Uchaguzi 2020 Lissu ailipua TCRA na Idara ya Habari Maelezo kwa kunyanyasa Vyombo vya Habari vinavyoripoti habari zake, aahidi kuifutilia mbali

Uchaguzi 2020 Lissu ailipua TCRA na Idara ya Habari Maelezo kwa kunyanyasa Vyombo vya Habari vinavyoripoti habari zake, aahidi kuifutilia mbali

Pale TCRA Mh amewajaza watiifu wake sana adi mwanae..chunguzeni hapo TCRA.
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P
We ulipata kula ngapi ndugu??? Kweli msomi kama wewe?? Upate kura mbili?? Ina maana wanakuona huna akili??
Wajumbe wamedhihirisha kiwa hata mijadara yako humu ndani ina kura mbili
 
Akizungumza kutoka Singida Mgombea huyo wa Urais wa CHADEMA, Mhe. Lissu amefichua njama za kishamba za TCRA na idara ya habari maelezo za kushughulikia vyombo vya habari vinavyoripoti habari zake.

Tayari BBC wamepigwa faini ya Tsh. mil. 15 kwa kurusha mahojiano na Tundu Lissu huku RFA ikiambiwa ijieleze kwanini isiadhibiwe kutokana na kurusha alichoongea Lissu na BBC.

Hata hivyo Mhe. Lissu ameahidi kufutilia mbali TCRA na idara ya habari maelezo iwapo Watanzania wataamua kumpatia Urais.

Lissu anadai malengo ya tume ya Nyalali ya kuondoa SHIHATA na kuleta TCRA yalilenga kuondoa ukiritimba baada ya Shihata kuonekana kuipendelea serikali, jambo ambalo bado halijatimia kwa vile TCRA wameendelea kutumika .

Binafsi naunga mkono TCRA Kufutiliwa mbali.

TCRA ni janga. Futilia mbali.
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P

Hakuna uduktetea wa kizalendo Pascali. dikteta ni dikteta tu. watu kupotea, ktk mazingira ya kutekwa, watu kuuwawa na wengine kuokotwa ktk visandarusi ndio sehemu ya udikteta wa maendeleo ? Hapan ndugu yngu Pascali. jiwe liite jiwe sio mpapai.
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P
Pasi-kali(pascal) ulikosa maneno/majina ya kumpamba kiongoz wako mpaka umuite dikiteta?
Ubaya ni ubaya tu,hamna ubaya mzuri.Mfano ungesema tumempata kiongozi mkali,mfuatiliaji au makini ingetosha kuliko kusema tulimuhitaj na tumempata kiongozi dikiteta,kama utukuzaj wenyewe n huu basi nina mashaka na taalum yako!
 
Kwani kila mtanzania anaona YouTube au umejitoa ufahamu hivo unaona sawa vyombo vya habari kutozwa faini sababu ya kumuhoji mgombea urais wa Tanzania. Nchi hii inakwamishwa na watu wenye mawazo kama yakwako.
Malim Seif ni mwanasiasa mkubwa sana mwenye kuungwa mkono na Block karibu yote ambayo ni Pemba toka 1995 akiwa mgombea Urais kwa CUF na media hazijawahi kumkimbia au kutozwa faini kwa kumhoji.

Bila shaka huyo anaekimbiwa na vyombo vya habari ni either hana content ya ku-offer, to the extent ya kukimbiwa au kupotezewa.

By the way, mtu mwongo TL mwenye hadaa kama mwenye statement hizi hapa chini; tunawezaje kumwanini


Akipata kura kama za Mrema 1995; utakuwa muujiza mkubwa sana.
 
Naunga mkono hoja, nchi inaendeshwa kidikiteta, lakini udikiteta wenyewe ni udikiteta wa kizalendo, a benevolent dictatorship, anafanya udikiteta kwa lengo la kuleta maendeleo kwa manufaa ya taifa.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

P
Udikteta wa kuzuia vyombo vya habari unakupa faida gani wewe Mayala? Tukikubali mambo ya kijinga namna hii, kuna siku kiongozi atawaua raia halafu tutasifia kuwa mauaji ya kizalendo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom