Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Hata asiposhinda tumefurahi tu kusikia akisema yale yalikuwa adimu kusikia- yaani ukweli kama ukweli
Well said, hata asipotangazwa kuwa ameshinda ila atakuwa ametoa fundisho. Labda dharau kwa wananchi ambao mamlaka yote yanatoka kwao itapungua kama siyo kuisha.
 
Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Mkuu 2015 na miak 5 baada ya utawala wa JPM ni tofauti sana. Watu wamefanyiwa ubabe uliopitiliza. Nchi imetawaliwa kwa matamko wa mtu sio sheria. Watu Kimara walivunjiwa nyumba zao wakati kuna zuio la mahakama kuu. Mahakama ikapuuzwa, nyavu sikachomwa moto na zimenunuliwa ndan ya nchi hii hii. Sas hivi watu wanamjua vzr. 2015 hawakumujua qalimjua JK. Hana kipya cha kiwadanganyia, asubili alichopanda kama Bukoba alivyofanywa
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Nilitaka kuja na uzi wenye heading hii hii, hakika kumbe kuna wakati tunakuwa na mitizamo inayofanana, mkuu ahsante kwa bandiko! ni ukweli usiopingika kutakuwa shangwe ambalo halijapata kushuhudiwa ktk historia ya nchi hii.
 
Screenshot_20200926-161638_Twitter.jpg
 
Mkuu 2015 na miak 5 baada ya utawala wa JPM ni tofauti sana. Watu wamefanyiwa ubabe uliopitiliza. Nchi imetawaliwa kwa matamko wa mtu sio sheria. Watu Kimara walivunjiwa nyumba zao wakati kuna zuio la mahakama kuu. Mahakama ikapuuzwa, nyavu sikachomwa moto na zimenunuliwa ndan ya nchi hii hii. Sas hivi watu wanamjua vzr. 2015 hawakumujua qalimjua JK. Hana kipya cha kiwadanganyia, asubili alichopanda kama Bukoba alivyofanywa
Mkuu natamani sana kupata clip na kushuhudia kilichomkuta His Execelency huko bukoba
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Wala Rushwa na wanyang'anyi watalipuka
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
120299138_1722386591253682_7956654582301133482_o.jpg
 
Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Safari kuiba kura ngumu ndugu yangu, wewe mpigie jiwe lakini kawaambie na rafiki zako wizi wa kura safari hii ngoma nzito. Wasipotaka kutoka watatolewa kwa nguvu.
 
Yaani nitafanya kila njia nikampe mkono Mh Rais Tundu Lisu, Nitapanga safari ya kwenda Ikulu kama watanikamata poa tu, kama watanipiga basi yatakuwa maumivu ya raha maana napigwa huku namshangilia rais, Kama wataniua basi naamini ntakufa huku natabasamu, nafsi yangu italala kwa amaniiiiiiiii!
 
Itakuwa siku ambayo hata Mungu atalifuta giza kwa muda ili kila mtu amtukuze kupitia Lissu
 
Maalim akiapishwa kuwa rais Zanzibar, tunatangaza tarehe mpya ya uhuru, tunaachana na ile ya 1963/64... itakuwa 2020 October 29th 😀

Walioko bara nauli yenu tu, Zanzibar kila chochoro mtasikia harufu ya biriani, pilau na makeki kwa ajili ya kila mtu kufaidi.
 
Yaani nitafanya kila njia nikampe mkono Mh Rais Tundu Lisu, Nitapanga safari ya kwenda Ikulu kama watanikamata poa tu, kama watanipiga basi yatakuwa maumivu ya raha maana napigwa huku namshangilia rais, Kama wataniua basi naamini ntakufa huku natabasamu, nafsi yangu italala kwa amaniiiiiiiii!
Du umeongea maneno mazito Sana. MUNGU akupe haja ya Moyo wako bila kupigwa wala kuuawa.
 
Du umeongea maneno mazito Sana. MUNGU akupe haja ya Moyo wako bila kupigwa wala kuuawa.
Kweli kabisa, yaani kunawatu Mungu angeniwezesha japo nikasalimiana nao ningefurahi sana.

Kidunia- Baraka Obama
Afrika - PL Lumumba
Tanzania- Tundu Lisu.

Hao watatu tu Mungu angenikutanisha nao tu japo niwasalimie
 
Nishaiweka karibu ile nyimbo (pambio) “TUMEUOOONA, MKONO WAKO BWANA, UMETUTOA MBAAAALI, UMETUSHIKA MKOOONO”.. mtaa mzima naona watanijoin hapa nyumbani tuuimbe weee mpaka tuchoke. Na chakula itakuwa pilau tu wiki nzima. Tushereheke na majirani halafu tutajumuika kumtolea Mungu sadaka ya pamoja, maana wote tumejiapiza Lissu lazima awe Rais wetu Watanzania.
 
Back
Top Bottom