CCM MKAMBARANI
JF-Expert Member
- Mar 15, 2017
- 2,031
- 1,514
Una mikwara..Kiswahili kigumu.
Nikisema kuwa Kenyatta alikuja kuwa rais wa Kenya ina maana mimi lazima niwe Mkenya au nipo Kenya.
Mimi kamanda kabla ya CHADEMA haijazaliwa. Nimevaa khaki suit na Cocoa Tea.
Unamjua Cocoa Tea wewe?