M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
inawasaidia kufanya kitu sahihi 28 October!Hopeless ever! Malalamiko FC. Sasa hiyo inawasaidia nini wanamtwara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inawasaidia kufanya kitu sahihi 28 October!Hopeless ever! Malalamiko FC. Sasa hiyo inawasaidia nini wanamtwara?
Ni wapi uliona Chadema wametumia picha za dronesWaambie wapige kwa drone uone aibu ya mwaka!
RC wa Mwanza amesitisha kufunguliwa kwa shule hapo kesho ili walimu na wanafunzi wahudhurie mkutano wa kampeni wa ccm , kwanini mnakusanya watu kwa njia haramu ?Waambie wapige kwa drone uone aibu ya mwaka!
Nafikiri alikuwa anamaanisha yeye binafsi ametoka ibadani mapema ili aende kwa raisi wake.Angalieni wapambe msije mkaingia kwenye makufuru! Ibada zifupishwe Kwa ajiri ya Nani eti?
Ilishindikana kwenye Corona sembuse vitu vya ajabu ajabu!!
Mungu ndiye aliyemuumba huyo na ndiye aliyemponya, kama anaakili timamamu hawezi kufurahishwa na upambe wa kijinga kiasi hiki na uandishi wa makufuru kama huu, Yeye mwenyewe anapaswa aingie Ibada na kuwasihi watumishi waendelee kumwomba Mungu
Subiri October upate aibu yako. Umeona leo mapokezi ya Baba Lao Mwanza wakati anaingia toka Musoma na Simiyu? Karibu kesho mkutanoni Kirumba!! Siyo vichochoroni.inawasaidia kufanya kitu sahihi 28 October!
Mtanyooka tu!! Malalamiko FC!RC wa Mwanza amesitisha kufunguliwa kwa shule hapo kesho ili walimu na wanafunzi wahudhurie mkutano wa kampeni wa ccm , kwanini mnakusanya watu kwa njia haramu ?
Hawawezi kupiga picha kwa drone wataabika!Ni wapi uliona Chadema wametumia picha za drones
mtu maarufu bado anahujumu hadi masomo ya watoto ! Aibu sana !Mtanyooka tu!! Malalamiko FC!
Vip diamond katoa nyimbo mpya au ni zile zileAngalia Mapokezi ya Buzuruga Mwanza!!! Tena ya Drone siyo yenu ya kupiga migongo ya watu. Mtanyooka tu mwaka huu! Labda kama mnahamu na kipigo cha mbwa koko!!
View attachment 1560885
Malalamiko FC kila kitu kulalamika tu!mtu maarufu bado anahujumu hadi masomo ya watoto ! Aibu sana !
Kamuulize.Vip diamond katoa nyimbo mpya au ni zile zile
Kuna mtwara ngapi ?
Inawasaidia kufanya maamuzi sahihi mwezi wa 10!Hopeless ever! Malalamiko FC. Sasa hiyo inawasaidia nini wanamtwara?
Vipi comrade kesho Mama Maria Nyerere atakuwepo?Hapo ni barabarani watu wamemzuia wala siyo mkutanoni. Karibu Kesho uone Baba Lao.