Vicky-Abelly
Member
- May 27, 2016
- 69
- 89
Well said, hata asipotangazwa kuwa ameshinda ila atakuwa ametoa fundisho. Labda dharau kwa wananchi ambao mamlaka yote yanatoka kwao itapungua kama siyo kuisha.Hata asiposhinda tumefurahi tu kusikia akisema yale yalikuwa adimu kusikia- yaani ukweli kama ukweli