Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Kama isingekuwa hivyo wala msingehangaika kusomba watu kwa malori!
 
Wa kwanza kwa risasi 32,Mungu kamponya ili kukuumbueni mliroga usiku Leo mchana kila mtu amewajua wachawi
Kibaraka anasema kumi na sita wewe mke wake unadouble 32 dah mnatia aibu ,hakuna kura za hura wapuuzi nyie.
 
Nishaiweka karibu ile nyimbo (pambio) “TUMEUOOONA, MKONO WAKO BWANA, UMETUTOA MBAAAALI, UMETUSHIKA MKOOONO”.. mtaa mzima naona watanijoin hapa nyumbani tuuimbe weee mpaka tuchoke. Na chakula itakuwa pilau tu wiki nzima. Tushereheke na majirani halafu tutajumuika kumtolea Mungu sadaka ya pamoja, maana wote tumejiapiza Lissu lazima awe Rais wetu Watanzania.
Thus Mungu alimuokoa
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Tuvumilie mkuu, kipindi cha JK tulilalamika sana juu ya maovu, ila sasa tunaenda kila mtanzania kuwa na uahueni wa maisha, so miundombinu ikiwa safi kila jambo litakaa sawa.
 
Humu Jamiii Forum kuna watu Wanawaza Watu Wanaojaa Mikutanoni Ndio wapiga Kura Naomba niwaambie Wapiga Kura Wa Nchii wengi in watu wasiohudhuria Mikutano ingekuwa ivyo Lowassa na Dr Slaa wangeshachukua hii nchi kitambo.KWA HIYO MSIDANGANYIKE KWA IDADI YA MASHABIKI MTAJIUMIZA MIOYO MIMI NAMPIGIA KURA YANGU MAGUFULI KWA MARA YA KWANZA KWA SABABU KANISHAWISHI KWA UTENDAJI WAKE NA MWELEKEO ANAPOIPELEKA TANZANIA. ALIKUJA MWANZA NA SIKWENDA UWANJANI SO NILISHAAMUA HATA KABLA YA KUJUA NI LISSU AU MEMBE ATAKAE KUWA MPINZANI WA MAGU
Unazani Kura zitapigwa na wakenya ?
 
Hawa jamaa wamemwagwa kwenye mitandao ya kijamii, kazi yao ni propaganda. Kuaminisha Lissu anakubalika kila pembe ya nchi hii. Fuatilia thread zinazoanzishwa humu asilimia kubwa zinaongelea mapokezi ya Lissu.
Mkuu nani kawamwaga ? Unadhani member wote ni kama wewe(Buku7 fc)?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Waovu wakitawala nchi huugua.. Lkn wenye haki wakitawala nchi huinuka.....

Magufuli akitangazwa itakua msiba mkubwa sn kwa taifa kuliko hata kifo cha baba wa taifa
Wakifa wahuni haina shidaa hata wafe mia ili kulinda amani ya watu milion 60
 
Mimi nitafanye sherehe ya kuchinja kuku watu wakunjue mioyoo maana sasa hakuna mwenye furaha wenye vyeo hadi watoto wadogo😠
 
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani.

√Vijana wanalia na ukosefu wa ajira
√watumishi wanalia na nyongeza ya mishahara
√wastaafu wanalia na malipo yao ya uzeeni
√wajasiriamali wadogo wanalia na vitambulisho vya machinga
√wananchi wanalia ugumu wa maisha kutokana na mzunguko mdogo wa pesa mtaani
√ccm tunalia ila tumeamua kuwa wanafiki tusifukuzwe uanachama.

Ni vilio kila mahali. Umefika wakati uvumilivu umekosekana; watu wameamua kuonyesha hisia zao kwa Lissu wakiamini ndiye mkombozi wao na hiyo ndio siri ya kupokelewa na kulakiwa kwa maelfu kila mahali.

Kwakuwa ni karibu kila mtu ameguswa na utawala huu; ikitokea H.E Magufuli ameanguka Urais. Siku hiyo kutazuka sherehe baab kubwa na ndio utakuwa mwanzo wa kuwajua wanafiki wake wa karibu waliokuwa wanamshauri vibaya.

Huenda andiko hili likatimia kwa sababu apangalo Mungu mwanadamu hawezi kupangua.
Mimi nitafurahi zaidi wakina polepole wakikamatwa na kutiwa ndani
 
CCM watavuna walichopanda.

Tutawaadhibu kupitia Sanduku la Kura.

Tunaiomba NEC isichezee Sanduku la Kura.

Sanduku la Kura ni vizuri likaheshimiwa.
 
Back
Top Bottom