Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Wakicheza nalo na kufanya nalo uhanithi, hatua zipi zinafaa kuchukuliwa ili kuwatia adabu ?CCM watavuna walichopanda.
Tutawaadhibu kupitia Sanduku la Kura.
Tunaiomba NEC isichezee Sanduku la Kura.
Sanduku la Kura ni vizuri likaheshimiwa.