Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

CCM watavuna walichopanda.

Tutawaadhibu kupitia Sanduku la Kura.

Tunaiomba NEC isichezee Sanduku la Kura.

Sanduku la Kura ni vizuri likaheshimiwa.
Wakicheza nalo na kufanya nalo uhanithi, hatua zipi zinafaa kuchukuliwa ili kuwatia adabu ?
 
Yaani nitafanya kila njia nikampe mkono Mh Rais Tundu Lisu, Nitapanga safari ya kwenda Ikulu kama watanikamata poa tu, kama watanipiga basi yatakuwa maumivu ya raha maana napigwa huku namshangilia rais, Kama wataniua basi naamini ntakufa huku natabasamu, nafsi yangu italala kwa amaniiiiiiiii!
Siku hiyo ikulu itafurika maana wakumpa mkono wa pongezi ni wengi nikiwemo mimi mwenyewe na wana ccm wenzagu tunaopinga utawala huu wa manyanyaso na ukandamizwaji wa haki za watu
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. Umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Endelea kuota ndoto yako
 
Natamani kila mtanzania asikilize ilani za chadema na kampeni za lissu alafu wafanye maamuzi kupitia hizo, hata kama unamchukia vipi ukisikiliza mipango na maadhimio yake, hakika utampigia kura
 
Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Msikikize anachoongea alafu kiingize katika maisha halisi ya mtanzania uone kama hautampigia kura, tatizo hamsikilizi mnaleta mihemko tuu
 
Lisu ni wa mtandaoni
Safi sana kama mwaka 2016 wabongo mil 17 walikua wanatumia internet mpk sasa 2020 wabongo karibu 20mil watakua wako mitandaoni,na ww umesema Lissu ni wa mitandaoni.
Screenshot_2020-09-29-01-42-06-1.jpg
 
Wakifa wahuni haina shidaa hata wafe mia ili kulinda amani ya watu milion 60
Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....

Magufuli akitangazwa itakua msiba mkubwa sn kwa taifa kuliko hata kifo cha baba wa taifa
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√ Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√ Watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√ Wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√ Wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√ Wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ CCM tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. Umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.

Mwalimu aliwahi kusema hatuwezi kuiachia nchi ma mbwa. Nadhani ulikuwa hujazaliwa.
 
Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....

Magufuli akitangazwa itakua msiba mkubwa sn kwa taifa kuliko hata kifo cha baba wa taifa
Utakuwa msiba kwa WAHUNI aka WAZEE wa FARAGHA Ila kwa wazalendooo ni Shrehe
 
Namna magufuli alivyoongoza watanzania kwa fujo uonezi ukali visasi asubuhi mapemaaa watu wanaenda kumpatiliza sawasawa na alivyowafanyia.
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√ Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√ Watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√ Wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√ Wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√ Wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ CCM tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. Umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.



Hahahahaaaaaa huwa ni kichekesho sana siku ya kutangaza matokeo, utaona tu dalili jinsi maandalizi ya jukwa yatakavyokuwa yatakupa picha ya nani ni mshindi
 
Utakuwa msiba kwa WAHUNI aka WAZEE wa FARAGHA Ila kwa wazalendooo ni Shrehe
Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....

Magufuli akitangazwa itakua msiba mkubwa sn kwa taifa kuliko hata kifo cha baba wa taifa
 
Back
Top Bottom