweze kumaliza huu mjadala, vinginevyo hapa watu watabaki kubishana tu bila kujenga hoja na mwisho wa siku kudhihakiana.Siku hizi ukiwa mshabiki wa Chadema akili unaziweka kando, mtu kupandishiwa cheo, alafu unasema kaponzwa na Lisu, kama sio ujinga wa mashabiki wa Chadema
Toka jana mkuu nakusoma post zako nashawishika kusema unawinda ukweli unafaa sana kuwepo jf hongera.Mkuu kutokana na baadhi ya vyeo kukosekana kwenye katiba yetu ya JMT imekua ni ngumu kudhibitisha moja kwa moja hiyo ni demotion au promotion, labda kama una vitu ambavyo vinaweza kudhibitisha kuwa hiyo ni promotion tusaidie ili tuweze kumaliza huu mjadala, vinginevyo hapa watu watabaki kubishana tu bila kujenga hoja na mwisho wa siku kudhihakiana.
Hilo la naibu katibu mkuu kumuamrisha balozi sidhani kama linawezekana na vivyo hivyo pia suala la balozi kumuamrisha naibu katibu mkuu haliwezekani, kwa hyo hoja yako hapo haidhibitishi nani ni mkubwa kwa mwingine, ila kuhusu Marekani (ambayo umeonekana kupenda kuitumia) hakuna ajuaye na kuna uwezekano mkubwa sana wa jambo moja likawa na tafsiri tofauti panapohusika nchi mbili hasa pale msingi wa jambo hilo linapokuwa katiba, katiba ya Marekani ni tofauti na ya TZ na lingine ni kwamba USA haipo jumuiya ya madola ambapo tanzania imo na miongoni mwa taratibu za TZ zinaendana na nchi za jumuiya ya madola, hivyo masuala mengi ya kikatiba ungetumia ulinganisho wa TZ labda na mataifa yaliyo jumuiya ya madola kwani ndo kidogo zinaendana.Kumbe balozi wa marekani anaweza kuamrishwa jambo na naibu katibu mkuu wa ikulu na kufukuzwa?
Nnachojua balozi wa angola akiwa hapa kwetu hawezi kusumbuliwa na hicho cheo ambacho kapewa mtoto wa sokoine au katibu mkuu ikulu isipokuwa wao watamwambia raisi mwenenendo wake kama sio mzuri ndipo raisi atachukua jukumu la kuwaambia angola mtu wao sio ndipo angola watamchukua mtu wao ila katibu mkuu anaweza kukamatwa hata akiwa angola bila kizuizi chochoteHilo la naibu katibu mkuu kumuamrisha balozi sidhani kama linawezekana na vivyo hivyo pia suala la balozi kumuamrisha naibu katibu mkuu haliwezekani, kwa hyo hoja yako hapo haidhibitishi nani ni mkubwa kwa mwingine, ila kuhusu Marekani (ambayo umeonekana kupenda kuitumia) hakuna ajuaye na kuna uwezekano mkubwa sana wa jambo moja likawa na tafsiri tofauti panapohusika nchi mbili hasa pale msingi wa jambo hilo linapokuwa katiba, katiba ya Marekani ni tofauti na ya TZ na lingine ni kwamba USA haipo jumuiya ya madola ambapo tanzania imo na miongoni mwa taratibu za TZ zinaendana na nchi za jumuiya ya madola, hivyo masuala mengi ya kikatiba ungetumia ulinganisho wa TZ labda na mataifa yaliyo jumuiya ya madola kwani ndo kidogo zinaendana.
Makonda amemwambia Rais Magufuli "Wewe usiwajibu wanaokukosoa, naomba uniachie mimi kazi hiyo, nitawashughulikia".
Amepandishwa cheo naibu katibu mkuu Ni cheo kikubwa kuliko balozi.Hilo la sijui Marekani na Angola limetoka wapi Mkuu, lakini mada uliyoleta inamzungumzia mtoto wa Sokoine ambaye alikuwa balozi wa Tanzania umoja wa Ulaya ila kupitia mabadiliko madogo yaliyofanyika juzi akahamishiwa ikulu kuwa naibu katibu mkuu, swali langu ni kutaka kujua huko ni kupandishwa cheo ama kushushwa cheo? Naomba unijibu kama ikikupendeza
Kwa hiyo mabalozi wote wanao ondolewa kwenye vituo vyao vya kazi walienda kumjulia hali Tundu Lissu,au Tundu Lissu sio Mtanzania ?akili za Ufipa hizi kujifanya kila kitu mnajua na huu ni umbeya.Toka chanzo changu nyeti cha habari kimedadavua habari hii kwa uhakika kabisa kwamba kisa cha kutolewa ubalozi mtoto wa sokoine nchini ubelgiji na kurudishwa nchini ni kile kitendo cha yeye kwenda kumjulia hali mheshimiwa Tundu lissu.
Inasemekana bwana mkubwa hakufarahishwa na kitendo cha balozi wetu kwenda kumuona ndugu lissu na kumuona ni msaliti akaenda mbali zaidi na kusema hali kama hiyo aliipitia ndugu Lazaro Nyalundu alipokwenda kumuona lissu kwani wabunge wa ccm walizuiwa kwenda na ndicho chanzo kikuu cha Nyalandu kuamua kuachia ubunge wake na kujitoa ndani ya chama cha mapinduzi ( ccm) kwa kuwa hakuridhishwa na namna ya hilo jambo lilivyokuwa likiendeshwa na mwenyekiti wao.
Kahitimisha kwa kusema kwamba wanachama wao kwa sasa wanahali ngumu mno katika vipindi vyote ambayo wapo ndani ya chama hicho kikongwe.
My take:
Kwa upande wangu naona hili jambo si zuri hasa kwa sisi Watanzania tulishazoea kuishi kwa upendo kwani siasa sio uadui lakini inashangaza bwana mkubwa anapogeuza siasa ni uadui hasa kwa yale majibu yake ya kuomba aachwe afanye atakavyo aje kuulizwa mbele hii kitu inatia shaka mno,
Inakuwaje mtu anasema siasa nazifungia kwa kuwa natukanwa huku nikiwajengea barabara je hizo pesa ni za hisani toka mfukoni kwake? Nakumbuka wanafunzi wa udom waliitwa vilaza sijui kama anakumbuka hizi kauli za kuudhi.
Ukipenda kusifiwa kubali kunakukosolewa hata shilingi ina pande mbili.
Siyo lazima tuongelee "mafanikio na madhaifu" ya balozi huyo. unataka kuwa kama mganga wa jadi anayekuambia kaniletee jasho la nyoka ili nikutibu, au kamkamue Tembo anayenyonyesha ulete maziwa fresh, ukishindwa umeshindwa wewe? Kama wewe unayajua tuambie. lakini kuna "circumstantial evidence hapa" - ushahidi wa kimazingira - kuhusu tabia ya Magufuli kuwachukia wapinzani kwa chuki ya wazi, na kuzuia wengine kuhusiana naoHizo ni tetesi...weka nyama kwa kuniambia mafanikio na madhaifu ya balozi huyo hapo belgium
Kumbuka safari aliyokwenda Makamu ilikuwa aende Magufuli mwenyewe. shida hapo ilikuwa ni kwamba atakwendaje Nairobi halafu akwepe kumtembelea Lissu? kidiplomasia ingekuwa na utata. sitashangaa kwamba hiyo ilikuwa sababu ya kumtuma Samia Nairobi. na pia Samia alilazimika kwenda kumuona Lissu kutokana na sababu za kidiplomasia. ni tofauti na ya balozi wa ubelgiji. ukitaka kulinganisha, linganisha na balozi wetu wa Kenya, Pindi Chana.Hizi sio tetesi tu bali ni uzushi, tulimwona Makamu wa Rais akimtembelea Lisu huko Hospitali nairobi, tatizo lenu, kila kitu mnahisi tu na kutaka kutupotosha, kila jambo ni hisia na mihemko. sijui lini mtajifunza kuwa watu wa hoja badala ya hisia.
Ni promotionPamoja na kwamba anayejua ukweli wa huo uamuzi wa kumrudisha nchini ni Mh.rais, tungejiuliza kwanza hivi kutoka kuwa balozi mpaka kuwa naibu katibu mkuu ikulu ni Demotion (kushushwa cheo) au promotion (kupandishwa cheo) both interms of opportunity and exposure, labda kuanzia hapo ndo tuanze kuunganisha dot.