MWL RAMADHANI ATHUMANI
Member
- Jun 8, 2024
- 85
- 105
Aaache unafiki!mbona hakuzungumza kipindi kile Cha kumakaribisha Lowasa na huyo nyalandu !?anakuja kusema leo!!?View attachment 3012443
Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.
View attachment 3012526
Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.
View attachment 3012350
View attachment 3012530
Awadanganye wajinga!