Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishallah! Naomba wanachama na wapenzi wa CHADEMA tuendelee kuchangia kampeni za mgombea huyu hadi basi. Tuma mchango wako kwa kutumia namba ya kumbukumbu CDM 2020 kwnda benki ya CRDB. Ndondondo si chururu.Hii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali , kwamba leo yule Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara , baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu .
View attachment 1560206
Lissu atakuumiza hadi kisukari kipande kudadeki !Mtwara chezea wewe .Mtwara ndiko wanaenda KUMUONYESHA Lisu kuwa he is not a presidential material
Wewe ndugu una roho ngumu sana, yaani huogopi kupinga ukweli na kutetea uovu.
AMUUMIZE NANI MUONGO HUYULissu atakuumiza hadi kisukari kipande kudadeki !
"La kuku halimpati mwewe".Hapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Mkuu tatizo mnashindwa kurusha vitu live hataa youtube. Ngoja tuendelee na mambo mengine tutaangalia ITV jioniHii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali , kwamba leo yule Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara , baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu .
View attachment 1560206
baki hapa jfMkuu tatizo mnashindwa kurusha vitu live hataa youtube.ngoja tuendelee na mambo mengine tutaangalia ITV jioni
Anahangaishwa na "Seven books".Wewe ndugu una roho ngumu sana, yaani huogopi kupinga ukweli na kutetea uovu.
Mmemfufua MAREHEMU Lini?Hapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Matusi ni kwa wenye upungufu wa akili, ukiwa verified halafu unatukana kijinga namna hii kwa kudhani unamfurahisha aliyekutuma, utakuwa unajidanganya sana.Upinzani mtaliwa kiboga tuu
Upinzani mtaliwa kiboga tuu
Ha ha ha huyo mhutu wa chama cha mbogamboga hatakiwi kabisa huku Mtwara.Huku mtwara kwetu hatuchagui watu wanaosema tukishindwa tutaingia barabarani, tunataka viongozi wapenda aman na si kutumwa kuja kuvuruga amani
Ficha aibu yako masikini ...hivi unafikiri Wasukuma wanamuona mwenzao?Muanze kuedit kabisa picha za mafuriko ya Lowasa uchaguzi uliopita.kisha mzipost humu mseme za kusini kwenye kampeni za Lissu itawasaidia kificha aibu.
Ufupishe ibada kisa kampeniHii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali , kwamba leo yule Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara , baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu .
View attachment 1560206
Usiogopeufupishe ibada kisa kampeni
Acheni utani nyie na hao viongozi watakuwa hawapo serious.
Anachofanya TAL kata funua halafu analabua vibao vya kelebuHii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali , kwamba leo yule Rais Mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara , baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu .
View attachment 1560206