Pre GE2025 Lissu aeleza alivyotembelewa na Abdul mtoto wa Rais

Pre GE2025 Lissu aeleza alivyotembelewa na Abdul mtoto wa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sasa kama Lissu katembelewa na Abdul unadhani akina Mdee walitembelewa na nani?

Siasa bongo imekuwa biashara.
 
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.


View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc

Mnaoongea na Lissu mnatakiwa kuchukua tahadhari. Yeye kuropoka kawaida tu. Ipo siku atatwambia anayofanyaGA na Mama Yoyo kitandani! Ahahahahaha!!!
 
Abdul katumwa na mama yake ili amhonge tundulisu?duh!kumbe huyu mama ni mshamba hivi?
Kwenye mabwege, wewe unashika namba moja haki ya Mungu. Hebu mharakishieni michango hiyo anunue gari mabwege nyie. Mama Samia, The Mother of Modern Tanzania, ahangaike na huyo chiba wa nini?!!!!!!! Yaani ana kitu gani cha kumsaidia yeye?!!!! Nyie kumbe ndo maana mnaitwa manyumbu ee?
 
Hii nchi inahitaji katiba mpya haraka kuliko nilivyofikiri.
Ukisikiliza vizuri hiyo clip ni kwamba haki imekuwa hisani.
Hiyo haki ambayo hapewi Lissu inatokana na katiba ipi?

Shida sio katiba bali hulka yetu ya kutochukua hatua
 
Akiongea na wanancho kupitia mtandao wa Maria Sarungi Lissu anaeleza namna alivyodai haki zake za utumishi ubungeni akapigwa danadana. Akaeleza namna alivyofuatwa na Abdul mtoto wa Rais ili "kufanya urafiki", na akaeleza kuwa ukidai haki yako kwa kuiita ni haki hawakupi ila wao wanataka uiombe haki yako kama hisani. Unaweza kusikiliza nazungumzo yake mafupi hapa.


View: https://youtu.be/MYdMZpRhASw?si=QsS5DXxW77GtTmmc

Kumbe Lissu wanajuana na Familia ya Rais vizuri tu.
 
Hii nchi tuna viongozi very very incompetent!! Ukiachilia masuti na kujiweka kimuonekano hamna kitu ingine yoyote unaweza ku-appreciate kwao!!
Nauhakika nchi zenye kucheck kiongozi kwakina ukiwapelekea viongozi wetu wajuu kabisa 10 atakayefanikiwa saaana atapewa kazi ya u-secretary tena kwenye ofisi ndogondogo
 
CCM huwa wanaamini wao ndio wamiliki halali wa Tanzania...
Kitu ambacho watanzania wakijakuamka na uongo wa CCM watakikataa hiki chama. Watanzania hawajui kuwa wako so manipulated na CCM kufikia hatua wanahadaika na nguo, vi elf 5 + chakula wakati wa kampeni na kuwachagua bila kupima uwezo na malengo makuu ya hiki chama
 
ABDUL: lissu naomba tuwe marafiki.
LISSU: kamwambie kwanza mamako anilipe hela zangu.
ABDUL: mama hajapata documents.
LISSU: hizi hapa mpelekee.

Nimecheka sana 😄😄😄
 
Siku watz kwa wingi watakapomuelewa huyu Lisu, lazima kitanuka, na CCM lazima wafe,lakini tykipotezea kwa sababu ya uccm wetu,IPO siku tutatamani awepo,
 
Mropokaji anaweza ropoka lolote analoona linaweza kum boost, elewa Lissu ni mlevi wa sifa na konyagi elewa hili.
Hahaha wacha nikuache na uwelewa wako juu ya TAL, sijui huo uwelewa wako umepandikizwa na CCM au kwa elimu uliyonayo na uchunguzi wako juu yake. Naomba usiwe wa elimu yako maana wengi humu watakudharau bro.😀
 
Back
Top Bottom