Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.

Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.
Mkuu,Kwa hiyo na wewe una taarifa Kama za Lissu? Hebu tufafanulie inakuaje wanachadema mnapata taarifa mapema?
 
Tunaojua ukweli tumeamua kukaa kimya maana tukisema tutashitukiwa na kuanza kufuatiliwa ila alichokisema Lissu ndio ukweli wenyewe
Kuna viashiria sema




Something are Seems to be true but are not true
 
Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.
 
Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.
Wewe kilaza titan51, je na huyu je? Anatakiwa atoe ushahidi! Acheni kutetea ujinga.

 
Nashauri serikali imfungulie mashtaka Wakili Msomi Tundu LISSU kwa kutoa taarifa za uongo na kusababisha taharuki kuwa Rais ametekwa/amewekwa mateka na Waziri Mkuu ndiye anaongoza nchi.

Hata Kama yupo nje ya nchi anapaswa kuheshimu uhuru wa maoni.

Mara nyingi akihojiwa na vyombo vya habari amekuwa akipotosha taarifa.

Na hii si mara ya kwanza kutoa taarifa hizi. Hata wakati alipohojiwa na BBC alisema hili.

Huyu mtu wa Mungu waliompiga risasi hawapo leo wewe unaongelea kesi😂😂 inabidi uamke yaani yeye ni mtu wa kutafutwa na Raisi tu tena kwa simu. Ameshindikana muda mrefu sana
 
Back
Top Bottom