Anaedai hana uhuru wa kusema, yukp Tanzania; hapo alipo kasema na kupitia YouTube kasikika.
Nadhani Tundu Lissu atupe vision yake anataka kutupeleka wapi Tanzania na sio kulalamika kila siku.
Watu kwa sasa wako huru kupata habari Nadhani kuliko nyakati zote.
Kama mainstream inaogopa, kuna various networks ambazo hata hao wanaolalama uhuru wa kusema kubinywa, wanatumia na kupata followers au ujumbe wao kufika.
So far kwa majigambo haya toka katika akidai katiba mpya siojaona jipya.
Kenya ambao tunawasifu kupata katiba mpya, ufisadi na kupiga hela kumeongezeka sana ukiwamo upigwaji wa hela zs Covid19.
Bila shaka JPM akashinda kwa kura nyingi ajabu. Na kama TL hatabadili ujumbe wake; akipata kura nyingi kuzidi za Mrema 1995; basi huu utakuwa muujiza.
Kwani kila mtanzania anaona YouTube au umejitoa ufahamu hivo unaona sawa vyombo vya habari kutozwa faini sababu ya kumuhoji mgombea urais wa Tanzania. Nchi hii inakwamishwa na watu wenye mawazo kama yakwako.