Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Lisu ni chizi.Tundu lisu ana hekima ndogo sana ya kiungozi
Pia Hana ahukrani
Alipaswa ajutie kwanza kumpokea lOwasa aliyemweka kwenye list of shame ya chama chake
Sio Nyalandu aliyeacha ubunge na maslahi yake
Kiswahili kigumu."Walikuja kuleta" mkuu kumbe na wewe ni kamanda kindakindaki
This is neither here nor there...., Nyalandu anaweza akawa mtu mwema sana, tena anaweza akawa rafiki yake kipenzi na Lissu na mtenda wema asiye na doa lakini haimaanishi ni perfect fit kwa CHADEMA / CHAMA kwahio sio kweli kwamba wote waliomtendea Lissu wema au kesho Samia akitaka apewe cheo CHADEMA basi apewe sababu tu alikwenda kumuangalia Lissu na Lissue asiseme kitu sababu alitendewa wema.... Tukishaanza siasa za Scratch my back I will Scratch yours wanufaika watakuwa wanasiasa kugawana Keki na sio Mwananchi KitaaLisu anapaswa kupimwa akili, inawezekana risasi zimemletea madhara kwenye mfumo wake wa akili
Ninachokumbuka mimi Nyalandu alijiuzuru ubunge akiwa Arusha na sababu yake kuu ni kupinga tukio la kutaka kumuuwa Lisu.
Kama leo Lisu anaongea huu upumbavu wacha nikae pembeni na siasa za Bongo zimejaa wapumbavu watupu tuliowaamini akiwemo Lisu
Mbowe alifanya maamuzi ya tamaa za kuangalia muda mfupi ambayo yame ki cost sana chama.Shibuda alikuja kabla ya ule upuuzi wa 2015, maana yeye aliingia 2010. Nilidhani cdm walijifunza kutokana na mwenendo wa Shibuda ndani ya cdm, maana Shibuda alikuwa mbunge kwa ticket ya cdm, lakini akabaki mwanaccm mtiifu. Ilifikia hatua hadi cdm wakamtenga Shibuda. Lakini 2015 wakafanya maamuzi ya kipuuzi kabisa kuliko ya huyo Shibuda.
Hata ukitazama kundi kubwa la viongozi wa cdm waliorejea ccm wakati wa dhalimu magu kwenye kampeni ya kuunga mkononi juhudi, ni wale waluokuja muda mfupi Kabla ya uchaguzi wa 2015, na kupewa nafasi kama Lowassa. Na mmoja kati ya waliorejea ccm ni huyo Lowassa. Nilisangaa sana Mbowe kupata ujasiri wa kugombea uenyekiti tena baada ya ile political blunder ya 2015! Mbowe alitakiwa kujiuzulu muda mrefu baada ya kete ya Lowassa kushindwa kuchukua urais.
Lisu anajipa umalaika ambao hana.This is neither here nor there...., Nyalandu anaweza akawa mtu mwema sana, tena anaweza akawa rafiki yake kipenzi na Lissu na mtenda wema asiye na doa lakini haimaanishi ni perfect fit kwa CHADEMA / CHAMA kwahio sio kweli kwamba wote waliomtendea Lissu wema au kesho Samia akitaka apewe cheo CHADEMA basi apewe sababu tu alikwenda kumuangalia Lissu na Lissue asiseme kitu sababu alitendewa wema.... Tukishaanza siasa za Scratch my back I will Scratch yours wanufaika watakuwa wanasiasa kugawana Keki na sio Mwananchi Kitaa
Ni kweli Lissu msema hovyo na binafsi sidhani kama anaweza kuwa kiongozi mzuri Lissu ni mwanaharakati unamuhitaji ukiwa unagombania kitu / unapigania kitu kama mtu wa kuleta amsha amsha..... Ila ndio hivyo wanasiasa sio wa kuwaamini wana maslahi binafsi na wamekuwa flip floppers ni ngumu hata kujua wanasimamia nini (ingawa matumbo yao nadhani ndio kipaumbele)Lisu anajipa umalaika ambao hana.
Nyalandu ni mchaga?Lissu amechelewa kujua kwamba chadema ni chama chenu wachaga hawezi achiwa chama
True, mengine unayaacha. La Abdul sijalipenda kuliwka hadharani. asingelitaja jinaLissu anatakiwa awe makini sana asijikute yupo kwenye Kundi la Msema hovyo Kama kina Zitto na Mrema.
Ngoma ikilia sana hupasuka.
Hongera kwa msimamo wako, sijawahi kuwa kiongozi wa chama chochote Cha siasa, na sijawahi kutoa kura yangu kwa mwanaccm yoyote ni sintokaa niipe ccm kura yangu, iwapo kura kweli ina maana, kwani naamini kwenye mabadiliko ambayo Mbowe kafeli vibaya.Tugange yajayo.
Nilipinga ujio wa Lowasa.
Nilikuwa kiongozi wa CDM wilaya fulani nikaachana.
2015 nikachagua Magufuli.
Mimi sio toy kuyumbishwa na wanasiasa wasio na misimamo
Chadema ile iliyokuwa imejengeka kitaasisi iliyoibua na kupinga ufisadi kila kona ya nchi angesimama yeyote isipokuwa makapi ya Ccm kugombea 2015 leo tungekuwa tunaongea mengine.
Mbowe alikula mpunga mrefu sana.
Hata mzalendo Magufuli alipowapiga ban na siasa zao za kipuuzi mimi niliona sawa tu.
Sijui mkuu 'Benjamini Neta', kama Lissu kakosea au la kuhusu Nyalandu. Huenda kuna mambo mengi ndani ya CHADEMA yanachangia kuhusu mikanganyiko yote hii.Lissu kwa hili amekosea
Mbowe aache family business?Kama Kuna kosa kubwa walifanya uongozi wa cdm ni kuwapokea wanasiasa maslahi wa ccm, the likes of Lowassa, Nyalandu, Msindai na takataka za aina hiyo. Mbowe angekuwa anajali uwajibikaji alipaswa kijiuzulu uenyekiti na kukiri kufanya makosa kwa kupokea hao wahuni, na kuwapa nafasi adhimu huko cdm.
Ni katika mwendelezo wa yale ya mabilioni kwa Magufuli, kumsema Mwalimu Nyerere kuwa mdanganyifu, n.k.,M
True, mengine unayaacha. La Abdul sijalipenda kuliwka hadharani. asingelitaja jina
Z🤣🤣🤣View attachment 3012443
Akiendeleza kile tunachoita ukosoaji wa maamuzi nyeti ya chama chake yaliyopita kwenye mikono ya mwenyekiti Mbowe.
Lissu amehoji ilikuwaje mpaka Chadema ikampokea Nyalandu.
View attachment 3012526
Niwakumbushe Nyalandu ndio mbunge pekee wa CCM aliyeenda kumjulia hali Lissu akiwa hospital jijini Nairobi.
View attachment 3012350
View attachment 3012530
Aliacha kwa kuzira maana ya Magufuli kumtukuna kwa kwenda kumtembelea Lisu, lakini hakuwahi kuishi kama mwanacdm, bali mwanaccm aliye ukimbizini.Nyalandu aliacha ubunge na posho zake kujiunga Cdm Haina hata posho sidhani Kama ni maslahi
Ila hao wengine ni sawa walifuata maslahi
Kabisa, ni kama alitaka mafanikio bila kujali athari za muda mrefu. Pale ndio nilijua Mbowe hastahili kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama kama cdm.Mbowe alifanya maamuzi ya tamaa za kuangalia muda mfupi ambayo yame ki cost sana chama.
Ni vigumu kujua kama uchaguzi ule Lowassa kweli alishinda, inawezekana.Unaongea nini? Ule uchaguzi licha ya kuona Mbowe alifanya kosa ila Lowassa alishinda uchaguzi. Na tuongee ukweli tu angegombea Dr Slaa au Tundu Lissu sidhani kama wangemshinda JPM alikua na nguvu sana ule uchaguzi ila Lowassa pekee ndio neutralized JPM.
labda kosa ni kwamba tulimuita fisadi alafu tukampa ugombea mtu mchafu. Ila je alikua mgombea sahihi? Jibu ni ndio, na kama uchaguzi ungekua huru na haki Yeye na Maalim wangekuwa marais walau kwa awamu moja moja.
Narudia tena CCM haikushinda uchaguzi 2015