Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Uchaguzi 2020 Lissu aifuta CCM Mtwara, Ajenda ya korosho yawa kaa la moto kwa CCM mkoani humo

Hapo patamu akajionee aibu yake kule.Nimetokea huko.Ajiandae aibu. Ya mwaka.Huko CUF na CCM ndio vijogoo. HUKO CHADEMA HAMNA CHENU
Yaani wewe unachekesha sana! Hii post yako ngoja niitunze ili jioni nikuulize swali
 
Huku mtwara kwetu hatuchagui watu wanaosema tukishindwa tutaingia barabarani, tunataka viongozi wapenda aman na si kutumwa kuja kuvuruga amani
Muone anavyotikisa mattercore yake, ukiambiwa uwataje walimtuma kuvuruga amani, utawataja ?
 
Uandishi wako we mtu unanikumbusha mwaka 2015 jinsi spensa lamek alivyokuwa anatangaza habari za lowasa, mtu ulkua unahisi mavi yanagonga chupi tukahisi kbsa ccm bye bye kwa zile mbwembwe lakini mwishowe ikawa ziiiii
 
Nikiwa katika kutayafakari haya,natazama nikaliona joka kubwa la kijani likitupwa kutoka katika kiti chache cha enzi nami,nikastaajabu ajabu kuu,nikiwa katika kustaajabu,nikaisikia sauti kama ya mwanadamu ikiniuliza yanini kustaajabu kutupwa kwa joka hilo,sauti ile ikaendelea ikisema "pigo hilo limemstahili joka, msimu wa mavuno umewadia ,apandacho mtu ndicho avunacho" kisha sauti ile ikakoma
 
Uandishi wako we mtu unanikumbusha mwaka 2015 jinsi spensa lamek alivyokuwa anatangaza habari za lowasa, mtu ulkua unahisi mavi yanagonga chupi tukahisi kbsa ccm bye bye kwa zile mbwembwe lakini mwishowe ikawa ziiiii
Huyu wa sasa sio kama Lowassa. Wanatofautiana sana kwa historia na matendo. Lissu atawashangaza.
 
Uandishi wako we mtu unanikumbusha mwaka 2015 jinsi spensa lamek alivyokuwa anatangaza habari za lowasa, mtu ulkua unahisi mavi yanagonga chupi tukahisi kbsa ccm bye bye kwa zile mbwembwe lakini mwishowe ikawa ziiiii
Lowassa hakushindwa , angalia sarakasi hizi , lowassa alijua lakini akamuachia Mungu , lissu hatofanya ujinga huo
2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg
 
Back
Top Bottom