Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini watu wengi wanamwamini?Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Mbona wewe hujashitakiwa kwa kwenda Dodoma na Bashite kwenda kumpiga risasi?Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Mbona wewe hujaokota makopo kwa kwenda Dodoma kumpiga risasiHuyu bwana lissu ashukuru kukimbilia kwa mabeberu,angekuwa singida sasa hivi angekuwa anaokota makopo,anachokiongea Wala hakieleweki.
Wewe ndiyo bwabwa kwa upumbavu wako ulitaka mfanye vitu haramu vya kishetani muachwe bila kukemewa na Tundu lisu?Kuna hoja gani hapo zaidi porojo za bwabwa lenu liuso?
Akamatwe kwa kosa lipi? Kuikosoa Serikali ni kosa? nini maana ya upinzani? Kazi ya upinzani ni kuikosoa Serikali ya CCM siyo zaidi ya hapoChief, matusi ya nini?..jibu hoja we unafikiri kwa nini Lissu asikamatwe?
Kwanini usimfungulie wewe akushikishe ukuta..Unataka amfungulie naniNashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Huru ina tafsiri pana.
Uhuru wa maoni yapi ?Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Why no.3 na si no.2? Hujiulizi hilo?Tunaojua ukweli tumeamua kukaa kimya maana tukisema tutashitukiwa na kuanza kufuatiliwa ila alichokisema Lissu ndio ukweli wenyewe
Mfano Majaliwa alisema msikitini kuwa Magu ni mzima wa afya kumbe alishatutoka kitambo. Tunasikitika sanaWote waliomtukana Magufuli watatubu kabla mwaka haujaisha.
Nafsi zitawasuta sana
Ww ni kima+ ngedereNashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.
Sawa sawa Mkuu.Mkuu hiyo inaitwa piga nikupige akikujibu niambie.
Mfano rahisi Ni hivi Kama wao walivyotekwa na SHETANI WAKAMUUWE LISU KWA RISASI PALE DODOMA. Uli Ni umateka naoHii ni dalili kwamba tunaongozwa na watu wenye akili ndogo sana, yaani WAJINGA ninyi mnashindwaje kuelewa kutekwa anakokuzungumzia Mheshimiwa Lissu?
Mkimfungulia mashitaka, mhakikishe anajiwakilisha yeye binafsi, tufaidi jinsi watu watakavyogaragazwa!Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.
Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.
Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.
Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.