Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Lissu sio Lowassa. CCM jiandaeni tuHahaha Na Kwa Lissu haya ndio yatakuwa Matokeooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu sio Lowassa. CCM jiandaeni tuHahaha Na Kwa Lissu haya ndio yatakuwa Matokeooo
Kwann hoja ya kujaza watu sio kigezo cha kura kwa Lisu tu?Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Kama alishinda bullet 16 nini uraisi wajumbe ndo washaamuaNa hatoweza kamwe kushi urais labda ashinde njaa.
Time will tellMapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Hashindi sasa!
Lisu aipigwa magorori ya kuwindia ndege, angepigwa risasi halisi hata mungu angechoka kubakiza uhai wake.Kama unaamini Mungu amlisaidia Magufuli kupambana na corona ni lazima pia uamini kuwa Mungu alimponya Lissu risasi 16 ili aje kuwa Raisi wako 2020-2025
Vyeti feki Kwan wewe na yeye mlikuwa mnahudumiwa na nan kwa mafanikio hadi hapo mlipowakandamiza kinyonyajiUliyekandamizwa ni wewe ndugu zako wote wametimuliwa kazini kwa vyeti feki.
WATU WAKOMAE KULIPA ADA VYUONI LAKINI NYIE VILAZA MKALE VIYOYOZI MAOFISINI. HOVYO KABISAA.Vyeti feki Kwan wewe na yeye mlikuwa mnahudumiwa na nan kwa mafanikio hadi hapo mlipowakandamiza kinyonyaji
Ilikua zaidi ya hivi kwa Dr. Slaa, Lowasa ! Ahaa okay Mungu hakua amepanga kipindi hicho maana hata Mwingira kasema !Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.
√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.
Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.
Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.
Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Hakuna mtaalamu wa vyuo vyako zaid ya kukariri maandish ya kizungu kama huyo wa kwakoWATU WAKOMAE KULIPA ADA VYUONI LAKINI NYIE VILAZA MKALE VIYOYOZI MAOFISINI. HOVYO KABISAA.
Jibu analo mzee kikweteYani Lisu ashinde urais?
Wa wasafi ama?
Ole wao,wasijaribu sumu kwa kuionja.Watanzania tunataka mabadiliko kwa udi na uvumba,hakuna namna yoyote tutaruhusu wizi wa kura hata moja.Jiandaeni kisaikolojia kwa kuwa hatudanganyiki tena.Jiwe kashafanya mikakati Jana na leo, ndio maana akasogeza mbele Kampeni za Iringa.
Kikao cha Jiwe na MaDed kimefanyika Dodoma Jana na Leo.
Wataiba kura na kuvuruga uchaguzi
Hayo umesema wewe. Ukweli ni kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu. Amini au usiamini , kataa au kubali
[/QUOTAmen
Kwa uchaguzi wa rais nchi hii kushinda ni jambo moja na kutangazwa ni jambo jingine kabisa.Yani Lisu ashinde urais?
Wa wasafi ama?
Hata maDED washachoka na ukoloni huuJiwe kashafanya mikakati Jana na leo, ndio maana akasogeza mbele Kampeni za Iringa.
Kikao cha Jiwe na MaDed kimefanyika Dodoma Jana na Leo.
Wataiba kura na kuvuruga uchaguzi