Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Lisu sema watz coz wanaogopa kufanyiziwa Tena,kwa Moto aupatao akipenya wallahi fasta Ni lzm atabadili katibaKuna uwezekano mkubwa Lissu akamng'oa jiwe ofisini mwaka huu, kama naziona dalili.
Saa hii saa 11 lete picha live kama nyie Chadema wanaume msisubiri giza mchakachukie mtwara HAMNA kitu Lisu ni hopeless kusini he is not a Presidential material kusini kwa Kassim MajaliwaSubiri useme saa 12 jioni leo.
Abadili katiba ili iweje?S
Sio Lisu sema watz coz wanaogopa kufanyiziwa Tena,kwa Moto aupatao akipenya wallahi fasta Ni lzm atabadili katiba
Chezea ngome ya Kassim Majaliwa saa hii saa 11 wanahangaika ku edit picha za 2015 kuchakachua .Kwa Majaliwa mwamba wa kusini hawapati mkutano mkubwaLeteni nyomi la Mtwara
Sasa wewe unahisi lisu atashindwa kwa staili tofauti unavyofikiri?Lowassa hakushindwa , angalia sarakasi hizi , lowassa alijua lakini akamuachia Mungu , lissu hatofanya ujinga huoView attachment 1560636
Ili asipate tabu aipatayo sasaAbadili katiba ili iweje?
Teh teh teh teh, wanajisumbua bure, UTV AZAM TV saa 8.00 tutapata majibuChezea ngome ya Kassim Majaliwa saa hii saa 11 wanahangaika ku edit picha za 2015 kuchakachua .Kwa Majaliwa mwamba wa kusini hawapati kitu
Wewe ni mbishi kama Kenge, mpaka utolewe damu masikioni ndio ukubali.Jioni ndio hii uliza
😆😆😆 Yaani umelia hadi nimeona huruma !!Saa hii saa 11 lete picha live kama nyie Chadema wanaume msisubiri giza mchakachukie mtwara HAMNA kitu Lisu ni hopeless kusini he is not a Presidential material kusini kwa Kassim Majaliwa
[emoji15][emoji15] ndiye mwenyew lissu?[emoji53]Wewe ni mbishi kama Kenge, mpaka utolewe damu masikioni ndio ukubali.
Ona majibu yako haya.
😂😂😂Mpaka saa 7.00 mkuu wakishachakachua, ukiona hivi ujue huko wako wanahutubia miti
Wewe ni mbishi kama Kenge, mpaka utolewe damu masikioni ndio ukubali.
Ona majibu yako haya.
Hii ndiyo ilikuwa tume ya uchaguzi.Lowassa hakushindwa , angalia sarakasi hizi , lowassa alijua lakini akamuachia Mungu , lissu hatofanya ujinga huoView attachment 1560636
HakikaHii ndiyo ilikuwa tume ya uchaguzi.
Tulianza na Mungu na tutamaliza na Mungu yoote ni Mema goo LisuHii ndio taarifa inayozunguka kwa sasa kila mahali, kwamba leo yule Rais mtarajiwa wa awamu ya 6 ambaye ameteuliwa na Mungu mwenyewe baada ya kuzuia kifo chake atakuwa Mtwara katika kinachoitwa Uzinduzi wa Kampeni za uchaguzi 2020 kanda ya kusini.
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba Shughuli nyingi za kijamii zimesimama na maduka mengi yamefungwa ili kuwezesha kila mtu kuhudhuria Mkutano huo Mkubwa kupita yote iliyowahi kufanyika Mtwara, baadhi ya Makanisa yameamua kufupisha ibada na mengine yamefuta ibada ya mchana ili kuwezesha waumini kuhudhuria tukio hilo adimu.
View attachment 1560206