Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Nilitegemea hoja kujibiwa na hoja kumbe wewe ni walewale wa kulalamika na kulaumu.

Hivi kweli mnategemea vifaranga wakati mayai yote mmeweka kwenye kapu moja?
Nimekujibu hoja kadhaa hapo, labda kama hujasoma vizuri.
Lakini kuhusu kuongozana, huo ni mkakati wa CHADEMA . CCM nao wana mkakati wao. Siku mbona bado zipo? Mwanzoni mlisema anaongelea maumivu tu sera ziko wapi.
Usilazimishe mikakati ya ccm kwa CHADEMA
 
Nimekujibu hoja kadhaa hapo, labda kama hujasoma vizuri.
Lakini kuhusu kuongozana, huo ni mkakati wa CHADEMA . CCM nao wana mkakati wao. Siku mbona bado zipo? Mwanzoni mlisema anaongelea maumivu tu sera ziko wapi.
Usilazimishe mikakati ya ccm kwa CHADEMA
Huu siyo uchaguzi wa kwanza Tanzania. Isitoshe wagombea Ubunge na Madiwani wa CHADEMA, bila kumng'unya maneno ni kama yatima isipokuwa wachache waliokuwapo kabla. Tofauti na CCM ambapo wanatambulishwa na wana mameneja wa kusimamia kampeni zao.

Tujiulize, itokee Lissu achaguliwe, ambayo ni ndoto ya mchana kweupe, ataweza kuunda baraza la mawaziri?

Endeleeni kujitekenya, wakati ukweli mnaujua, maana hata Mbowe, M/Kiti amegwaya kwenda jimboni kwake kufanya kampeni, anazunguka na Lissu, anapopewa nafasi ya kuongea ni shutuma na vitisho, mwanzo mwisho.
 
Chadema wakati nyie mnapiga kampeni mtwara, Magufuli, Mama Samia na Majaliwa walikuwa wanapiga kampeni sehemu tatu tofauti.
Kwa kifupi ccm wamehudhuria watu wengi kwenye mikutano mitatu kuliko kwenye mkutano mmoja wa chadema.
Chadema mkishindwa huu uchaguzi siyo kwa sababu mna sera mbaya; bali ni kwa sababu hamkujipanga na hamna strategy nzuri ya kampeni.
Sambaeni, siyo lazima wote mkutano mmoja.
Kila mmoja wenu afanye kampeni tatu kwa siku.

Sent from my SM-G935W8 using JamiiForums mobile app
 
6 September 2020
Mtwara, Tanzania

TUNDU LISSU KAZUNGUMZIA MAMBO MATATU : GESI, KOROSHO NA UKIUKWAJI WA HAKI ZA BINADAMU KUSINI



CHADEMA yazidi kuaminiwa na wananchi kuhusu sera yake ya UHURU, KAZI na MAENDELEO YA WATU.

Sera hii inayo tambulishwa na CHADEMA kupitia mgombea wake wa Urais Tundu Lissu pamoja na wagombea wa chama hicho ngazi ya ubunge na udiwani imeleta matumaini mapya ya mazingira wezeshi wakulima,wavuvi,wafugaji, wafanyabishara na wafanyakazi kupitia mazingira huru, kazi zao sasa zitawafanya kujiletea Maendeleo ya kweli ya Watu kujiondoa toka umasikini ulioletwa na sera mbovu za Maendeleo ya Vitu ya CCM Mpya.

Source : CHADEMA MEDIA TV
 
Lisu ni mpango wa Mungu !!! Sio kawaida aseeee Mungu amlinde zaidi na zaidi afungue akili watanzania wengi hasa vijijini
 
Huyo hakutakiwa kufa ili alipie usaliti wake kwa maumivu makubwa.
Ataishi maisha yake yaliyobaki kwa shida sana. Baada ya uchaguzi huu atakuwa sawa na wale mbuzi wa mjini wanaozurura tu.
Umemuona bi mdogo wa Bashite lakini? Utawala huu una laana sana, vijana wanajipigia makamu kama kona bar? Hatari sana.
 
Niko Mwanza Boss raja sana yaani nyomi mpka Prezooo anaduwaaa mapenzi anayopataaa barabara zinafurikaahuku ndiko walikobwapiga kuraaa tunaendelea kuwafundisha Kampeni chadema. IVI mwaka huuu CHADEMA HAMNA HATA MABANGO YA WAGOMBEA
Kwanini sasa mmehairisha kufungua shule leo?
 
Akiongea na wananchi wa Mtwara waliokusanyika maelfu kwa maelfu kumsikiliza, Lissu amekwenda huko na ujumbe dhidi ya unyanyasaji waliofanyiwa wananchi wa huko kwenye ishu ya gesi na korosho.
Lissu amemsiliba vilivyo rais Magufuli kutokana na namna alivyolishughuikia siuala hilo kwa namna ambayo mkulima wa korosho alinyanyasia sana, huku kukiwa na uchukuaji wa korosho kinguvu hali iliyopelekea watu kuwa na maisha magumu, ya umasikini hata kufikia hatua ya kukata tamaa kuendelea na kilimo.
Kissi amelinganisha hatua za serikali za CCM kupeleka jeshi kwa watu wa kusini kama kupelekewa vita na serikali yao wenyewe!
Pia Lissu akaelezea namna serikali ya CHADEMA itakavyokuwa tofauti kwenye kuendesha nchi, ambapo serikali yao italinda Uhuru, Haki na kuleta maendeleo

Kwa taarifa zaidi mtazame hapa Chini akiwa huko Mtwara



Hii ndiyo lugha wanayopaswa kupewa:

Wanarejea he waenguliwa wote na bila ya masharti yoyote.

Vinginevyo tunakoelekea siko!
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Tatizo hamtofautishi mapokezi na kujitokeza kumshangaa. Mwanza watu walikuwepo barabarani kumshangaa Rais akiingia na atasema nini barabarani. Mbeya na Mtwara hayo ni mapokezi ndio maana kumejaa shangwe na bashasha na sio kuwepo watu wengi lakini wameduwaa na kushangaa
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Magufuli kila kona anakusanya nyomi la hatari, hata barabarani tu watu kama wote vile.
 
Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini...
Siku hizi hamtembezi bakuli?, wana saccos kama hao mngevuna pesa ya kuwasogeza kwenye kampeni.
 
Nimeelewa sasa kwanini JJ mnyika katibu chadema hakutaka kugombea ubunge kumbe alikuwa na jambo lake,kuna MTU anataka kulia jukwaani.
 
Back
Top Bottom