Uchaguzi 2020 Lissu ailipua TCRA na Idara ya Habari Maelezo kwa kunyanyasa Vyombo vya Habari vinavyoripoti habari zake, aahidi kuifutilia mbali

Uchaguzi 2020 Lissu ailipua TCRA na Idara ya Habari Maelezo kwa kunyanyasa Vyombo vya Habari vinavyoripoti habari zake, aahidi kuifutilia mbali

Anaedai hana uhuru wa kusema, yukp Tanzania; hapo alipo kasema na kupitia YouTube kasikika.

Nadhani Tundu Lissu atupe vision yake anataka kutupeleka wapi Tanzania na sio kulalamika kila siku.

Watu kwa sasa wako huru kupata habari Nadhani kuliko nyakati zote.

Kama mainstream inaogopa, kuna various networks ambazo hata hao wanaolalama uhuru wa kusema kubinywa, wanatumia na kupata followers au ujumbe wao kufika.

So far kwa majigambo haya toka katika akidai katiba mpya siojaona jipya.

Kenya ambao tunawasifu kupata katiba mpya, ufisadi na kupiga hela kumeongezeka sana ukiwamo upigwaji wa hela zs Covid19.

Bila shaka JPM akashinda kwa kura nyingi ajabu. Na kama TL hatabadili ujumbe wake; akipata kura nyingi kuzidi za Mrema 1995; basi huu utakuwa muujiza.

Kwani kila mtanzania anaona YouTube au umejitoa ufahamu hivo unaona sawa vyombo vya habari kutozwa faini sababu ya kumuhoji mgombea urais wa Tanzania. Nchi hii inakwamishwa na watu wenye mawazo kama yakwako.
 
Vyovyote vile asubirie kwanza apitishwe na tume ya uchaguzi tarehe 25/8/20, baada ya hapo atayasema yote.

Kama kavumilia yote yaliyompata, anashindwa nini kuvumilia sasa.

Kila siku tunasema aache mihemko, muda wake bado kwasasa auvae u candidate aliouomba na kuupigania.

Wenzake umewaona wakifanya haya?! Kwanini wametulia au mnadhani wao wajinga sana.

Tujifunze kufuata taratibu, muda wa kampeni bado.

Mbona wanafanya na Rais alisema apewe muda mwengine amalizie miradi tena akasema hakuna mwengine anayeweza kumalizia hiyo miradi sasa Hiyo siyo kampeni pia
 
Sasa hivi anataka vyombo vya habari vya nini na kampeni hazijaruhusiwa?!

Mjifunze kumshauri vizuri na ukweli aambiwe, muda wa kampeni bado, mihemko ya nini?

Wakati mnatifuana na tume wenzenu watakuwa wanafanya kampeni, na mtakuja kukumbuka uzi huu muda uliisha pita.

Hao TCRA aachane nao, mbona habari za mikutano yake zinafika kila kona, radio na television zao mnataka za nini?!

Kwani vyombo vya habari vina muda wa kutoa habari mbona wewe kama huwahi kufuta ujinga ni wapi huko ambako vyombo vinasubiri muda wa kutoa habari
 
Aisee...! Poleni sana wafuasi wake. Ndiyo mnaanza kujuta sasa kwa nini mlijichanganya. Sisi tunasonga mbele kuimarisha Tanzania katika nyanja zote.

Sasa anasema ataifuta TCRA. Akishaifuta TCRA ataweka mbadala upi kwenye kusimamia upatikanaji wa habari nchini? Au ndiyo ataweka Kurugezi ya Habari ya Chadema kama mbadala wa TCRA. Anaweza kufanya hivyo, maana ameanza kuubadili wimbo wetu wa Taifa!!! Hapa mwenye kuelewa na kuitakia mema Tanzania lazima amwangalie Lissu kwa jicho la 'kuchunga'.

Wana habari wataunda chombo chao huru kama ilivyo TLS Kwani unashangaa nini siyo serikali kuwa refa huku mchezahi
 
Wakifanya hivyo, kwa mara ya kwanza Tanzania haitakalika.
Kaanza mapema sana, awe muangalifu na tume ya uchaguzi Tanzania wasije wakamuacha kati ya wagombea watakao teuliwa kugombea.

Muda wa kampeni bado.
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P
Hamna maendeleo Wala nini,hivi mtu anachukua mashine ya kupimia mamilioni ya wagonjwa ventilator na echo mashine kupeleka nyumbani kwake ndio maendeleo? Yeye ndio binadamu wengine sio ,kuchukua billions of money kupeleka kwao Rwanda ndio maendeleo?
 
TCRA ni janga la kitaifa ifutwe tu haina Faida yoyote zaidi kwa nchi.
 
Jiwe mwoga sana. Angekuwa anajiamini angeruhusu vyombo vyote vya habari viwe huru kunadi wagombea wote ili Watanzania wawasikie wagombea wote na kupiga kura kwa uhuru. Alizuia wenzie kufanya siasa kwa miaka 5 huku yeye, Bashiri na Polepole wakizunguka nchi nzima na amejenga madaraja, barabara, SGR nk. Sasa woga wa nini?
Jamaa yako ni domokaya hana jipya ati atafuta TCRA anaanzaje ?!!
aendelee kupiga domo John Pombe anamgaragaza mapema mno, ata akifika Oct 28 lijamaa pumzi itakuwa imekata.
 
Jiwe mwoga sana. Angekuwa anajiamini angeruhusu vyombo vyote vya habari viwe huru kunadi wagombea wote ili Watanzania wawasikie wagombea wote na kupiga kura kwa uhuru. Alizuia wenzie kufanya siasa kwa miaka 5 huku yeye, Bashiri na Polepole wakizunguka nchi nzima na amejenga madaraja, barabara, SGR nk. Sasa woga wa nini?
Time ikifika ataongea hadi atalala mwenyewe awache kiherehere, hawezi kujilinganisha na
Magu ati kwa vile Rais anafanya hivi na yeye afanye, mwambieni asishindane na tembo kunywa bonga kamanda...
yeye aendelee kunya vipopoo vya mbuzi ndio uwezo wake.
 
Naam anashinda na malaika mkuu, siyo? Siyo vizuri kushindana na malaika mkuu.
Time ikifika ataongea hadi atalala mwenyewe awache kiherehere, hawezi kujilinganisha na
Magu ati kwa vile Rais anafanya hivi na yeye afanye, mwambieni asishindane na tembo kunywa bonga kamanda...
yeye aendelee kunya vipopoo vya mbuzi ndio uwezo wake.
 
Wewe utakuwa unapumulia makalio
Jamaa yako ni domokaya hana jipya ati atafuta TCRA anaanzaje ?!!
aendelee kupiga domo John Pombe anamgaragaza mapema mno, ata akifika Oct 28 lijamaa pumzi itakuwa imekata.
 
Mbonga ndo mnyam
Time ikifika ataongea hadi atalala mwenyewe awache kiherehere, hawezi kujilinganisha na
Magu ati kwa vile Rais anafanya hivi na yeye afanye, mwambieni asishindane na tembo kunywa bonga kamanda...
yeye aendelee kunya vipopoo vya mbuzi ndio uwezo wake.
Bonga ndo mdudu gani acha kukurupuka kuandika jifunze kwanza uandishi unaandika kama upo kuhara vile
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P

Kwa akili hiz ni halali wajumbe walivyokupa kura 0. Eti udikteta wa kizalendo. Huwezi kusema uchawi wa kitakatifu, Udikteta ni udikteta tu hata upake rangi vipi.
 
Vyovyote vile asubirie kwanza apitishwe na tume ya uchaguzi tarehe 25/8/20, baada ya hapo atayasema yote.

Kama kavumilia yote yaliyompata, anashindwa nini kuvumilia sasa.

Kila siku tunasema aache mihemko, muda wake bado kwasasa auvae u candidate aliouomba na kuupigania.

Wenzake umewaona wakifanya haya?! Kwanini wametulia au mnadhani wao wajinga sana.

Tujifunze kufuata taratibu, muda wa kampeni bado.

TCRA ndio wanaotakiwa kufata utaratibu kwa mujibu wa sheria mama ambayo ni katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Mbonga ndo mnyam

Bonga ndo mdudu gani acha kukurupuka kuandika jifunze kwanza uandishi unaandika kama upo kuhara vile
Sio kosa lako ushazowea kupakatwa huko ufipa., go fck ya self dude.
 
Back
Top Bottom