darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
- Thread starter
- #481
Mkuu,Kwa hiyo na wewe una taarifa Kama za Lissu? Hebu tufafanulie inakuaje wanachadema mnapata taarifa mapema?Hata kabla ya TAL, niliambiwa na afisa mkubwa wa wasiojulikana kuwa wao kwa sasa wanaripoti kwa Maajaliwa.
Kwa ujumla hanangaya, yupo ka alama tu lakini siyo kiutendaji.