Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Tulia dawa ikuingie vizuri. Uzuri wa Lissu anapiga spana huku anakuelimisha
Niko Mwanza Boss raja sana yaani nyomi mpka Prezooo anaduwaaa mapenzi anayopataaa barabara zinafurikaahuku ndiko walikobwapiga kuraaa tunaendelea kuwafundisha Kampeni chadema. IVI mwaka huuu CHADEMA HAMNA HATA MABANGO YA WAGOMBEA
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana

Ya kusomba watu. Na kutisha wafanyakazi wakusanyike barabarani!!!. Hawa watu mioyo yao itawajibu kwenye box. Alafu yupo kigogo mtaalam wa mitandao naona atakuwa ashafanya yake huko neki mwaka huu wizi hamna
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
ule ni mpango mkakati tu , malori si yapo ? hivi kwa akili yako kuna mtu wa kumshangaa magufuli mwanza leo na huku alikuwa anaenda kila wiki , kwa lipi jipya ?
 
Lissu anawajambisha hawa jamaa vibaya sana
Hapa mnajambishana wenyewe mnaruka wenyewe!!
Tutakutana baada ya dakika 90 ndo mtajua timu yenu ni mbovu sana na imefanya usajiri kwa kukurupuka .
Huyo striker wenu bado mgonjwa
 
Aisee. Lisu mwaka huu hatari sana. Huyu Lisu kumbe ndiyo maana hakufa hata kwa risasi 16. Mungu ana makusudi naye.
Risasi za matakoni na mapajani hata NYUMBU hafi.
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Vipi aliyoyasema ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…