bata mzinga
Member
- Jan 11, 2016
- 19
- 33
Hivi kuna chama kina mipango thabiti au sera mahususi zinazogusa maslahi mapana ya wanachi wa kawaida?,kikaja na mipango thabiti inayohusu mageuzi makubwa ya nchi hii kwenye nyanja zote..,kiukweli naona mipasho ni mingi sana kwenye hivi vyamaa,kiukweli ninayotegemea kuyasikia siyasikii kabisaa