Pre GE2025 Lissu alitaka siasa za mapambano, Mbowe akataka maridhiano, Mbowe karudia siasa za mapambano, Lissu anakula bata AFCON

Pre GE2025 Lissu alitaka siasa za mapambano, Mbowe akataka maridhiano, Mbowe karudia siasa za mapambano, Lissu anakula bata AFCON

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mandamanoni
polisi-2-jpg.190566

CHADEMA hiyo
 
Kwahiyo Lissu ni Kocha hata awe huko wakati wote?
Kweli wewe ni Makojo! Kwani sisi tulioenda Qatar kwa ajili ya kombe la dunia ni makocha?
Kuhudhuria mashindano hayo ni moja ya burudani zimpasazo mtu kushuhudia kama nafasi anayo, na Lissu anastahili pia.
Mbona ccm mna tafsiri za kijinga kama Mwenezi wenu?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Unatumia kichwa kubebea nywele na meno? Maana sioni kama kuna ubongo humo, possibly kichwa chako kimeungwa na mfumo wa maji taka.

Kibatala huyu anayevuta cha Tarime na mlevi wa pombe kali?
Wewe si ungeumbiwa ANUS kichwani na matakoni tu!
 
Kama raia mwenye fikra huru zisizofungamana na chama chochote cha siasa, nakiri umeanza na hoja fikirishi kabla hujaharibu na mambo ya Kizimkazi.

Wakati huu wa vuguvugu la maandamano makamu mwenyekiti kuwa nje ya nchi kunafikirisha, ngoja tuone itamchukua muda gani kurejea kuungana na wenzie katika maandamano hayo.
Na kwa kuwa Lissu hakuwa sehemu ya maridhiano inaleta maswali zaidi...
 
Hivi apart from politics, kwani Lissu hana haki ya kufanya mambo yake private hasa ya kiburudani?

Kwamba Lissu kuwa mwanansiasa, ndio kila siku awe majukwaani anapiga kelele mwaka mzima?!

Acha utoto. Taifa Stars iko Ivory Coast, usijisahaulishe.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Yaani aishangilie Msumbiji, halafu Urais apewe na Watanzania? Anaota!!!
 
Mnara wa Babeli?

Lissu anaonekana akiwa na furaha kubwa sana huko Ivory Coast akishangilia timu ya Msumbiji.

Lissu amegundua kwamba Mbowe anamuwekea mtego ili kumuonyesha kwamba aina ya siasa anazozitaka hazifanikiwagi, hasa Tanzania? Yaani anamuonyesha kwamba, si unataka siasa za maandamano? Haya nimeitisha, unamuona yoyote wa kuandamana?

Akiwa Marekani, Mbowe aliwahi kuongea na diaspora, akawaambia, siasa za Tanzania ni tofauti na za nchi nyingine, akatoa mfano wa Kenya ambapo maandamano yakiitwa hata usiku wa manane kila mtu atakurupuka na blanketi kwenda baranarani.

Wakati huo Mbowe alikuwa ametoka segere matata kwa kesi ya ugaidi, na kwa wakati wote huo, wanachadema hawakuandamana ili aachiwe, na wengi kama akina John Mrema walikuwa wanapiga kilauri tu mitaa ya Tabata na Sinza.

Kwa nini Lissu yuko bize na ya kwake katika wakati huu muhimu kuelekea tarehe yao ya maandamano? Kuna kitu kakistukia kuhusu chadema, chama ambacho ambacho amekitumikia mpaka karibu apoteze uhai wake?

Je, ameona "raha ajipe mwenyewe" na bora na yeye afanye ya kwake, na ya chama ni kupoteza muda kwa kuwa hakina malengo ya kisiasa zaidi ya kuchumia tumbo? Tamko lile la Mbowe hutolewa mbele ya viongozi wa chama wakiwa full cabinet.

Je, kushindwa kwa maandamano itakuwa ni aibu tosha kwa Mbowe kwamba ameshindwa kuonyesha uongozi, hivyo Lissu kaamua kujitenga na aibu hiyo, ili baadae akiwa anataka kumtoa katika nafasi ya uenyekiti "amzabue" Mbowe kisiasa vilivyo na awaaminishe wana CDM kwamba Mbowe ni "zilipendwa", hawezi kukusanya hata wana CDM 200 kwa jambo la chama?

Je kuna "joto" la kutosha la kisiasa linalofaa kuitisha maandamano? Maana ni kama nchi imetulia kabisa kama maji ya kisima chini ya uongozi wa Mwamba wa Kizimkazi, General Samia Suluhu Hassan.

Tanzania pia uhuru wetu hatukuupata kwa kuandamana, tulifanya mazungumzo, kwa hiyo, ili uupate moyo wa mtanzania, na akuelewe, jadiliana naye, huwa hapendi matata na mikiki mikiki.

View attachment 2874188
Wanajeshi waliitwa wakafanye nini vile ndugu Mwandishi?

General Samia anaogopa Maandamano?
 
Mnara wa Babeli?

Lissu anaonekana akiwa na furaha kubwa sana huko Ivory Coast akishangilia timu ya Msumbiji.

Lissu amegundua kwamba Mbowe anamuwekea mtego ili kumuonyesha kwamba aina ya siasa anazozitaka hazifanikiwagi, hasa Tanzania? Yaani anamuonyesha kwamba, si unataka siasa za maandamano? Haya nimeitisha, unamuona yoyote wa kuandamana?

Akiwa Marekani, Mbowe aliwahi kuongea na diaspora, akawaambia, siasa za Tanzania ni tofauti na za nchi nyingine, akatoa mfano wa Kenya ambapo maandamano yakiitwa hata usiku wa manane kila mtu atakurupuka na blanketi kwenda baranarani.

Wakati huo Mbowe alikuwa ametoka segere matata kwa kesi ya ugaidi, na kwa wakati wote huo, wanachadema hawakuandamana ili aachiwe, na wengi kama akina John Mrema walikuwa wanapiga kilauri tu mitaa ya Tabata na Sinza.

Kwa nini Lissu yuko bize na ya kwake katika wakati huu muhimu kuelekea tarehe yao ya maandamano? Kuna kitu kakistukia kuhusu chadema, chama ambacho ambacho amekitumikia mpaka karibu apoteze uhai wake?

Je, ameona "raha ajipe mwenyewe" na bora na yeye afanye ya kwake, na ya chama ni kupoteza muda kwa kuwa hakina malengo ya kisiasa zaidi ya kuchumia tumbo? Tamko lile la Mbowe hutolewa mbele ya viongozi wa chama wakiwa full cabinet.

Je, kushindwa kwa maandamano itakuwa ni aibu tosha kwa Mbowe kwamba ameshindwa kuonyesha uongozi, hivyo Lissu kaamua kujitenga na aibu hiyo, ili baadae akiwa anataka kumtoa katika nafasi ya uenyekiti "amzabue" Mbowe kisiasa vilivyo na awaaminishe wana CDM kwamba Mbowe ni "zilipendwa", hawezi kukusanya hata wana CDM 200 kwa jambo la chama?

Je kuna "joto" la kutosha la kisiasa linalofaa kuitisha maandamano? Maana ni kama nchi imetulia kabisa kama maji ya kisima chini ya uongozi wa Mwamba wa Kizimkazi, General Samia Suluhu Hassan.

Tanzania pia uhuru wetu hatukuupata kwa kuandamana, tulifanya mazungumzo, kwa hiyo, ili uupate moyo wa mtanzania, na akuelewe, jadiliana naye, huwa hapendi matata na mikiki mikiki.

View attachment 2874188
UVCCM mnawashwa!
CHADEMA wasipo onekana michezoni nongwa, wakienda nongwa, wakiongea kelele, wakikaa kimya cha,a kimekufa, kinawauma nini?
Si muendelee na vikao hapo Kizimkazi?
 
Wanajeshi waliitwa wakafanye nini vile ndugu Mwandishi?

General Samia anaogopa Maandamano?
Haijawahi tokea akaogopa, ila tutawaonyesha shoo moja matata sana, asiyesikia la mkuu!
 
Mwam
Hapo unapoishi, ungeweka bango kubwa, halafu uandike:

MGANGA MAARUFU TOKA SUMBAWANGA. NAPIGA RAMLI CHONGANISHI NA KUTIBU MAGONJWA YOTE.

Inaonekana una kipaji hicho.

Ila unachotakiwa kutambua ni kuwa katika mapambano yoyote, wapambanaji huwa hawajikusanyi pamoja, hata ikitokea bahati mbaya adui kawazingira, wote mkateketea.
Mwambie huyo BATAMZINGA
maana Nchi hii tuna hasars taslimu Kwa watu dizain yake
Majitu mengine Bora Mungu angeyapenda zaidi.
Sijui linateseka likiwa wapi vile!.
Emu liulize Hilo zumbukuku mkuu
 
Mnara wa Babeli?
Lissu anaonekana akiwa na furaha kubwa sana huko Ivory Coast akishangilia timu ya Msumbiji.

Lissu amegundua kwamba Mbowe anamuwekea mtego ili kumuonyesha kwamba aina ya siasa anazozitaka hazifanikiwagi, hasa Tanzania? Yaani anamuonyesha kwamba, si unataka siasa za maandamano? Haya nimeitisha, unamuona yoyote wa kuandamana?. Akiwa Marekani, Mbowe aliwahi kuongea na diaspora, akawaambia, siasa za Tanzania ni tofauti na za nchi nyingine, akatoa mfano wa Kenya ambapo maandamano yakiitwa hata usiku wa manane kila mtu atakurupuka na blanketi kwenda baranarani.

Wakati huo Mbowe alikuwa ametoka segere matata kwa kesi ya ugaidi, na kwa wakati wote huo, wanachadema hawakuandamana ili aachiwe, na wengi kama akina John Mrema walikuwa wanapiga kilauri tu mitaa ya Tabata na Sinza.

Kwa nini Lissu yuko bize na ya kwake katika wakati huu muhimu kuelekea tarehe yao ya maandamano? Kuna kitu kakistukia kuhusu chadema, chama ambacho ambacho amekitumikia mpaka karibu apoteze uhai wake?

Je, ameona "raha ajipe mwenyewe" na bora na yeye afanye ya kwake, na ya chama ni kupoteza muda kwa kuwa hakina malengo ya kisiasa zaidi ya kuchumia tumbo? Tamko lile la Mbowe hutolewa mbele ya viongozi wa chama wakiwa full cabinet.

Je, kushindwa kwa maandamano itakuwa ni aibu tosha kwa Mbowe kwamba ameshindwa kuonyesha uongozi, hivyo Lissu kaamua kujitenga na aibu hiyo?

Je kuna "joto" la kutosha la kisiasa linalofaa kuitisha maandamano? Maana ni kama nchi imetulia kabisa kama maji ya kisima chini ya uongozi wa Mwamba wa Kizimkazi, General Samia Suluhu Hassan.

Tanzania pia uhuru wetu hatukuupata kwa kuandamana, tulifanya mazungumzo, kwa hiyo, ili uupate moyo wa mtanzania, na akuelewe, jadiliana naye, huwa hapendi matata na mikiki mikiki.

View attachment 2874188
Tanzania ilipata uhuru kwa njia ya majadiliano ndiyo, Chadema inatafuta Uhuru gani? Tatizo wengi hamtulizi akili, mnakurupuka kuandika kichawa.

Ktk siasa hakuna njia moja ya kufikia malengo. Siasa ni mchezo unaoitaji akili na mikakati. Lisu na Mbowe wapo kwenye game la siasa muda mrefu na wanajuwa wafanye nini na kwa wakati gani, mnaoweweseka ni nyie wapiga debe ambao hata siku moja hamjawahi kupanda kwenye jukwaa la siasa japo kusalimia lakini huku mitandaoni mnajifanya mafundi wa kuchambua.

Kuonekana kwa Lisu ktk viunga vya Ivory coast kwa wakati huu ni mkakati mahususi wa kisiasa. Ni bahati mbaya mwenzetu wewe umekariri neno majadiliano. Nakupa pole kujikunja na kuandika hizi pumba.
 
Back
Top Bottom