SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kawavua nguo wasiojulikana huko Twitter kinoma noma.Kigogo 2014 amefufua account yake ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawavua nguo wasiojulikana huko Twitter kinoma noma.Kigogo 2014 amefufua account yake ?
Huyu ndiye mfano Daudi, aliyepitia uvuli wa mauti mikononi mwa Sauli kutokana simulizi zilizopo ndani ya maandiko matakatifu, na Mola akamlinda.TUNDU Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, amekamilisha hatua za mwisho za ujazaji fomu za uteuzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Leo Ijumaa tarehe 21 Agosti 2020, Lissu akiambatana na mgombea mwenza, Salum Mwalimu, wamefika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, kwa ajili ya hatua ya mwisho ya kisheria ya ujazaji wa fomu zao za kugombea.
Akizungumza baada ya kukamilisha hatua hiyo, Lissu amesema wamefika katika mahakama hiyo kula kiapo cha ujazaji wa fomu hizo.
“Mimi ni mteule wa CHADEMA kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Salum anagombea makamo wa rais, taratibu ya sheria ya uchaguzi baada ya kutafuta wadhamini.”
“Kinachofuata ule kiapo mbele ya Jaji Mkuu, ukija kula kiapo kama sehemu ya kukamilisha ujazaji fomu ya uteuzi wa kugombea kinachofuata ni safari ya Dodoma kuwasiliha fomu za uteuzi siku ya Jumanne,” amesema Lissu.
Uteuzi wa wagombea urais itafanyika tarehe 25 Agosti 2020 Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) jijini Dodoma.
Baada ya uteuzi wa wagombea, kampeni za uchaguzi huo zitafanyika kuanzia tarehe 26 Agosti hadi 27 Oktoba 2020.
Mungu Baba wa Mbinguni aliyemponya mja wake kwenye tukio baya kabisa la kushambuliwa kwa risasi, tunakuomba tena na tena Mungu Baba wa Mbinguni ukawe na mja wako huyu katika safari yake ya kutafuta kibali machoni pako cha kuwatumikia wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. AMINA
Hivi nimakundi gani hasa yenye ushawishi ktk jamii yanayomuunga mkono Lissu.
Anaota kwenda ikulu kwa kura zipi hasa, maana idadi ya watu waliohamia ccm ndani ya miaka mitano si ya kubezwa.
Nenda Twitter muone mwamba. Kapiga spana moja nzito saaana leo. Naona huko Lumumba mwaka huu hali si haliKigogo 2014 amefufua account yake ?
Kigogo hajielewi.Nenda Twitter muone mwamba. Kapiga spana moja nzito saaana leo. Naona huko Lumumba mwaka huu hali si hali
Congratulations Tundu Lissu...
Hakuna cha kukuzuia kaka Lissu....
Kila hatua, Bwana Mungu Yehova ameisafisha na kuongoza njia yako...
å Uponyaji wako
å Safari back home from Kenya & Belgian after 3 yrs of Magufuli's bullets healings
å Kuteuliwa na Chama chako
å Kupokea fomu ya uteuzi NEC
å Kutafuta wadhamini
Na Leo utakula kiapo bila shaka yoyote maana alipo Mungu muumba (siyo ile miungu yao), hakuna kinachoshindikana....
Kisha nenda hatua zinazofuata;
å Kurudisha fomu ya uteuzi wa kuuendea Urais wa nchi hii, NEC - Dodoma
å Anza kampeni rasmi
å Shinda uchaguzi
å Tangazwa na kuwa Rais Mteule
å Apishwa kuwa Rais wa nchi hii.
å Ondoa kinga za kutoshitakiwa za waliojiwekea wahalifu wote wa nchi hii ili waanze kuonja matokeo ya dhambi zao..
KARIBU SANA MH. RAIS TUNDU A.M. LISSU...!!
Hahaha huyu mwamba ni shujaa wa taifa. Katusaidia sana kututoa matongotongo watanzania. Wasiojulikana bila huyu wangetupoteza sanaKigogo hajielewi.
Huwa hapendi kukosolewa kama Jiwe.
Muda wote anajikuta yeye yupo sahihi
Inatakiwa juhudi zenu, sio maneno matupu, pia anahitaji michango yenu. Wengi wenu ni washabiki manenoMungu yuko naye! AMEN
Baba Twitter kumetakata. Mwaka huu lazima kijani wawe upinzani, watake wasitake
Magufuli ameenda popote?Zanzibar ameenda?
Shetani hajawahi kumshinda Mungu.Kazi ndio inaanzia ya kujianika na kuanikwa,
Niko Na Magufuli mwanzo mwisho
Ameanza kamkeni mapema!Safi sana!
Swali la utopolo! Unafikri yeye hajui hilo takwa la kisheria? Au ulitaka umeona physically?Zanzibar ameenda? Lazime adhaminiwe na mikoa miwili huko
Magufuli alienda? mbona hata bara kaonekana Dodoma tu.Zanzibar ameenda?
Inatakiwa juhudi zenu, sio maneno matupu, pia anahitaji michango yenu. Wengi wenu ni washabiki maneno