bata mzinga
Member
- Jan 11, 2016
- 19
- 33
Usiwastue.Walikuwa wanadai ni mzalendo kumbe kichaa.Na bado hayafika anapotaka kwenda.Hivi karibuni atapinga kupokewa kwa Marehemu Lowassa.Lisu ana tatizo la afya ya akili toka alipojeruhiwa chadema wawe makini kabla hawajampa madaraka makubwa
Kwa taarifa yako nilimsifia na kumtetea Mbowe kabla ya ule upuuzi wa kumpokea Lowassa. Hata nafasi yake ya uenyekiti wake wakati ule alikuwa sahihi. Baada ya kosa lile tafuta popote nilimpotetea Mbowe. Ni haki yangu kutetea taasisi, na kuikosoa inapobidi Ili isonge mbele. Ulitaka nifanye kilichokuwa kwenye utashi wako?Utaratibu wa kutetea kila maamuzi ya viongozi wa chama bila kuangalia faida au hasara zake ni mbaya sana.
Wapinzani wakifanya hivyo wanakuwa hawana tofauti na wanachama wa CCM.
Kuna kipindi mlikuwa mnatetea akina Mbowe kila kitu. Nikasema siwezi kuwa na chama kamwe. Siwe kuwa katika kapu moja la 'collective imbecile' na kuburuzwa kama nyumbu.
Mkuu anzisha chama kiongee unayotaka, au ww unangoja wenzio waanzishe vyama lakini waongee utashi wako?Hivi kuna chama kina mipango thabiti au sera mahususi zinazogusa maslahi mapana ya wanachi wa kawaida?,kikaja na mipango thabiti inayohusu mageuzi makubwa ya nchi hii kwenye nyanja zote..,kiukweli naona mipasho ni mingi sana kwenye hivi vyamaa,kiukweli ninayotegemea kuyasikia siyasikii kabisaa
Chadema si wanachama, chadema ni Mbowe. Hakuna mwanachama atamnyooshea kidole Mbowe akabaki salama. Si unaona wanachadema wameanza mkataa lissuKWA KAULI HIZI, MAANA YAKE CHADEMA HAKUPO SHWARI TENA, INASUBIRIWA TU MUDA UFIKE, KILA MMOJA AOKOTE MBAO ZAKE ASEPE!
-Mwenyekiti, acha waende, kama wengi tu, walivyoondoka, uimara wa chadema unabakia pale pale, chama makini hakiwezi kushikwa aidha kuongozwa na mtu mmoja mroho wa madaraka, anayejiona yeye pekee ndiye mwenye akili kubwa chamani, chama ni wanachama, chama ni majadiliano, chama ni mikutano ya ndani katika Kujadili mitafaruku ndani ya Chama, chadema watakuwa wajinga sana endapo wataruhusu miungu watu wenye ubinafsi, ""LISSU ONDOKA CHAMA KINUSURIKE INATOSHA SASA""
Upinzani sio Chama bali mtazamo. Taasisi inaweza kufa, lakini sio mtazamo. Ndio maana ccm imekuwa ikitumia raslimali za umma kuua vyama vinavyoisumbua, bila kufanikiwa kuteka nyoyo za wapinzani. Matokeo yake wizi wa kura ndio imebaki silaha yake kubwa.Mbowe ndio Chadema hawezi ondoka, akiondoka chama kinakufa.
Hapa naizungumzia chadema haiwezi survive bila mbowe hata wanazi wa chama wameshakubaliana na ilo wanasema wenyewe wanampa uenyekiti wa kudumu sababu wengine hawawaaminiUpinzani sio Chama bali mtazamo. Taasisi inaweza kufa, lakini sio mtazamo. Ndio maana ccm imekuwa ikitumia raslimali za umma kuua vyama vinavyoisumbua, bila kufanikiwa kuteka nyoyo za wapinzani. Matokeo yake wizi wa kura ndio imebaki silaha yake kubwa.
Lissu nadhani anataka kuwa celebrity badala ya kuwa politician.View attachment 3012443
Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.
Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.
View attachment 3012350
Anakuja vyema na vina utata atasema walimpokeaje lowassa ukweli ukidhihiri uongo hujitenga!View attachment 3012443
Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.
Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.
View attachment 3012350
Kwanza rekebisha kauli sijakuwepo humu kuanzia 2017 nipo humu kuanzia 2009.Umejiunga hapa jukwaani 2017 miaka miwili baada ya hiyo gia ya angani. Ulimzodoa nani miaka miwili baada ya gia ya angani? Mimi nimepinga tena humu humu toka Lowassa kapokelewa na kupewa nafasi ya kugombea urais kwa njia ya Vodafasta, pitia post zangu za nyuma ndio uje na maelezo haya.
Wapiga kura watakuwa wachache sana sio kwa sababu ya Mbowe kung'ang'ania madarakani, bali ni kwasababu ya chaguzi zetu za kishenzi ambapo kura zao haziheshimiwi.
Suala la kuanzisha chama kingine Cha siasa huo ni mpango wa muda mrefu wa Tiss. Lengo ni kuendelea kucheza na akili za wananchi Ili ccm iendelee kusalia madarakani kwa shuruti. Unaweza hata ww kuanzisha chama Cha siasa kama unaona vipi, au ww unasubiriwi kuanzishiwa chama tu?
Huoni upo naye CCMNasikia kwenye kura za kupata mgombea wa cdm kwenye urais Nyalandu akimgaragaza vibaya Lissu. Lakin wakaamua kugeuza na kumpitisha tu Lissu. Lissu ana chuki na wivu.
UWT achaneni na mambo ya watu wengineLissu ndio kagoma sasa,ufisadi wa chadema unamkera sana lissu,Lissu aseme wazi sasa anagombea ucheaman ili aungwe mkono na mamilioni ya wapenda haki.
Utu upo palepaleTofautisha siasa na ubinadamu wa kawaida.
Mwalimu alisema mtu hata kama ni rafiki yako lakini kwenye mambo ya nchi urafiki uwekwe pembeni.
Mwenendo wa Lissu wa hivi karibuni unaanza kunitia mashaka Kama Lissu anafaa kuwa kiongozi wa nchi.Hapo Lisu nakukatalia. Nyarandu by that time was to his senses! Aliacha ubunge kwa kupinga matendo ya Magufuli. Alikwenda Nairobi kukuona defying instructions from Magufuli!
Majira hubailika! Baadaye alirudi CCM , akakengeuka kama wanavyokengeuka wengi. hata CCM ikitoka madarakani, utaona uhalisia wa hao wanaojiita wana CCM kindakinda. Erythrocyte
Mkuu elewa ninachosema,kikubwa natamani majukwaa ya vyama vya upinzani kwenye majukwaa yao yawe na sera za kiuchumi, kama unaona suluhu ya hiki ninachosema ni kuanzisha kila mtu chama chake,baki na huo utashi wako..!Mkuu anzisha chama kiongee unayotaka, au ww unangoja wenzio waanzishe vyama lakini waongee utashi wako?
Yes, nadhani uko sahihi. washauri wajaribu kumshauri nini cha kusema publicly na nini cha kusemea in camera!Mwenendo wa Lissu wa hivi karibuni unaanza kunitia mashaka Kama Lissu anafaa kuwa kiongozi wa nchi.
Inaonekana Lissu hana washauri wala role models wa kujifunza kutoka kwao.
Hili ni tatizo.