Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Dah amepiga penyewe kabisa ile kauli ya mashangazi atakuwa anaijutia kuitamka
 
Kwani ACT wangeamua kutosimamisha mgombea urais au angejitoa baada ya Lissu kupitishwa si ingekuwa sawa tu ?
Yes, kama sana nia, it is a matter of Membe kujitoa akajiunga na kampeni za CDM, bila kutamka kuwa naungana na CDM kukwepa sheria ya kishenzi.
 
Niko Mwanza Boss raja sana yaani nyomi mpka Prezooo anaduwaaa mapenzi anayopataaa barabara zinafurikaahuku ndiko walikobwapiga kuraaa tunaendelea kuwafundisha Kampeni chadema. IVI mwaka huuu CHADEMA HAMNA HATA MABANGO YA WAGOMBEA
Kuna sehemu jiwe kazomewa, na ni kanda ya huko huko. Jiwe hafai hata kuongoza nyumba kumi
 
Jiwe ataenda Mtwara kweli [emoji848]
Kule alikowaibia korosho na kusema atapiga shangazi zao
 
Huu siyo uchaguzi wa kwanza Tanzania. Isitoshe wagombea Ubunge na Madiwani wa CHADEMA, bila kumng'unya maneno ni kama yatima isipokuwa wachache waliokuwapo kabla. Tofauti na CCM ambapo wanatambulishwa na wana mameneja wa kusimamia kampeni zao...
Kuna mgombea mmoja wa ubunge alipandishwa jukwaa wananchi wakamzomea mpaka jiwe akapaniki
 
Mlituaminisha kuwa Lissu ,ameifuta rasimi ,ccm mwanza.Leo mapokezi ya Magufuli mwanza kuanzia barabarani.Hakifika mtwara ,pia atapokewa kama mfalme.Lissu bado sana
Jpm ni Rais anaegombea tena ujue
 
Tatizo Kuna sheria kandamizi zimetungwa na CCM ili kufanya vyama vya upinzani visiungane. Muziki wa UKAWA uliwatisha Sana 2015.

Tundu Lisu alilifafanua vizuri Sana siku ya j3 saa 3 usiku ITV kwenye kipindi cha dakika 45.
Hata hivyo Lisu anatosha. "We are ripe for a revolution".
 
Hapo patamu akajionee aibu yake kule. Nimetokea huko. Ajiandae aibu ya mwaka. Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Majogoo wa KUPORA KOROSHO zetu? Wale makangomba mlishawafikisha mahakamani? Kesi zao zipo hatua gani?
Yani kiongozi Apore KOROSHO kisha chama chake kiwe vijogooo? Labda vijogoo wa kuteka na kuua watu
Kuwa serious wewe kanjanja la lumumba
 
Kuna sehemu jiwe kazomewa, na ni kanda ya huko huko. Jiwe hafai hata kuongoza nyumba kumi
Wapiga Deal Bwana Mmeshikwa pabaya sana. Ila Kibaya mpo wachache hahha endeleeni kuisikilizia Dawa iwaingie MAGUFULI TANO TENA
 
aweke na akiba ya maneno ya kuja kuongea atakapopewa kazi na mheshimiwa jpm baada ya uchaguzi asipige kelele sana sasahivi wakati haendi ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…