Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,443
- 2,643
Basi atashinda MAGUFULI tulia usitufokee kuandika kwenyewe tu haujui vizuriHivi nimakundi gani hasa yenye ushawishi ktk jamii yanayomuunga mkono Lissu.
Anaota kwenda ikulu kwa kura zipi hasa, maana idadi ya watu waliohamia ccm ndani ya miaka mitano si ya kubezwa.
Kigogo karudi mjini?Twende kazi sasa!!![emoji91][emoji91][emoji91]
Huku Lissu na Nguvu ya Umma, huku Kigogo 2014 na mautaalam yake ya IT.
Niko Tayari kubeti na yeyote yule. Magu hashindi uraisi mwaka huu!!!
Magufuli umeona ameenda popote?Zanzibar ameenda? Lazime adhaminiwe na mikoa miwili huko
Tupe idadi siyo unaleta mhemko wa kiccm hapa.Hivi nimakundi gani hasa yenye ushawishi ktk jamii yanayomuunga mkono Lissu.
Anaota kwenda ikulu kwa kura zipi hasa, maana idadi ya watu waliohamia ccm ndani ya miaka mitano si ya kubezwa.
Baba Twitter kumetakata. Mwaka huu lazima kijani wawe upinzani, watake wasitakeKigogo karudi mjini?
Kawaanika wasiojulikana kinyamaBaba Twitter kumetakata. Mwaka huu lazima kijani wawe upinzani, watake wasitake
Mungu yupo pamoja na LissuMwenyezi Mungu awe naye katika kupambana na huyo asiyejithamini na kujiita JIWE na KICHAA
Ndo mana TISS wanafeli. Hivi Katambi aliingia kwa vigezo gani eti???πππππKawaanika wasiojulikana kinyama
Waaitu waukayo kyoma karbu sanaaa ongenyere na kanyeto
Zanzibar ameenda?Mungu yuko naye! AMEN
Unaweka nini?Twende kazi sasa!!![emoji91][emoji91][emoji91]
Huku Lissu na Nguvu ya Umma, huku Kigogo 2014 na mautaalam yake ya IT.
Niko Tayari kubeti na yeyote yule. Magu hashindi uraisi mwaka huu!!!
Alikwenda. Swali lingine tafadhaliZanzibar ameenda?
SawaJuu kwa juu