Nimekujibu hoja kadhaa hapo, labda kama hujasoma vizuri.Nilitegemea hoja kujibiwa na hoja kumbe wewe ni walewale wa kulalamika na kulaumu.
Hivi kweli mnategemea vifaranga wakati mayai yote mmeweka kwenye kapu moja?
Huu siyo uchaguzi wa kwanza Tanzania. Isitoshe wagombea Ubunge na Madiwani wa CHADEMA, bila kumng'unya maneno ni kama yatima isipokuwa wachache waliokuwapo kabla. Tofauti na CCM ambapo wanatambulishwa na wana mameneja wa kusimamia kampeni zao.Nimekujibu hoja kadhaa hapo, labda kama hujasoma vizuri.
Lakini kuhusu kuongozana, huo ni mkakati wa CHADEMA . CCM nao wana mkakati wao. Siku mbona bado zipo? Mwanzoni mlisema anaongelea maumivu tu sera ziko wapi.
Usilazimishe mikakati ya ccm kwa CHADEMA
Tulia dawa ikuingie vizuri. Uzuri wa Lissu anapiga spana huku anakuelimisha
Umemuona bi mdogo wa Bashite lakini? Utawala huu una laana sana, vijana wanajipigia makamu kama kona bar? Hatari sana.Huyo hakutakiwa kufa ili alipie usaliti wake kwa maumivu makubwa.
Ataishi maisha yake yaliyobaki kwa shida sana. Baada ya uchaguzi huu atakuwa sawa na wale mbuzi wa mjini wanaozurura tu.
Na kwel niliona watt tu,kapita igoma hapa namba ya watt n kubwa zaid ya vjana na wazee,kwel ccm imechokwaMapokezi ya watoto na watu Kushangaa wasanii??!
Huko Mwanza shule zitafungilwa tarehe 8 juma nne na si tarehe 7 kama ilivyokuwa imepangwa. Watu wanatakiwa kuwa wengi uwanjani bwana.Magu kakataliwa mwanza duh aibu
Kwanini sasa mmehairisha kufungua shule leo?Niko Mwanza Boss raja sana yaani nyomi mpka Prezooo anaduwaaa mapenzi anayopataaa barabara zinafurikaahuku ndiko walikobwapiga kuraaa tunaendelea kuwafundisha Kampeni chadema. IVI mwaka huuu CHADEMA HAMNA HATA MABANGO YA WAGOMBEA
Akiongea na wananchi wa Mtwara waliokusanyika maelfu kwa maelfu kumsikiliza, Lissu amekwenda huko na ujumbe dhidi ya unyanyasaji waliofanyiwa wananchi wa huko kwenye ishu ya gesi na korosho.
Lissu amemsiliba vilivyo rais Magufuli kutokana na namna alivyolishughuikia siuala hilo kwa namna ambayo mkulima wa korosho alinyanyasia sana, huku kukiwa na uchukuaji wa korosho kinguvu hali iliyopelekea watu kuwa na maisha magumu, ya umasikini hata kufikia hatua ya kukata tamaa kuendelea na kilimo.
Kissi amelinganisha hatua za serikali za CCM kupeleka jeshi kwa watu wa kusini kama kupelekewa vita na serikali yao wenyewe!
Pia Lissu akaelezea namna serikali ya CHADEMA itakavyokuwa tofauti kwenye kuendesha nchi, ambapo serikali yao italinda Uhuru, Haki na kuleta maendeleo
Kwa taarifa zaidi mtazame hapa Chini akiwa huko Mtwara
Na vile anavyo chukia ndio anazidi kuharibu.Lissu anawapa makavu live
Hii ndiyo inayotakiwa!
Jiwe siyo wa kumstahi, ni kumpa makavu mpaka atoke kwenye reli
Tatizo hamtofautishi mapokezi na kujitokeza kumshangaa. Mwanza watu walikuwepo barabarani kumshangaa Rais akiingia na atasema nini barabarani. Mbeya na Mtwara hayo ni mapokezi ndio maana kumejaa shangwe na bashasha na sio kuwepo watu wengi lakini wameduwaa na kushangaaMlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Video ipo acha usanii[emoji3577]View attachment 1561152
Magufuli kila kona anakusanya nyomi la hatari, hata barabarani tu watu kama wote vile.Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Siku hizi hamtembezi bakuli?, wana saccos kama hao mngevuna pesa ya kuwasogeza kwenye kampeni.Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini...
😁😁Timu faraja
Mtakufa na kihoro j3