Uchaguzi 2020 Lissu akamilisha ujazaji wa fomu za Urais Tanzania

Huyu ndiye mfano Daudi, aliyepitia uvuli wa mauti mikononi mwa Sauli kutokana simulizi zilizopo ndani ya maandiko matakatifu, na Mola akamlinda.
 

Pamoja sana.

Nami amuombea kwa Mungu kuwa huyu mtu aliyetamka wazi kuwa alikusudia kumuua Tundu Lissu kwa kutuma kikundi kwenda kumpiga risasi AFE KIFO CHA AIBU WAKATI WA KAMPENI. MUNGU TUONDOLEE MTU HUYU MWENYE ROHO OVU MUUWAJI HATUMTAKI. NAJUA MUNGU UNASIKILIZA MAOMBI HAYA NA UTAYAJIBU KWA HARAKA. AMEN
 
Hivi nimakundi gani hasa yenye ushawishi ktk jamii yanayomuunga mkono Lissu.
Anaota kwenda ikulu kwa kura zipi hasa, maana idadi ya watu waliohamia ccm ndani ya miaka mitano si ya kubezwa.

Hamna watu wapiga kura wa upinzani waliohamia ccm zaidi ya viongozi wachache wapigania tumbo.
 

Wewe unajua kaka yako Lissu kisha sema uongo wa kufa mtu??! Eti, eti, eti... anahitaji malori baadaye ya kupeleka forms za wadhamini Dodoma. Ingawaje tume inahitaji 2300tu.
 
Kigogo hajielewi.

Huwa hapendi kukosolewa kama Jiwe.

Muda wote anajikuta yeye yupo sahihi
Hahaha huyu mwamba ni shujaa wa taifa. Katusaidia sana kututoa matongotongo watanzania. Wasiojulikana bila huyu wangetupoteza sana
 
LISSU ARUKA KIHUNZI CHA MAHAKAMA MBIO ZA URAIS TANZANIA

 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kipindi hiki kinatembea kifua mbele kwa ujasiri! Maana Mgombea Wetu ni Chadema kweli kweli, Wale waliokua wanasema chadema kimekufa nawashauri wajitoe tu Kwenye Uchaguzi wamuachie Lissu sababu yeye ndio anaekwenda kushinda Uchaguzi.
 
Mtaa wa saba wanafikiri tume ni yao..eti wamejifumgia wanatengeneza pingamizi la Lissu kuanza kampeni mapema...

Watu wasiojia sheria ni balaa...

Yale yale ya Ugaidi wa watu wawili miaka ile!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…